Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Lakini wanaume na sisi ni wapumbavu sana. Mtu ulimshindwa akapata pa.kujistiri na amekuwa mke wa mtu, unahangaika naye nini? Hivi haya mauaji ya wivu wa mapenzi hayatustui?
Katika watu woooote wewe ndo umeongea point. Kwenye haya mazingira Adui wa mwanaume ni mwanaume. X wako akijipendekeza unashindwa vipi kumwambia acha umalaya tulia na mumeo? Tunataka jamii yenye wanawake wanaofata maadili lazima tuwaonyeshe kuwa hatupendi umalaya.
 
Sasa mbona watu wanaoowa single maza wanasema wanahofu na friend match na nyie single faza mnakana?
😀😀😃😃 dogo; maisha hayana formula. But tafiti za haraka haraka; mwanamke by nature ni ngumu sana kumsahau mwanaume aliyemtoa BIKRA yake na mwanaume aliyemfanya kuitwa mama for the first time; ngumu sana. But mwanaume ni rahisi kupasha kiporo kwa mwanamke aliye zaa nae na mtoto akabaki kwa mama yake; mwanaume huyo huyo ni ngumu sana kwake (sisemi kwamba haiwezekani) kumrudia mwanamke aliyemuachia mtoto; huyo huaga anakua black listed. Hi ni nature yetu sisi viumbe wa Mungu
 
ubishi na ujuaji mwingi ni kitu mbaya sana. hakunaga baba wawili kwa mtoto moja.

hayupo mwanamue wa kukubali kufanyika kwa jambo hilo namna hiyo nyakati zilizopita na wala nyakati hizi.

Yaani kijana, alale pazuri, avishwe vizuri, apate matunzo na usalama wa kutosha tangu akiwa mchanga, kisha baba mwingine aje ajitokeze, aelekeze au ndio aje aamue ampeleke kijana shule gani? ni dharau sana hiyo.

kwa usalama wa ndoa yako ilifaa huyo kijana aende au umpeleke na atokomea huko kwa babake na asomeshwe huko huko.

there is no way uje useme eti humkufanya jambo lolote na mzazi mwenzio mlipokua mkimpeleka huko shule. Yes inawezekana hamkufanya jambo lolote , but Lazima mtakua mmezungumzia jambo hilo.

Na kwa nature ya binadamu ilivyo, Lazima ipo siku mtalifanya tu jambo hilo kwa kisingizio cha kumuhudumia mtoto..

hii iwe fundisho,
kwamba hakuna mwamaume anaependelea familia au ndoa yake iingiliwe na mwamaume mwingine kwa namna yoyote ile.

kwa kuhitimisha,
yote hayo umeyataka mwenyewe. Na huyo mwanaume asingeweza kuacha kuchukua hatua hizo 🐒
LEGEND
 
Sasa tokea anaondoka anaona mume wake amemkatalia na kibaya zaidi amekaa kimya lakini Bado amepuuzia.Alitaka ishara ipi Ili ajue Kwamba anachokifanya hakimpendezi mume wake.Matatizo mengine wanawake wanajitafutia wenyewe.Sisi tutampa msaada gani wakati ameshakataa kumsikiliza mume wake.
 
Unaolewa,
Unatunzwa vizuri wewe na mtoto,
Majeraha yako yanapona,
Aliye kuhumiza, anarudi anaomba msamaha,
Kisha una anza kuhumiza hisia za mwenzio wa sasa!

Huyo mume anaweza onekana kufanya jambo la kishujaa,
Kumbe ni boya tu.
Wenzio wametumia mpaka wamegonga copy!
Unawezaje oa mke wa mwenzio?
Una anzaje anzaje kutunza mikojo ya mwanaume mwenzio?
 
wadau huyu Dada tumshauri nn?
Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa!

Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume mwingine ambaye tulikuwa kwenye mahusiano lakini alikuja kuoa mwanamke mwingine. Mwanzo mimi na yeye hatukuwa tunaongea kabisa kwani aliniacha vibaya, baadaye nilikutana na huyu mume wangu wa sasa. Katika mahusiano alikuwa ni mwanaume mzuri mpaka nikasahau kama nilishawahi kuumizwa.

Mpaka tunafunga ndoa, nilikuwa sifikirii kabisa kuhusu baba wa mtoto wangu, kwani huyu mume wangu alikuwa ananihudumia mimi na mwanangu kwa kila kitu. Kuna kipindi baba wa mtoto alirudi na kuomba msamaha, akasema anataka kuwa sehemu ya maisha ya mtoto na kulipa ada na mambo mengine.

Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Mume wangu alilipa ada ya mtoto bila kuniambia, wakati huo baba yake alikuwa tayari ameshalipa. Alikasirika kwa nini sikumwambia, lakini nilimwambia ni mwanangu na yule ni baba yake, hivyo ana haki zote. Tuliongea, yakasahaulika kwani watu waliniambia hata kama yeye si baba wa mtoto, kwa heshima nilitakiwa kumwambia kwani alibeba majukumu wakati baba wa mtoto kanitelekeza. Niliomba msamaha, yakamalizika, tukarudi kwenye hali nzuri.

Mtoto wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu, na kuna shule mimi na baba yake tulipanga kumpeleka ili afanye usaili, ambayo ipo mkoani. Nilipoongea na mume wangu kumwambia kuwa tunataka kumpeleka mtoto, aliniambia hapendi hicho kitu, kwamba kama ni kumpeleka, nimpeleke mimi mwenyewe au baba yake ampeleke mwenyewe lakini si kuongozana kwenye gari moja mpaka mkoani, alikataa kabisa.

Nilijaribu kumuelewesha kuwa yule tumeshatengana naye, ni mzazi mwenza wangu tu, lakini hata hakujali. Aliniambia, "kama vipi nitakupeleka mimi, ila siwezi kukuruhusu kupanda gari moja na X wako." Nilimwambia hapana, yule ni baba yake mtoto na ana haki hivyo huwezi kunipangia. Aliniambia, "kama ukienda, ukirudi rudi huko huko." Mimi namjua mume wangu, ni mtu wa kunitishia-tishia kwani anahisi hajiamini, kwa kuwa huyo baba wa mtoto ana pesa zaidi, anaona kama ana hofu. Hivyo nilimwambia hapana.

Tulipanga na baba wa mtoto tukampeleka mtoto huko mkoani, nilimuaga lakini hakunijibu chochote. Nilienda na sikufanya chochote, hata usiku nilimpigia video call ili aone kuwa sipo chumba kimoja na huyo mwanaume, lakini hakupokea. Baada ya interview, nilirudi nyumbani ila kufika niliambiwa kuwa baba ameondoka. Nilimpigia simu kumtafuta, akaniambia "nimekuachia nyumba utakaa na watoto, mimi sidhani kama naweza kuendelea kuwa mume wako tena."

Sikufanya chochote, nilikaa kimya nikijua kuwa hasira zikiisha atarudi, lakini juzi nimepewa wito wa kuitwa Baraza la usuluhishi kwani mume wangu amefungua madai ya talaka. Kaka, sijui nifanye nini. Ndoa yangu bado naipenda, sina mahusiano na baba wa mtoto; nilimpeleka tu mtoto, nashindwa kuelewa kama huyu mwanaume ananipenda kweli au la. Sikulala na X wangu na nimemwambia aongee naye, lakini hataki kabisa. Naomba ushauri wako, kaka, sijui nifanye nini?

HUPANGIWI JIPANGIE MWENYEWE SASA
Jamaa ametuangusha sana ilitakiwa akupe talaka ukiwa muhimbili unatibiwa MOI unatibiwa mifupa, Yan ilitakiwa akuache kilema kabisa ili owe fundisho kwa mbuzi wengine kama wewe
 
By the way kuoa single maza ni moja ya upmbavu wa hali ya juu unaofanywa na wanaume
Hata single mother nao ni binadamu, sema kuna manamake mengine ni takataka! Sasa kama hili lilitelekezwa halafu limepata mwanaume bado linakuwa na tamaa tena za kusaidiwa kusomesha mtoto wakati mme aliyepo alishakubali kumsomesha huyo mtoto! Shenzy type kabisa!
 
Katika watu woooote wewe ndo umeongea point. Kwenye haya mazingira Adui wa mwanaume ni mwanaume. X wako akijipendekeza unashindwa vipi kumwambia acha umalaya tulia na mumeo? Tunataka jamii yenye wanawake wanaofata maadili lazima tuwaonyeshe kuwa hatupendi umalaya.
Agiza chochote bili juu yangu. Namba ni 07439002XX.
 
Huyo jamaa jembe saana,

Amefanya vzr, mwanamke ajipange Tu arudi kuwa mke mdogo wa X wake

Mwanakulitafuta mwanakulipata
 
Hizi ndio sababu zinafanya watu waogope kuoa single mothers.

Jirekebisheni jamani.
Ila humo humo kwenye ma single mother kuna wanawake na nusu wengi tu! Shida ni haya mafeminist yanayojidai yamesoma! Takataka kabisa! Lakini ukikuta waliobebeshwa mimba bila kutarajia, ni wazuri tu!
 
wadau huyu Dada tumshauri nn?
Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa!

Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume mwingine ambaye tulikuwa kwenye mahusiano lakini alikuja kuoa mwanamke mwingine. Mwanzo mimi na yeye hatukuwa tunaongea kabisa kwani aliniacha vibaya, baadaye nilikutana na huyu mume wangu wa sasa. Katika mahusiano alikuwa ni mwanaume mzuri mpaka nikasahau kama nilishawahi kuumizwa.

Mpaka tunafunga ndoa, nilikuwa sifikirii kabisa kuhusu baba wa mtoto wangu, kwani huyu mume wangu alikuwa ananihudumia mimi na mwanangu kwa kila kitu. Kuna kipindi baba wa mtoto alirudi na kuomba msamaha, akasema anataka kuwa sehemu ya maisha ya mtoto na kulipa ada na mambo mengine.

Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Mume wangu alilipa ada ya mtoto bila kuniambia, wakati huo baba yake alikuwa tayari ameshalipa. Alikasirika kwa nini sikumwambia, lakini nilimwambia ni mwanangu na yule ni baba yake, hivyo ana haki zote. Tuliongea, yakasahaulika kwani watu waliniambia hata kama yeye si baba wa mtoto, kwa heshima nilitakiwa kumwambia kwani alibeba majukumu wakati baba wa mtoto kanitelekeza. Niliomba msamaha, yakamalizika, tukarudi kwenye hali nzuri.

Mtoto wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu, na kuna shule mimi na baba yake tulipanga kumpeleka ili afanye usaili, ambayo ipo mkoani. Nilipoongea na mume wangu kumwambia kuwa tunataka kumpeleka mtoto, aliniambia hapendi hicho kitu, kwamba kama ni kumpeleka, nimpeleke mimi mwenyewe au baba yake ampeleke mwenyewe lakini si kuongozana kwenye gari moja mpaka mkoani, alikataa kabisa.

Nilijaribu kumuelewesha kuwa yule tumeshatengana naye, ni mzazi mwenza wangu tu, lakini hata hakujali. Aliniambia, "kama vipi nitakupeleka mimi, ila siwezi kukuruhusu kupanda gari moja na X wako." Nilimwambia hapana, yule ni baba yake mtoto na ana haki hivyo huwezi kunipangia. Aliniambia, "kama ukienda, ukirudi rudi huko huko." Mimi namjua mume wangu, ni mtu wa kunitishia-tishia kwani anahisi hajiamini, kwa kuwa huyo baba wa mtoto ana pesa zaidi, anaona kama ana hofu. Hivyo nilimwambia hapana.

Tulipanga na baba wa mtoto tukampeleka mtoto huko mkoani, nilimuaga lakini hakunijibu chochote. Nilienda na sikufanya chochote, hata usiku nilimpigia video call ili aone kuwa sipo chumba kimoja na huyo mwanaume, lakini hakupokea. Baada ya interview, nilirudi nyumbani ila kufika niliambiwa kuwa baba ameondoka. Nilimpigia simu kumtafuta, akaniambia "nimekuachia nyumba utakaa na watoto, mimi sidhani kama naweza kuendelea kuwa mume wako tena."

Sikufanya chochote, nilikaa kimya nikijua kuwa hasira zikiisha atarudi, lakini juzi nimepewa wito wa kuitwa Baraza la usuluhishi kwani mume wangu amefungua madai ya talaka. Kaka, sijui nifanye nini. Ndoa yangu bado naipenda, sina mahusiano na baba wa mtoto; nilimpeleka tu mtoto, nashindwa kuelewa kama huyu mwanaume ananipenda kweli au la. Sikulala na X wangu na nimemwambia aongee naye, lakini hataki kabisa. Naomba ushauri wako, kaka, sijui nifanye nini?

HUPANGIWI JIPANGIE MWENYEWE SASA
Huo ndiyo uanaume, hata mimi ningefanya hivyo hivyo ila nisingeondoka nikuachie nyumba wewe ndiye ungeondoka utajua mwenyewe utakokwenda.
 
Back
Top Bottom