Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

Mume anataka kumuacha mke kisa kumpeleka mtoto shule na ex wake

wadau huyu Dada tumshauri nn?
Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa!

Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume mwingine ambaye tulikuwa kwenye mahusiano lakini alikuja kuoa mwanamke mwingine. Mwanzo mimi na yeye hatukuwa tunaongea kabisa kwani aliniacha vibaya, baadaye nilikutana na huyu mume wangu wa sasa. Katika mahusiano alikuwa ni mwanaume mzuri mpaka nikasahau kama nilishawahi kuumizwa.

Mpaka tunafunga ndoa, nilikuwa sifikirii kabisa kuhusu baba wa mtoto wangu, kwani huyu mume wangu alikuwa ananihudumia mimi na mwanangu kwa kila kitu. Kuna kipindi baba wa mtoto alirudi na kuomba msamaha, akasema anataka kuwa sehemu ya maisha ya mtoto na kulipa ada na mambo mengine.

Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Mume wangu alilipa ada ya mtoto bila kuniambia, wakati huo baba yake alikuwa tayari ameshalipa. Alikasirika kwa nini sikumwambia, lakini nilimwambia ni mwanangu na yule ni baba yake, hivyo ana haki zote. Tuliongea, yakasahaulika kwani watu waliniambia hata kama yeye si baba wa mtoto, kwa heshima nilitakiwa kumwambia kwani alibeba majukumu wakati baba wa mtoto kanitelekeza. Niliomba msamaha, yakamalizika, tukarudi kwenye hali nzuri.

Mtoto wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu, na kuna shule mimi na baba yake tulipanga kumpeleka ili afanye usaili, ambayo ipo mkoani. Nilipoongea na mume wangu kumwambia kuwa tunataka kumpeleka mtoto, aliniambia hapendi hicho kitu, kwamba kama ni kumpeleka, nimpeleke mimi mwenyewe au baba yake ampeleke mwenyewe lakini si kuongozana kwenye gari moja mpaka mkoani, alikataa kabisa.

Nilijaribu kumuelewesha kuwa yule tumeshatengana naye, ni mzazi mwenza wangu tu, lakini hata hakujali. Aliniambia, "kama vipi nitakupeleka mimi, ila siwezi kukuruhusu kupanda gari moja na X wako." Nilimwambia hapana, yule ni baba yake mtoto na ana haki hivyo huwezi kunipangia. Aliniambia, "kama ukienda, ukirudi rudi huko huko." Mimi namjua mume wangu, ni mtu wa kunitishia-tishia kwani anahisi hajiamini, kwa kuwa huyo baba wa mtoto ana pesa zaidi, anaona kama ana hofu. Hivyo nilimwambia hapana.

Tulipanga na baba wa mtoto tukampeleka mtoto huko mkoani, nilimuaga lakini hakunijibu chochote. Nilienda na sikufanya chochote, hata usiku nilimpigia video call ili aone kuwa sipo chumba kimoja na huyo mwanaume, lakini hakupokea. Baada ya interview, nilirudi nyumbani ila kufika niliambiwa kuwa baba ameondoka. Nilimpigia simu kumtafuta, akaniambia "nimekuachia nyumba utakaa na watoto, mimi sidhani kama naweza kuendelea kuwa mume wako tena."

Sikufanya chochote, nilikaa kimya nikijua kuwa hasira zikiisha atarudi, lakini juzi nimepewa wito wa kuitwa Baraza la usuluhishi kwani mume wangu amefungua madai ya talaka. Kaka, sijui nifanye nini. Ndoa yangu bado naipenda, sina mahusiano na baba wa mtoto; nilimpeleka tu mtoto, nashindwa kuelewa kama huyu mwanaume ananipenda kweli au la. Sikulala na X wangu na nimemwambia aongee naye, lakini hataki kabisa. Naomba ushauri wako, kaka, sijui nifanye nini?

HUPANGIWI JIPANGIE MWENYEWE SASA
Huyo mwanaume apewe maua yake
 
Kiislam hairuhusiwi kutoka na yeyote ambae siyo mumeo na anaeweza kukuowa, iwe umeolewa au hujaolewa. Na hayw ukipewa rikhsa na mumeo bado hairuhusiwi Kiislam.

Sijuwi kwa imani zingine.

Kama wote hao hamjawahi kuowana kwa ndoa na mlizaa tu, hakuna mwanamme mwenye mtoto hapo, wote ni wa mama.
Kwa hio hapo unaona nini kinaendelea? Huko shule ulienda kusoma ujinga?
 
Ukweli wanawake ni wabinafsi sana; wanaume wana upendo hasa. Imagine una lea mtoto wa mwanaume mwenzio halafu mwanamke wako wala haoni kama kuna jambo lilikua linafanyika. Mwamba ana haki zote za kuomba muachane; wewe bado una uhusiano na X wako
Huenda anakumbuka alivyokuwa anakujwa..akipokea mshedede...msicheke small detais huwa zinawachanganya sana baadhi ya wanawake na ndiyo maana tumeambiwa tuishi nao kwa akili saana.
 
Sio tu single maza, hata singo faza kuaga anaenda kuonana na mzazi mwenzie yale yale......

Kaburi muhimu sana wanachama
Mara chache sana mwanaume kumchukua mtoto aliye zaa nje na kukaa nae, mara chache sana. Na ikitokea mwanaume kakaa na mwanae, ni ngumu kwa mwanaume huyo kumrudia mama mtoto, ngumu sana; anaweza kupiga friend match na mwanamke mwingine but NOT her. Hi ndio tofauti yetu
 
Dah,
Ipo hivi,

Jamaa aliemzalisha akamuacha, kapewa space ya kufanya life zaid sana katunziwa mtoto mpaka kamaliza StD 7.

Leo jamaa alielea had std 7 sio wa maana tena na hajiamin maana kazidiwa kipato na huyo aliemuachia msalaba hadi na kuoa juu..

Sasa analalamika ndoa anaitaka na jamaa kamiachia nyumba na watoto wengine wawili...

Kutokumuheshim mwanaume ni kosa kubwa sana.

She is by all mathematics in the world very wrong na hapo kaoa bomu ...
Uamuzi tumuachie mwenye kutendwa ila kweli kuna wanawake vimeo sana...

Pole sana mkuu.
 
Huenda anakumbuka alivyokuwa anakujwa..akipokea mshedede...msicheke small detais huwa zinawachanganya sana baadhi ya wanawake na ndiyo maana tumeambiwa tuishi nao kwa akili saana.
By nature; mwanamke ni ngumu sana kumtoa kichwani na moyoni mwake mwanaume aliye kata utepe wake na aliyemfanya kuitwa mama for the first time; ngumu sana
 
Hapo ex ashaichapa tena mbunyeto! Kwani ungeacha baba apeleke mwanaye au upeleke wewe kama alivyotaka MUME wako kulikuwa na ugumu gani? Umechagua ulipopataka. Hiyo hoja kwamba ex ana uwezo kifedha kuliko mumeo nadhan ndo shida inakoanzia pia.

Nyie ndo mnafanya single mamaz wasiaminike.
 
Dada hujielewi utavuna ulichopanda, baba wa watu kanyooka alpha male hataki Ujinga kaenda straight baraza la usuluhishi,
Huyo ex wako alikuwa wapi zamani kipindi baba wa watu kajitolea kubeba majukumu.
Wabunge naunga mkono hoja OGOPA SINGLE MAZA Kwa hiki ulichokionyesha u deserve it n more!!!
Kalaghabaho!!!!
 
Mara chache sana mwanaume kumchukua mtoto aliye zaa nje na kukaa nae, mara chache sana. Na ikitokea mwanaume kakaa na mwanae, ni ngumu kwa mwanaume huyo kumrudia mama mtoto, ngumu sana; anaweza kupiga friend match na mwanamke mwingine but NOT her. Hi ndio tofauti yetu
Kupiga mechi kupiga simu kuonana yote yale yale tu.....tabu iko pale pale
 
wadau huyu Dada tumshauri nn?
Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa!

Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume mwingine ambaye tulikuwa kwenye mahusiano lakini alikuja kuoa mwanamke mwingine. Mwanzo mimi na yeye hatukuwa tunaongea kabisa kwani aliniacha vibaya, baadaye nilikutana na huyu mume wangu wa sasa. Katika mahusiano alikuwa ni mwanaume mzuri mpaka nikasahau kama nilishawahi kuumizwa.

Mpaka tunafunga ndoa, nilikuwa sifikirii kabisa kuhusu baba wa mtoto wangu, kwani huyu mume wangu alikuwa ananihudumia mimi na mwanangu kwa kila kitu. Kuna kipindi baba wa mtoto alirudi na kuomba msamaha, akasema anataka kuwa sehemu ya maisha ya mtoto na kulipa ada na mambo mengine.

Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Mume wangu alilipa ada ya mtoto bila kuniambia, wakati huo baba yake alikuwa tayari ameshalipa. Alikasirika kwa nini sikumwambia, lakini nilimwambia ni mwanangu na yule ni baba yake, hivyo ana haki zote. Tuliongea, yakasahaulika kwani watu waliniambia hata kama yeye si baba wa mtoto, kwa heshima nilitakiwa kumwambia kwani alibeba majukumu wakati baba wa mtoto kanitelekeza. Niliomba msamaha, yakamalizika, tukarudi kwenye hali nzuri.

Mtoto wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu, na kuna shule mimi na baba yake tulipanga kumpeleka ili afanye usaili, ambayo ipo mkoani. Nilipoongea na mume wangu kumwambia kuwa tunataka kumpeleka mtoto, aliniambia hapendi hicho kitu, kwamba kama ni kumpeleka, nimpeleke mimi mwenyewe au baba yake ampeleke mwenyewe lakini si kuongozana kwenye gari moja mpaka mkoani, alikataa kabisa.

Nilijaribu kumuelewesha kuwa yule tumeshatengana naye, ni mzazi mwenza wangu tu, lakini hata hakujali. Aliniambia, "kama vipi nitakupeleka mimi, ila siwezi kukuruhusu kupanda gari moja na X wako." Nilimwambia hapana, yule ni baba yake mtoto na ana haki hivyo huwezi kunipangia. Aliniambia, "kama ukienda, ukirudi rudi huko huko." Mimi namjua mume wangu, ni mtu wa kunitishia-tishia kwani anahisi hajiamini, kwa kuwa huyo baba wa mtoto ana pesa zaidi, anaona kama ana hofu. Hivyo nilimwambia hapana.

Tulipanga na baba wa mtoto tukampeleka mtoto huko mkoani, nilimuaga lakini hakunijibu chochote. Nilienda na sikufanya chochote, hata usiku nilimpigia video call ili aone kuwa sipo chumba kimoja na huyo mwanaume, lakini hakupokea. Baada ya interview, nilirudi nyumbani ila kufika niliambiwa kuwa baba ameondoka. Nilimpigia simu kumtafuta, akaniambia "nimekuachia nyumba utakaa na watoto, mimi sidhani kama naweza kuendelea kuwa mume wako tena."

Sikufanya chochote, nilikaa kimya nikijua kuwa hasira zikiisha atarudi, lakini juzi nimepewa wito wa kuitwa Baraza la usuluhishi kwani mume wangu amefungua madai ya talaka. Kaka, sijui nifanye nini. Ndoa yangu bado naipenda, sina mahusiano na baba wa mtoto; nilimpeleka tu mtoto, nashindwa kuelewa kama huyu mwanaume ananipenda kweli au la. Sikulala na X wangu na nimemwambia aongee naye, lakini hataki kabisa. Naomba ushauri wako, kaka, sijui nifanye nini?

HUPANGIWI JIPANGIE MWENYEWE SASA
Asiache mke tu bali hata huyo mtoto pia.
 
wadau huyu Dada tumshauri nn?
Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa!

Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume mwingine ambaye tulikuwa kwenye mahusiano lakini alikuja kuoa mwanamke mwingine. Mwanzo mimi na yeye hatukuwa tunaongea kabisa kwani aliniacha vibaya, baadaye nilikutana na huyu mume wangu wa sasa. Katika mahusiano alikuwa ni mwanaume mzuri mpaka nikasahau kama nilishawahi kuumizwa.

Mpaka tunafunga ndoa, nilikuwa sifikirii kabisa kuhusu baba wa mtoto wangu, kwani huyu mume wangu alikuwa ananihudumia mimi na mwanangu kwa kila kitu. Kuna kipindi baba wa mtoto alirudi na kuomba msamaha, akasema anataka kuwa sehemu ya maisha ya mtoto na kulipa ada na mambo mengine.

Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Mume wangu alilipa ada ya mtoto bila kuniambia, wakati huo baba yake alikuwa tayari ameshalipa. Alikasirika kwa nini sikumwambia, lakini nilimwambia ni mwanangu na yule ni baba yake, hivyo ana haki zote. Tuliongea, yakasahaulika kwani watu waliniambia hata kama yeye si baba wa mtoto, kwa heshima nilitakiwa kumwambia kwani alibeba majukumu wakati baba wa mtoto kanitelekeza. Niliomba msamaha, yakamalizika, tukarudi kwenye hali nzuri.

Mtoto wangu amemaliza darasa la saba mwaka huu, na kuna shule mimi na baba yake tulipanga kumpeleka ili afanye usaili, ambayo ipo mkoani. Nilipoongea na mume wangu kumwambia kuwa tunataka kumpeleka mtoto, aliniambia hapendi hicho kitu, kwamba kama ni kumpeleka, nimpeleke mimi mwenyewe au baba yake ampeleke mwenyewe lakini si kuongozana kwenye gari moja mpaka mkoani, alikataa kabisa.

Nilijaribu kumuelewesha kuwa yule tumeshatengana naye, ni mzazi mwenza wangu tu, lakini hata hakujali. Aliniambia, "kama vipi nitakupeleka mimi, ila siwezi kukuruhusu kupanda gari moja na X wako." Nilimwambia hapana, yule ni baba yake mtoto na ana haki hivyo huwezi kunipangia. Aliniambia, "kama ukienda, ukirudi rudi huko huko." Mimi namjua mume wangu, ni mtu wa kunitishia-tishia kwani anahisi hajiamini, kwa kuwa huyo baba wa mtoto ana pesa zaidi, anaona kama ana hofu. Hivyo nilimwambia hapana.

Tulipanga na baba wa mtoto tukampeleka mtoto huko mkoani, nilimuaga lakini hakunijibu chochote. Nilienda na sikufanya chochote, hata usiku nilimpigia video call ili aone kuwa sipo chumba kimoja na huyo mwanaume, lakini hakupokea. Baada ya interview, nilirudi nyumbani ila kufika niliambiwa kuwa baba ameondoka. Nilimpigia simu kumtafuta, akaniambia "nimekuachia nyumba utakaa na watoto, mimi sidhani kama naweza kuendelea kuwa mume wako tena."

Sikufanya chochote, nilikaa kimya nikijua kuwa hasira zikiisha atarudi, lakini juzi nimepewa wito wa kuitwa Baraza la usuluhishi kwani mume wangu amefungua madai ya talaka. Kaka, sijui nifanye nini. Ndoa yangu bado naipenda, sina mahusiano na baba wa mtoto; nilimpeleka tu mtoto, nashindwa kuelewa kama huyu mwanaume ananipenda kweli au la. Sikulala na X wangu na nimemwambia aongee naye, lakini hataki kabisa. Naomba ushauri wako, kaka, sijui nifanye nini?

HUPANGIWI JIPANGIE MWENYEWE SASA
Acha kufanya watu mapimbi, video call unapiga ukimaliza unaenda kulala na huyo x mwenye hela kuzidi mumeo. Hata mimi niñgekutwanga talaka bila kukuita kwenye usuluhishi.
 
Kazi kweli kweli
Hata mimi siwezi kuendelea kuwa na wewe kama mke wangu sababu hauheshimu kile nachokwambia usikifanye

Video call haiwezi kuniaminisha kuwa umelala mwenyewe

Kwa uchache na kwa ufupi sana bado upo kwenye mahusiano na huyo X wako(BADO MNAKULANA)
 
Nilimkubalia na kwa kuwa ni mtoto wangu sikuona haja ya kuomba ruhusa kutoka kwa mume wangu, hivyo akaanza kulipa ada. Baadaye nililazimika kumwambia mume wangu kuwa ada inalipwa na baba yake mtoto, kwani kuna kipindi walilipa ada mara mbili shuleni.

Shida ilianzia hapa 👆👆 binafsi yangu ningeachana na wewe hapo. Hakuna jambo baya kwenye ndoa kama dharau, kiburi, jeuri pamoja na kumchukulia mwenza wako poa.

Yaan mtu kakutomba kakudunga mimba kisha kakutelekeza hapo hapo kaenda kuoa mwanamke mwingine halafu anajitokeza msamaria mwema anaamua kukuheshimisha kwa kukuoa na matunzo ya mtoto aliyekukuta naye anatoa.

Kwa kiburi chako unaenda kupeleka taQo lako kwa x kwa kigezo kuwa anataka awe sehemu ya malezi ya mtoto! alikuwa wapi siku zote hizo? Kasubiri ndoa yako imeimarika ndio aje kukuletea MAPUMBU yake ,halafu na wewe ulivyo kenge +kima + punguani unaamua kutomshirikisha mumeo unajipeleka kwa huyo x wako! (Fuckup)! dude.....get your ass out of here right now!!!!!....go to hell.

Mume wako kakukatalia usiende huko Mkoani na huyo x wako, ukaona wewe jeuri sana ukaamua kwenda kibishi kwa kigezo cha kumpigia video call. We ni mbwa usiye na shukrani. Why don't you behave?! Have some respect to your husband.

Halafu vikikuchachia utakuja kusema wanaume wote ni mbwa. Huna adabu nungayembe mkubwa wewe!!
 
Back
Top Bottom