Mume kumgeuza rafiki ndio kila kitu kwake

So sad!!!
 
Kuna mawili, huyo jamaa kama sio mshirikina basi atakuwa kamfundisha michezo ya hatari sana mumeo.

Aidha anamvutisha bange wakiwa uswahilini na anamtaftia mademu na kumtembeza viwanja pia kashamfundisha kufira. Mumeo kashapagawa na michezo ya town inaonesha alikuwa mshamba ndo analimbuka na mji.

In expense of all that huyo mswahili ananufaika na uchawa anaofanya kwa mumeo ana access na gari na hela za jamaa yako wanakostarehe huko. Kuhusu kukusagia kunguni lazma afanye hivyo ili mume akuone huna maana.
 
Ni kero mwanawane yaani ni mwendo wa kuwakomedha tu wasije wakakupanda kichwani Hawa viumbe maana ni ubavu wetu hivyo mwambie jamaa akae chonjo
 
Huu ni uandishi wa kijana ambaye bado yupo chuo au amemaliza hivi karibuni bado hajaanza kusota na vibahasha,
Kuna mada zingine zinakua kubwa unaachana nazo tu.
Wacha tudandie mkuu time is an illusion
 
Usiforce mkuuu kila kitu 🤮🤮🤮🤮
 
Ombea ndoa yako ,ombea Mumeo usiondoke hapo ,mmevamiwa tayari .Huyo rafiki mpaka anathubutu kukuongelea kwa kujiamini hivyo ni kutokana na nguvu iliyo ndani yake ...we pia una nguvu yako funguo ya hiyo nguvu ni maombi tu ,na usisahau kumtolea sadaka huyo mumeo
 
pia yawezekana si rafiki wa mumewe bali mke mwenzake.
 
Yaan mim mwanaume wangu awe na rafiki nisiempenda mbona wataachana tu tengeneza zengwe,fitina ,chuki,uongo amchukie kabisa anakushindaje?
Wapo marafiki wa hivyo wa kugandana angalia ukute wanafirana
 

Urafiki mkubwa wa wanaume huwa ni wa mademu kutafutiana mademu tena ukikuta mmoja ana pesa mwingine hela weeeeee ambae hana kitu anakuwa chawa na anahakikisha anafanya vitu ambavyo vinamfurahisha mwenye pesq kama kumtafutia mademu nna ushuhuda na hilo
 
Kwanini Mme wa dizaini hii asiishi tu na house girl na house boy afanyiwe usafi apikiwe nk mbunye atapiga piga za kila aina.....kwa maisha ya hivi yani anaoa ili iweje labda?
 
You are a very intelligent person. I really appreciate this comment of yours. You have summarized perfectly on how to handle a negative situation and use it to improve yourself positively and grow positively. Kudos. I really hope mtoa thread will see and follow this advice.
 
Ndo akili za wengi zilivyo. Si unaona wanavyojazanaga ujinga humu wa kuchukia wanawake.
 
Pole sana, huyo ni mke mwenzio. Au ndio anakula mumeo kinyeo... watu wengi walioishia kuuchunguza urafik wa namna hyo kiundani hawakutoka na majibu mazuri zaidi ndoa ziliishia kufa. Pole sana muombe Mungu akuondolee huyo pepo kwenye ndoa yako
 
Hapo ndoa hamna tena, jiandae kutengana nae ili baadae yeye aje kujutia maamuzi yake.
 
Kama ana uswahili basi tayari kashamfanyia huo uswahili. Hakuna ukawaida hapo. Mkabidhi mumeo mikononi mwa Yesu Kwa MAOMBI kabla hajaharibikiwa zaidi

Sent from my 2201116TG using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…