Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Walisema alikuwa anadundwa sana na mmewe[emoji24]Mfano Kifo cha Osinachi kimenisikitisha sana, kuna mambo hatutakiwi kuyavumilia maana yanatupeleka kwenye mauti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walisema alikuwa anadundwa sana na mmewe[emoji24]Mfano Kifo cha Osinachi kimenisikitisha sana, kuna mambo hatutakiwi kuyavumilia maana yanatupeleka kwenye mauti
Una uhakika wote wa kwake? Jiulize kwa nini watoto wa marehemu wengine wana majina ya kikristu na wengune ya kiislamMwanamke wa sikuhizi umzalishe watoto watatu? Naamini Kama angekuwa hamjali asinge kubali kuzalishwa watoto wote hao.
Ukiwa mtulivua majibu yote yapo hapa.Maunda alitoka msibani..
Lakini baadae akapitia sehemu, umeiona ile video ya alivyovaa huko alipopitia.? Kavaa kigauni kifupi kapiga make up huku kakumbatiana na mwanaume anaimba na anaonekana alilewa..
Ukiiona hiyo video utapata majibu mengi sana..
Maana yake alibadilisha nguo alibadilishia wapi.??? Alipakia make up wapi.?
Unaniacha nyumbani na watoto unaaga unaenda msibani, unapitia sehemu kulewa ukiwa na mwanaume, unarudi saa4 ..
Wanaumr tunapitia mengi sana..
Mnoo, mpaka watoto wanasimulia namna baba alikua anamnyasa mama yao na kumpiga, na watoto nao wamepigwa sana, halafu anawaambia watoto wake wa kiume kwamba beating women is the right thing to doWalisema alikuwa anadundwa sana na mmewe[emoji24]
Kazingua sana,jamii imemuona si mtu wa kijali.Banana kwenye intervie kasema ni 5 to 10mins from her home.Na mume amesema alikuwa home
Yaan wee acha tyuuuhKafa na mengi
EwaaaaIn the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Kulikuwa na jambo, hata kama mdogo wake angekuwa anaishi ungindoni pale paleau mjimwema, nadhani angempigia simu kumpa taarifa kama yupo karibu aende wakutane pale eneo la ajali, sio kumwambia aende nae abaki kakaa tu kwake.Kampigia mdogo wake alikuwa Kingaz aende .. Toka Kingaz njia ya kwenda Mbagala kule kwenye magorofa ya NSSF mpaka ungindoni just imagine
Huyo mwanamume ni kada wa CCM. Akili zao ndio ziko hivyoNimesikitishwa sana na Kifo cha Maunda Zoro, vibao vyake ni vya enzi zangu nilivipenda sana. Nakumbuka mchumba wangu wa enzi hizo akiniimbia Nataka niwe wako.
Ila nimesikitika zaidi kwa kuwa alikua akiishi na mtu wa hovyo sana. Ambaye mbali na kukaa nae miaka yote akimzalisha watoto watatu bila kufunga ndoa, pia hakuwahi kumjali.
Ukimsikiliza akihojiwa anasema alipigiwa simu mkewe kapata ajali, akaendelea kukaa Nyumbani huku akiwasiliana na watu. Anasema "MAMA akaniambia usitoke nikampigia RTO akasema ndio wanajaribu kumtoa, nampigia mdogo wangu aendee akafika baada ya kama dakika kumi akaniambia kafika ila bado wanahangaika kumtoa. Hatimaye wamemtoa kafariki."
Mwisho anasema kama angepatiwa huduma ya kwanza mapema angepona kwasababu kama kwa kuchelewa kupata Msaada. Wakati yeye alibaki Nyumbani akichat.
Na pia Banana katoka Malamba mawili kwenda eneo la tukio usiku baada ya kupewa taarifa wakati mwenye mke wake yupo hapo kigamboni jiraniUngindoni sehemu ya ajali ni karibu na nyumbani kuliko Kingaz alikokuwa mdogo wake.. Lakini kamtuma dogo yeye kabaki home[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Inamaana kaumia vibaya??Mwili wenyewe umeuona namna ulivyo vile, ila asilaumiwe sana yashatokea tayari
Ingesaidia nini?In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Good!! Na wote tuishie hapo.Hata mi nimesiliza hiyo interview sikuelewa.Banana anasema marehemu kapata ajali 10 minutes drive from her home.Meaning ni jirani kiasi.Then mume anasema alipigiwa simu then naye akampigia RTO.Mara akaambiwa tulia usitoke.Na yeye akapumzika mpaka sa 12 asbh Banana alivyokuja.Najiuliza,unawezaje kuwa na ujasiri wa kupumzika wakati hujui hatma ya mkeo huko alipo na umeshaambiwa kapata ajali mbaya?Simjudge ila nahisi something is not right