Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

Ukiwa mtulivua majibu yote yapo hapa.

Kuna wakati bora uwe msomaji uujue ukweli.
 
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Ewaaaa
Ya ndani magumu
 
Kampigia mdogo wake alikuwa Kingaz aende .. Toka Kingaz njia ya kwenda Mbagala kule kwenye magorofa ya NSSF mpaka ungindoni just imagine
Kulikuwa na jambo, hata kama mdogo wake angekuwa anaishi ungindoni pale paleau mjimwema, nadhani angempigia simu kumpa taarifa kama yupo karibu aende wakutane pale eneo la ajali, sio kumwambia aende nae abaki kakaa tu kwake.
 
Huyo mwanamume ni kada wa CCM. Akili zao ndio ziko hivyo
 
Mwili wenyewe umeuona namna ulivyo vile, ila asilaumiwe sana yashatokea tayari
 
Huenda alikuwa kwenye hali ya kupanic vibaya sana ndio maana aliambiwa atulie kwanza vinginevyo pengine na yeye angepotea mtihani ukazidi kuwa mkubwa maradufu.

Mbona ajali huwa zinatokea na watu baki huwa wanawapeleka majeruhi hospitali na kupona?!
 
In the first place ndio alitakiwa awe wa kwanza kufika eneo la tukio.. Wanawake siku hizi wanabeba mzigo mkubwa rohoni kisa kulinda ndoa.. Wengi wanaishi kwa mateso ya kukosa mapenzi ya kweli lakini hawana jjnsi wanaogopa kuachika
Ingesaidia nini?
What if yeye ndio alikua anaoganize watu wa karibu na ajali ili wawahi kumtoa?
Au ulitaka atengeneze stori ya kutunga ili aonekane anajali?
 
Good!! Na wote tuishie hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…