Mume wa Maunda Zoro ni mfano wa Wanaume wa hovyo wa Dar es Salaam

Hapana aruke kama chura
 
Maunda kuna kipindi si alikuwa drugs addict pamoja na Hawa wa nitarejea wa Platnumz
 
Endelea kujidanganya hivyo hivyo usitafute hela,endelea kujifariji
 
Hiki ndicho ninachokiona..unawezakuta hapo ni kama jamaa kautua mzingo mzito mabegani.
 
Msiendeshe vyombo vya moto mkiwa "mmelewa",hii itasaidia kuondoa lawama kama hizi,ajali ndogo ndogo na vifo visivyo na lazima..... TAFADHALI UKIJIONA UMELEWA USIENDESHE GARI/PIKIPIKI.
 
Hata mimi nimeshangaa, ukifuatilia hiki kisa youtube unaweza kulia, mapaka sasa najiuliza kwa nini mke hakuondoka, hivo ana kipaji angeweza kuanza upya na kutengeneza pesa ambayo ingemsaidia kuishi na watoto wake
Dini na hadhi ndo zimesababisha haya
 
Watu tumekuwa wepesi sana wa kuhukumu haraka haraka tukisikia uongo wowote unao anzishwa mitandaoni

Tatizo ni kwamba akifariki mtu tena akiwa maarufu kitu cha kwanza kabisa huwa kinakuwa ni kumtafuta wa kumbebesha lawama kwa hicho kifo, so kwa sababu tu jamaa hakufika eneo la ajali basi sababu imepatikana

Watu hawajui tu jinsi jamaa alivyopata tabu na Marehemu amemvumilia mengi sana sababu anampenda na kumjali

Kasumba ya marehemu asemwi vibaya ndio inayoficha ukweli hadi jamaa anaonekana mbaya

Ukweli ni kwamba Maunda alikua mrahibu wa madawa ya kulevya na wenzake kadhaa pale THT aikiwemo Hawa wa aliyeimba na Domo
Lakini pia Maunda ni mlevi wa kupindukia, yaani mlevi kweli kweli amempiga jamaa matukio mengi sana
Hadi anafariki kwenye drugs alikua ana in and out lakini pombe hakuwahi kuacha, hata sababu ya ajali haitajwi kabisa lakini ukweli ni kwamba alikua tila lila kwa pombe
Mind you aliaga anakwenda msibani lakini kaisha kulewa

Jamaa alimvumilia wakati wote akijitahidi kuhakikisha Marehemu anakua safi lakini watu hawajui haya yote wanaishia kumlaumu

Kifo ni kifo wala jamaa hajasababisha kwa namna yoyote ile
Jamaa hakika ni mtu mvumilivu sana na anayejali kwa jinsi alivyo mvumilia marehemu na kasoro zake za mihadarati na pombe

Imekua sasa ni kama fasheni akifa mtu maarufu basi ni lazima kuna uzembe......, sasa mnataka tufe makabwela tu ndio ionekane sahihi ebooo
 
Mbona sijakutukana nimekupa cheo chako, Mtu asiye na akili si mbumbumbu au tutusa? Maanake nyie hata kutawaza ni mpaka muambiwe na mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…