OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
zinaitwa siasa za kanisa. mimi huwa sijisikii vibaya nikikosa kwenda church mara mfululizo maana we acha tu huku kwetu Catholic bora mapadri waruhusiwe tu rasmi kuoa.
chezea ndoa ikigeuka kuwa ndoano,yaaani mke wachukue na jela wakusweke....nilimuona huyo binti anaedai kabakwa kajianika facebook,mapaja nje nje.....na alivyobakwa siku ya kwanza mbona hakukimbilia police au kumuambia flora mpaka akasubiri mara ya pili jumapili ndio akasema....this is a set up flora kama anataka kuvunja ndoa yake kwa kupata kipya kinyemi aivunje tu lakini sio kumchafulia jina na kutaka kumsweka rupango...this is not fair jamani..duh! wanawake jamani..
....ni yupi sasa picha inatrent kwenye blogs mbali mbali wakisema ni yeye...kama sio yeye basi tuwekee ambae ni yeye halisiHuyo dada wa fb sio mdogo wa flora jaman
....ni yupi sasa picha inatrent kwenye blogs mbali mbali wakisema ni yeye...kama sio yeye basi tuwekee ambae ni yeye halisi
....ni yupi sasa picha inatrent kwenye blogs mbali mbali wakisema ni yeye...kama sio yeye basi tuwekee ambae ni yeye halisi
Hata mimi nimemshangaa,yeye anapinga wakati hajaleta hata picha ,kama kweli anajua sio yeye basi amlete au mdiscribe basi hata kidogo huyo umjuaye....na huyu atuambie ni nani au kama hamjuii basi akae kimya milelendicho wanachonikera wabongo, unapopinga picha hii ni batili ni jukumu lako mpingaji kuleta picha sahihi ili watu wafanye comparison na ukweli uchukuwe nafasi yake.
sasa jitu linakurupuka kupinga bila kusubmit evidence huu si ni ukichaa?
Unadhani na wao hawana hamu ya kula muhogo wa jang'ombe na kumwagiwa kwa ndani kabisa kwenye kijiupele?Wanatisha kwa hilo..japo wanatumia mgongo wa Mungu kujificha....me nna ndg yangu mlokole haswaa kabeba mimba nikashangaa si mlokole wewe...sijui imeingilia puani via maombi
Mkuu ni heri ya malaya anayeuza kwa uwazi Sinza akiolewa anaweza kutulia kuliko Malaya wanaouza kimya kimya mitaani kama Flora huwa hawachi hata wakiolewa wataendelea kutoa kimya kimya tu.....nilichojifunza ni kwamba hata siku moja usidiriki kumfanya mwanamke malaya kuwa mke wa ndoa.
Tuko pamoja mkuu......
...GWAJIMA ndio sahihi....sorry kwa kuchanganya
Mkuu usihukumu kwa kuwajumuisha waimbaj wote wa injili wapo kibiashara.ni kwel kuna baadh ya waimbaj wapo kimaslah lakin kuna waimbaj wa injili wengi wanamtukuza Mungu ktk roho na kwel baadh yao ni Mchungaj Abiud,Paul Mwai na wengine weng.
Waibaji wa injili wote ni malaya hata hao uliowataja
Waibaji wa injili wote ni malaya hata hao uliowataja
Hawa niliowataja ni waimbaj wa nyimbo za injil na sio waibaj mkuu...
Kweli mmeshinda maana kuisambaratisha nyumba ya mtu si kazi ndogo...Hakuna, mbona tumeshashinda! Kwani we huoni?