OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,562
zinaitwa siasa za kanisa. mimi huwa sijisikii vibaya nikikosa kwenda church mara mfululizo maana we acha tu huku kwetu Catholic bora mapadri waruhusiwe tu rasmi kuoa.
Nakubaliana na wewe kaka Matola yaani viongozi wa karne hii wengi kama sio baadhi ni shida tupu humu nyumba za ibada!!!!!
Last edited by a moderator: