Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

Wakati sakata la flora likiendelea na bwana wake

mh mbasha amefunguka kwenye redio na kusema anasikitika sana mkewe kutaka kumfunga ili

aendelee na uhuni wake na m h mmoja ambae anasema ni kigogo serikalini

wakati wengi wakiongea mara gwajima mara nani...mr mbasha amefunguka na kusema

anajua mchezo mzima na aliepanga hilo na akasema hata akifungwa miaka 30 akitoka

ni lazima afe na huyo kigogo liwalo na lile

mh mbasha akaenda zaidi na kusema zamani mkewe amekuwa akitongozwa na wakubwa na

kumwambia mtu fudenge anataka tunda lake lakini tangu alipoanza kutukanana nae

kuhusu huyo kigogo ameamua soln ni kumnyima tunda na sasa ameamua amfunge ili aendeelee

na uhuni wake

naamini mh gwajjima atapumzika kwa statement hiyo na wengine waliohusishwa na flora

nilisema na nitarudia tena sakata zima la flora na mumewe ni wawili tu ndio wanajua

src na upumbavu unaoendelea juu yakee

akafunguka mtoto huyo wanaesema nimembaka nimemtoa mwenye kijijini na hata wanavyosema

ana miaka 17 si kweli ..waende shule aliyosoma ama waangalie kadi yake ya kuzaliwa ana miaka 19


ujue hata mchezo wanaocheza awana uhakika wanachoongea

mwisho wa siku nawaambia watanzania mungu yupo na ukweli utafika utajulikana na mungu atajiidhihirisha kwa hili

ahsanten

nanukuu mbasha alivyoaga so sad kwa waliosikia hili
Hii radio uliisikia wewe tuuuu??
 

Attachments

  • 10458121_307293509431382_802239852501068269_n[1].jpg
    10458121_307293509431382_802239852501068269_n[1].jpg
    8.7 KB · Views: 358
Nisije nikasutwa sijasema uhusiano wa kimapenzi...

Uhusiano ni Gwajima kumhamishia Flora GEST, kumpa cheo kikubwa kanisani, kumpeleka chuoni Uingereza na kumtembelea mara kwa mara, kuzunguka naye kwenye mikutano nchi nzima. Yote hayo AMESAIDIA huku mumewe Flora amebaki nyumbani.

Kumbe flora alihama alikokuwa anasali Miito ya baraka akaenda kwa Gwajina?
Kwanini?
 
Halaf ni chadema. Ndio maana ni mzinifu. Mbowe na mke wake waliachana kama hivi.

Lini uzinifu ukahusishwa na chama...kama ni hivyo komba alikuwa anafanya nini vibinti na kujipiga picha
 
Jamaa anatafuta Sympathy kwenye media?,. Atulie kwanza na hii habari kwani ishakuwa exposed vya kutosha!!

Apange maisha yake kama mkewe kaamua kumuacha,. Life is too short haina haja ya kuishi na stress,.
Sio sympathy mkuu,mtu anataka kukumiminia mvua 30we unafkiri ufanyeje kama sio kumuwahi kwa stahili hiyo.
 
Mbasha umetishwa na genge la Gwajima eh. ......unataka kubadili uelekeo wa sinema.
Umepewa pesa na Gwajima? Usiuze utu wako philosophy kuwa Gwajima ni masihi Mungu ndo atadeal naye ndo chanzo cha ufuska na tamaa za Gwajima kwa wake za watu. Wasikudanganye kesi itaisha ukibadili uelekeo - sema ukweli.
Gwajima kavunja ndoa nyingi kwa kisingizio cha nafasi aliyonayo kanisani kwake na kutokuambiwa ukweli si na mke tu kwani hata washauri wanaomzunguka. Aibu kwa kanisa. !

Porojo Zako Zina Mapepo Ndan
 
Nimejikuta nacheka, nilikuwa natafuta post kama hii. Huyo jamaa uandishi wake huwa ni balaa.

pdidy hawezi kunyoosha maelezo hivi hata siku moja, hii atakuwa kaicopy kutoka kwenye blog na kupaste hapa. I bet $100.
 
Back
Top Bottom