Mume wa rafiki yangu anatarajia kuoa mke wa tatu wiki ijayo, rafiki yangu hana raha na ndoa yake

Mume wa rafiki yangu anatarajia kuoa mke wa tatu wiki ijayo, rafiki yangu hana raha na ndoa yake

Mimi ni mkristo napenda kuwa na wanawake zaidi ya mmoja na sioni kuwa dini ndio inanikwamisha

But shida ni pesa ndio sina tu
 
Kaolewa mwaka pili kaletewa mke mwenza mwaka wa tatu sasa. Tupe na vitafunio kabisa
 
Na hii ya kuoa mke zaidi ya mmoja hata wanawake wenyewe hawakubaliani nalo.
Adamu alipewa mke mmoja tu na Mungu. Unafikiri kwanini Mungu hakumpa Adamu mke zaidi ya mmoja?
Baada ya binadamu kujaa na tamaa na kuona amri za Mungu ngumu wakaanzisha imani inayowapendeza wao.
1. Binadamu akaanza kuoa mke zaidi ya mmoja
2. Kufanya urafiki na majini
Ahaa
 
Mwambie dini yetu ni mke mmoja , mme mmoja na ndio vizuri sisi sio wajinga sasa wao wanawajaza mwisho karaha bhana .
Heshima nikitu cha bure
Anhaa! Sawa sasa nimeshakuelewa, ujue nilikuwa napata taabu kuelewa ulichokiandika! Hatahivyo nasikitika kwakuwa nimeshakupuuza na uzi wako
 
Soma apo chini utaelewa ulichoandika kuliko mihemko yako na umri wako mdogo.
Wajameni kati ya kitu ninachoogopa ni kubadili dini niwe muislamu. Na ndoa yao imefunguliwa. Ipo kirahisi sana. Unaolewa leo kwa gharama kubwa akimaliza haja zake anakupa talaka tatu.

Hapo mashosti wanakucheka umeachwa unashangaa. Juzi nilienda kwa shosti yangu kaolewa huu ni mwaka wapili mie nikazani anaraha . Kumbe nikaraha huyo mwanamme alimsilimisha akawa muislamu. Halafu akapata watoto naye .

Baada yakupata watoto wakike hao ni mapacha. Akanza vitimbi akaoa bila ya ridhaa yake. Akamleta mke wa pili sasa wapo wawili . Huu ni mwaka watatu yupo humo ndani kwenye chumba chake. Sasa huyu baba anaoa tena wiki ijayo na atamleta mke ndani.

Hivi shida huwa nini?
Niambieni jamani?
Akaanza vitimbi
 
Wajameni kati ya kitu ninachoogopa ni kubadili dini niwe muislamu. Na ndoa yao imefunguliwa. Ipo kirahisi sana. Unaolewa leo kwa gharama kubwa akimaliza haja zake anakupa talaka tatu.

Hapo mashosti wanakucheka umeachwa unashangaa. Juzi nilienda kwa shosti yangu kaolewa huu ni mwaka wapili mie nikazani anaraha . Kumbe nikaraha huyo mwanamme alimsilimisha akawa muislamu. Halafu akapata watoto naye .

Baada yakupata watoto wakike hao ni mapacha. Akanza vitimbi akaoa bila ya ridhaa yake. Akamleta mke wa pili sasa wapo wawili . Huu ni mwaka watatu yupo humo ndani kwenye chumba chake. Sasa huyu baba anaoa tena wiki ijayo na atamleta mke ndani.

Hivi shida huwa nini?
Niambieni jamani?
Akaanza vitimbi
Mkuu mbona bandiko lako umeandika kwa haraka sasa yupo kwa mumewe huu mwaka wa pili au 3.Naunahakika huko ulipo upo peke yako.
 
Hakuna wanawake wapo desperate kama wanawake wakristo kwenye kuolewa!! Let me tell you my sister you so stupid! And all guys mnaobadili dini sababu ya mapenzi! Mkiachwa mnarudi kulialia! Love its self it’s not have guarantee Kwanini mnafanya huo ujinga!? Ukibadilishwa dini umeishajitolea dignity yako! Trust me! Uwezekano wa kunyanyasika ni 86% mie sister wangu aliolewa na jinga moja akaja eti ohh nataka nibadiki dini nikamwambia sitakuja kwako hata kwa bahati mbaya ukikaa hivo hivo kuna shida gani kwanza kidume chenyewe amekizidi kila kitu! Baada ya miaka miwili tu alikuja kunishukuru! Baada ya kuiona rangi halisi!
 
Aya nyiingi,ila sijaona hiyo inayoelezea mke ni m1 tu!

Marko 10 :4-12
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
⁴ Wakasema, Musa alitoa ruhusa kuandika hati ya talaka na kumwacha.
⁵ Yesu akawaambia, Kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii.
⁶ Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa ulimwengu, aliwafanya mume na mke.
⁷ Kwa sababu hiyo mtu atamwacha babaye na mamaye, ataambatana na mkewe;
⁸ na hao wawili watakuwa mwili mmoja; hata wamekuwa si wawili tena, bali mwili mmoja.
⁹ Basi alichokiunganisha Mungu, mwanadamu asikitenganishe.
¹⁰ Hata nyumbani tena wanafunzi wakamwuliza habari ya neno hilo.
¹¹ Akawaambia, Kila mtu atakayemwacha mkewe na kuoa mwingine azini juu yake;
¹² na mke, akimwacha mumewe na kuolewa na mtu mwingine, azini.

1 Wakorintho 7:1-3
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
² Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
³ Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.


Mwanzo 2:24, Mathayo 19, waefeso 5:31.

Wajuzi zaid watakuja kuelezea zaidi
Mfano sisi ktk Qur'an. Allah kasema oweni ktk wanawake mnao wapenda kuanzia wawili watatu au wanne tu! Namkihofia kuwafanyia ihsan basi oweni mmoja.

Sasa wewe unaleta maandiko meengi ila hakuna hata moja linalosema oweni mke m1.

Usichokielewa wewe na wezako wengi,nikufahamu vizuri maandiko. nakusaidia ktk maandiko kuna simulizi za mitume waliopita na kuna simulizi za wakati huu wa mtume huska na kitabu alafu kuna sheria na makatazo,

Wewe unaleta simulizi za adam sijui musa. Kama wewe unamfuata adam ktk ndoa basi oa dada yako wakuzaliwa nae maana adam aliozesha watoto wake kaka na dada
 
Tunawalaga sisi hskuna mtu wa kuweza kueahudumia wanawake 4 siku zote mapenzi hupelekwa kwa mpya hao wazamani wanatuhonga weenyewe
 
Mwambie dini yetu ni mke mmoja , mme mmoja na ndio vizuri sisi sio wajinga sasa wao wanawajaza mwisho karaha bhana .
Heshima nikitu cha bure
Mke mmoja mme mmoja ambae hamuwezi kuachana. Yaani ukute umepata mke au mume aliekubuhu anakuletea mchepuko ndani ya nyumbani wewe ubaki mke mmoja au mme mmoja? Yaani udharauliwe ndani ya ndoa wewe ubaki mme mmoja mke mmoja? Huo ndio ujinga wenyewe basi.

Ndoa ni Heshima. huyo mumemo anapoongeza mke basi kafanya kwa heshima. Sasa kama wewe unaona heshima kuwa na michepuko, sina shaka heshima huna.
 
Aya nyiingi,ila sijaona hiyo inayoelezea mke ni m1 tu!

Mfano sisi ktk Qur'an. Allah kasema oweni ktk wanawake mnao wapenda kuanzia wawili watatu au wanne tu! Namkihofia kuwafanyia ihsan basi oweni mmoja.

Sasa wewe unaleta maandiko meengi ila hakuna hata moja linalosema oweni mke m1.

Usichokielewa wewe na wezako wengi,nikufahamu vizuri maandiko. nakusaidia ktk maandiko kuna simulizi za mitume waliopita na kuna simulizi za wakati huu wa mtume huska na kitabu alafu kuna sheria na makatazo,

Wewe unaleta simulizi za adam sijui musa. Kama wewe unamfuata adam ktk ndoa basi oa dada yako wakuzaliwa nae maana adam aliozesha watoto wake kaka na dada
Kuwa na akili timamu bas inamaana ujaliona hapo?

1 Wakorintho 7:1-3
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹ Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
² Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe.
³ Mume na ampe mkewe haki yake, na vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake.

Hapo unaona kuna sehem wamesema kila mwanaume na awe na wake zake mwenyewe? Mbona nimekuwekea mifano mingi zaidi ila ujaelewa tu?ebu soma taratibu huku ukiwa na free mind utaelewa
 
Back
Top Bottom