Mume wa Samia Suluhu, Hafidh Ameir, sasa kuwa Tanzania's First Gentleman

Status
Not open for further replies.
Kwahiyo atakuwa anaambatana naye kwenye ziara mbalimbali kama marais wa kiume wanavyofanya kwa wake zao!!?
 
vipi na yeye atapewa ulinzi?
 
Mmh
 
Kwakifupi mam samia atakuepo mjengoni for 14 years kama rais.
Anamalizia hii mi 4 ya magu.
Anagombea mi 5 yake ya kwanza
Anagombea mi 5 yake ya pili
Katiba haisemi hivyo. Akimaliza miaka 5 hii aliyoachiwa anaruhusiwa miaka 5 ya mhula mwingine basi
 
Jamani hebu kuweni na adabu. Huyu mama na mmewe ni watu wazima na wajukuu. Kuwa na heshima kijana
 
Mzee tayari sasa licha ya mshahara mnono na office yenye budget juu bado atapatiwa msafara na walinzi lukuki - kweli kufa kufaana !! Hongera zake !!
Hivi majukumu ya firstlady na first gentleman huwa ni nini??
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…