Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Ni hulka ya jinsia KE hata kwa wanyama,, ndege nk ni vigumu kwa jinsia KE kukubali mtoto wa mwenzake hata kama ni aina moja ya spishi,,,and vise versa!!
 
Hizi nyuzi zipo kimkakati, hawa watakua wazee wa 50/50 wanajaribu kubalance mzani.
Tatizo hoja zao ni mfu, mwisho wa siku mwanamke anaonekana malaya tu.

Siku ukipata mimba huko mume atakutimua.
 
Wewe hukuchepuka kwa sababu ya maumivu ya mumeo kuzaa njee.

In short,unachepuka ili kutimiza malengo/maslahi yako,kwa maneno mengine wewe ni changudoa uliyekaa kikisasa zaidi.
 
Laiti km huyo mtoto angejua unavyomfikiria vibaya angeondoka. Kwa namna ulivyoandika upo tayari kumpa sumu afe wakati yeye hana kosa. Sema sku mumeo akikufuma usiste kutupa hapa mrejesho.
 
mzabzab
Yani broo kuna KE humu zishaanza kuona wivu kisa mwenzao anajenga, hahaha washaanza ooo nyuzi feki kama kawaida .
Yani bro mzabzab
Wanawake wanawivu wa kijinga sana. Eti nyuzi feki hahaha
Atoto
Donatila
Carleen
Wewe hawa sii wnataka wajionyeshe wao malaika tafikiria wao hawachepuki. Sasa sijui sie wanaume tunachepuka na punda?
 
Kayaga Twende, Dawa Ya Moto Ni Moto

Kupanga Ni Kuchagua
Nakushauri Mfate Yule Baba Dodoma Anyooshe Mambo Yako Halafu Zaa Naye
Nawe Upate Kupona Kidonda
 
Ukishindana na mwanaume zitakazoumia ni sehemu zako za siri tu.

Tafuta note duniani ukikuta mke kaolewa na mume zaidi ya mmoja then go ahead.
hebu jaribu Nepal naona kama vile wanao utamaduni huo wa mke mmoja waume wengi
 
Kumbe hata nawe kipenzi changu cha roho toka klabu bomba kabisa duniani Chelsea FC "The Blues" umeshtuka [emoji848][emoji4]

Lengo kuu haswa ni "KATAA NDOA" ila "KATAA USHOGA" wanakausha, kizazi cha hovyo sana hiki [emoji35]
Ndugu yangu wa blue,๐Ÿ”ต
Huu ni mtego kabisa..!!๐Ÿ™Œ
 
mzabzab
Yani broo kuna KE humu zishaanza kuona wivu kisa mwenzao anajenga, hahaha washaanza ooo nyuzi feki kama kawaida .
Yani bro mzabzab
Wanawake wanawivu wa kijinga sana. Eti nyuzi feki hahaha
Atoto
Donatila
Carleen
Carleen hili furushi huwa halikosi hizi nyuzi. Tena wa mwanzo mwanzo kucoment. Na huwa ni mtetezi mkuu. Sijui dots zinaungika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Carleen hili furushi huwa halikosi hizi nyuzi. Tena wa mwanzo mwanzo kucoment. Na huwa ni mtetezi mkuu. Sijui dots zinaungika๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
I didn't take him into consideration but from now onwards will surely do..!!
Mafurushi haya yana agenda zao chafu humu ndani, walaqhi' trust Me..!!
 
Hujamalizia story ya hii hapa eh akawa analeta vitu kutoka china anakupa chuna mama usijali maisha ni magumu ila ndio hivyoo aangalia afya Yako maana ukijifanya unamkomoa basi tu wewe ndio utabakia unashida sio yeye anatamba na mtoto wake
 
Hahahaha Wanawake wanaojionaga wazuri hahaha wanakuaga Wajinga sana kwakweli !!

Wengi wa Wanawake wazuri hawaolewi, wakiolewa ,ujue mwanaume ana Moyo wa uvumilivu sana.


Simnaona Kila Aya anasema "Coz najiamin mie mzuri "๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ