Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Wanachosha kila mtu anatoa post za kusaliti wanaume zao wandoa mwaka Jana ilikuwa wanaume wakina DeepPond Sasa ni wanawake eh Dunia imeshasimamaga na wengi tumeshukaga tu maana hii inachosha kama ushoga ilitrend hadi tuliitwaga wanaume humu wamechoka saivi ndio hii mipost Bora hata manjenga ili mkishindwana mnaenda kujisitiri huko.
 
Mume mwenyewe anaonekana ana misimamo makali kama sio Mkorofi halafu unataka kushindana naye ?

Angalia asije akaja kukudhuru! [emoji848]

Na Mwanaume wa hivyo hata kufanya maamuzi ya kukuacha kwake sio kazi!
 
Mm nimwanaume lakin ulicho kiandika nimekielewa vizuri sana,namipia naunga mkono juhudi zako hongera sana.
 
We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
Mpambanaji kwa kudanga
 
Mapenzi yenyewe na hao michepuko umefosi wewe?’!

No chemistry at all. No intimacy.

Unafanya kutumika tu jamani!

Kwani hukuwahi kuwa na Mwanaume mnaependana kwa dhati kabla kiasi ambacho mngeweza kuoana?!
Au yuko mbali? Anyway umeamua mwenyewe hivyo.

Mimi naona si sawa kulalwa na Mwanaume yeyote kwa kuzani unamkomoa mumeo.
 
Utakaporejea home kwenu tabu iko palepale [emoji108]

Mtoto wa kiume kajaa tele. [emoji28]

Unaambiwa kama vipi sepa aiseee [emoji3]

Mumeo nimemkubali Kwa misimamo though mmnh!

Ajaribu kuwa gentleman walau au hataki umtawale?
 
Eti unajiamini wee mzuri sana, mara eti ulimpa mchepuko akakufurahia sana, ulimpa nini mpaka huyo mchepuko akufurahie wewe kiasi kwamba akujengee na nyumba? Yani ulimpa k au Kuna Cha ziada ulimpa?

Sio Bure wewe ulitoa matako, uliliwa Kwa mpalange, ulitifuliwa tope wewe, vp huskii kamuwasho huko? Utaacha kweli hiyo tabia wewe au ndo mchepuko keshakunogesha?
 
Mimi naamini binadamu tumeundwa kwa utashi tofauti na viumbe wengine.

Binadamu tuna uhuru wa kufanya chochote kile kinachoweza kutufanya tuishi juu ya uso huu wa dunia kwa furaha.

Haswa tunafanya kila kinachowezekana ili tuwe na furaha, tuwe bila maumivu na mkwamo wowote , haswa haswa ni furaha ndio tunayo mpigania.

Katika kupigania huko huo furaha wakati mwingine tunakutana na kinyume chake.

Binadamu tunapo umizwa au tunapo koseshwa furaha huwa hatuna kutulia kwa nafsi roho wala akili mpaka tulipe kisasi.

Kisasi tunacholipa eidha tumuone yule alietusabishia maumivu na yeye ana umia au umuumuze ikiwa hakutani na maumivu.

Katika situation hio mleta mada natumaini kabisa upo sawa, hauna kosa kabisa.

Ila jitahidi sana sana kuwa na kiasi katika mishe zako.

Pole pia.
 
Una akili nzuri sana friend....hizi ni soga tu za kuchangamsha genge.

Ndio maana wote wanaandika kuhusu kuchepuka.
 
Hahahaha Wanawake wanaojionaga wazuri hahaha wanakuaga Wajinga sana kwakweli !!

Wengi wa Wanawake wazuri hawaolewi, wakiolewa ,ujue mwanaume ana Moyo wa uvumilivu sana.


Simnaona Kila Aya anasema "Coz najiamin mie mzuri "πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Huyo anapakuliwa huyo sio bure
 
Sijaona cha maana zaidi ya kututangazia biashara yako ya ukahaba huku mwenyewe ukiamini hiyo ndio njia ya kumkomoa mume wako wakati unayejidhalilisha ni wewe mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…