Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Yaani mpaka unamaliza ujenzi wa nyumba zako ushakandwa na wanaume wasiopungua kumi. Maendeleo ya wanawake wengi yana uzinzi na uasherati mwingi
 
Uzi mwingine uliotungwa na KATAA NDOA kwa maslahi yao. Propaganda za usaliti zimekuwa nyingi. Kila uchwao uzi wa usaliti hutungwa.

Tena na NEW ID. Joined Today, made a thread today. It is all about marriage conflicts.

Huu ni upuuzi. Uzi utatembea na kusomwa na wengi. Vijana watajikatia tamaa ya kuoa.
Hawa jamaa wa ajenda ovu[emoji3525]
 
Hii thread ukiisoma mpaka mwisho utagundua mwandishi ni mmoja na zile nyingine zilizotangulia, lengo hasa sijajua ni kutuliza hasira za mwanamme pindi akifumania au lengo ni kuongeza chuki ya jamii kwa mwanamke.
Lakini hakika yake lengo ni ovu.
Hakika mkuu,
Naona Kama Ni trend flan inaendelea ya kataa ndoa humu jf na hizi new IDs [emoji848]
 
Hivi kuna mtu kaona namna uandishi wa hawa wanaojiita wanawake wanaosaliti waume zao unafanana sana, hadi makosa ya kiuandishi..??

Hii thread ni ya 3 kitu ni kile kile, hivyo wake za watu wote mnaochepuka mnajikuta wote hamjui kuandika Kiswahili sanifu siyo..??

Hongereni attention seekers..!!
Sio bure,
Kuna Watu wako Kenny kampeni maalum ya kuwachafua wanawake na kuharibu tasnia ya ndoa. Hao wapuuzi wapuuzwe.
 
Mpambanaji wakati wanajenga michepuko..[emoji1787]
Nafikiri neno mpambanaji Lina tofauti kati ya wanaume tunavyolitafsiri na wanawake wanavyolitafsiri
Atakua anamaanisha mpambanaji kitandani kusaka ujira[emoji4]
 
Kuacha nitaacha nasubiri nikifike hatua flani hivi
Kwa sasa nishaezeka , na plasta tayari na magrili.
Nipo na huyu jamaa.
Nikimaliza wiring, rangi, tales, na umeme. Na baadhi ya vitu naachana ne. Mwishoni mwa mwaka huu nitafika tuu.
Unaachana na Mumeo Ili uwe huru kudanga sio?
 
Yaani mpaka unamaliza ujenzi wa nyumba zako ushakandwa na wanaume wasiopungua kumi. Maendeleo ya wanawake wengi yana uzinzi na uasherati mwingi
Yashanikuta kwa fundi cherehani
Namsifia Ni mpambanaji kumbe Ni kahaba anajiuza, Tena anatumia Hadi madalali[emoji26]
 
Msipende kuhalalisha dhambi kupitia dhambi,haya maisha relax kwani nani anajua yupi atatangulia.
Mtoto wa nje anaweza akawa na akili kuliko hata watoto wa ndani na akaja kuokoa na kuisimamia familia familia,mifano ni mingi.
Unasema kweli kabisa Baba yangu wa kambo alifariki Mimi na brother mmoja ambao wote ni watoto wa kambo ndio tumefanikisha maziko yake huku watoto wake wa kuzaa 15 wakiwa wapo kama sanamu.

Kweli wahenga walisema Duniani tambala bovu,atakayekuzika humjui.
 
Nimesoma comments bila kusoma utopolo wa huyo dada. Na kuona jinsi mnavyo hangaika kubishana naye.

Kiufupi hamtakiwi kubishana naye. Mwache afanye anachojisikia.... maana maisha yake hayawahusu kwa namna yoyote ile, afya yake haiwahusu wala tamaa zake Za kimwili haziwahusu.

Kila mtu anapambana na hali yake hapa duniani..

Dhambi nayo ukiizoea sana unakuwa kama unaitakasa na Kuwa dhabihu ndani yako.
Kila siku utahitaji kuifanya zaidi ya jana.

Kajaribuni kuwaelewesha na kuwasaidia watu kwenye nyuzi nyingine wanaoomba msaada wa kimawazo.

Huyu haitaji msaada, tayar anashida kichwani.

Ni hayo tu.
Comment Bora kabisa hii[emoji4][emoji106]
 
Siku mumeo akijua umejenga kisiri siri anataguta wahuni wanakwenda wanatia nyumba petrol kisha anakuacha hapo ndio utajua raha ya mapenzi.
Na duaniani hakuna siri IPO siku atajua tu.
 
0 brain, sasa watoto wako ukiwajengea kwengine ndiyo unawatoa kutokuwa watoto wa baba yao? Serikali ipime akili za raia wake.
Huyu mama anatengeneza chuki na ubaguzi kwa watoto
 
Dah sijui hata Kwa Nini sijakuonea huruma[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Una roho ya uchungu na mbaya sana usije mroga mtoto wa mwanamke mwenzio.
Unajisifu uzuri na mvuto huku ndani yako una roho nyeusi.
Ana roho mbaya san huyu binti,
Jamaa amtoe huyo Mtoto wa kiume pale nyumban haraka sana
 
Mie kuna issue niliifanys kwa siri sana nikiamini wife au ndugu yangu hata kuja kufahamu kamwe nilishangaa sana siku mmoja ananiambia kuna mwezi ulifanya a,b,c asee nilishitka sana.
Ndipo niliamini siri ni ya wewe pekee tu Duniani,ikisha husisha zaidi ya wewenna mwingine hakuna siri tena.
 
Mapenzi yenyewe na hao michepuko umefosi wewe?’!

No chemistry at all. No intimacy.

Unafanya kutumika tu jamani!

Kwani hukuwahi kuwa na Mwanaume mnaependana kwa dhati kabla kiasi ambacho mngeweza kuoana?!
Au yuko mbali? Anyway umeamua mwenyewe hivyo.

Mimi naona si sawa kulalwa na Mwanaume yeyote kwa kuzani unamkomoa mumeo.

Hapo ndo ke wengi wanafeli
 
Back
Top Bottom