Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Mume wangu alizaa nje: Nimekuwa na chuki na kusababisha kuchepuka nje ya ndoa

Wanachosha kila mtu anatoa post za kusaliti wanaume zao wandoa mwaka Jana ilikuwa wanaume wakina DeepPond Sasa ni wanawake eh Dunia imeshasimamaga na wengi tumeshukaga tu maana hii inachosha kama ushoga ilitrend hadi tuliitwaga wanaume humu wamechoka saivi ndio hii mipost Bora hata manjenga ili mkishindwana mnaenda kujisitiri huko.
Ntake radhi binamu[emoji4]
 
Hahahaha Wanawake wanaojionaga wazuri hahaha wanakuaga Wajinga sana kwakweli !!

Wengi wa Wanawake wazuri hawaolewi, wakiolewa ,ujue mwanaume ana Moyo wa uvumilivu sana.


Simnaona Kila Aya anasema "Coz najiamin mie mzuri "[emoji23][emoji23][emoji23]
Nakazia[emoji4]
 
Ana roho mbaya san huyu binti,
Jamaa amtoe huyo Mtoto wa kiume pale nyumban haraka sana
Hivi unajua Vijana wengi wanapoteza dira za Maisha kwa ajili ya mama za kambo wenye roho za namna hii,Mara nyingi wanafanya ulozi kuharibu future za watoto,kusa tu hii habari ya kusema atarithi mali
 
Hivi unajua Vijana wengi wanapoteza dira za Maisha kwa ajili ya mama za kambo wenye roho za namna hii,Mara nyingi wanafanya ulozi kuharibu future za watoto,kusa tu hii habari ya kusema atarithi mali
Huyu mama alikofikia kwa Hii chuki hakawii kumpa sumu uyo Mtoto wa kiume
 
Nakupongeza kwa kujua kitafuta furaha yako, hiz nyeti zipo tu. Uamuz wako kuzitumia kwa raha zako ili mradi zikuletee faida
 
Mke mpumbavu huvunja nyumba yake kwa mikono yake mwenyewe. Endelea hivyo hivyo, unalolikoroga utalinywa.
 
HUKO NIKUJIUZA

NJOO NA MIMI NIKUKULE ILI NIKUPE MCHANGO WA UJENZE UNAO UTAKA

MWANAMKE MJINGA SANA WEWE.
 
Yashanikuta kwa fundi cherehani
Namsifia Ni mpambanaji kumbe Ni kahaba anajiuza, Tena anatumia Hadi madalali[emoji26]
aisee na wwe mkuu ulikuwa kwenye foleni ya kumchangia mpambanaji kwa kivuli cha ukahaba
 
aisee na wwe mkuu ulikuwa kwenye foleni ya kumchangia mpambanaji kwa kivuli cha ukahaba
Nilitoa Hadi vifaa vya wayaringi ya umeme nyumba aliyokua anajenga, keshahamia anaishi kabisa
 
Nilitoa Hadi vifaa vya wayaringi ya umeme nyumba aliyokua anajenga, keshahamia anaishi kabisa
Duuh noma sana mkuu wanawake wapambanaji kaa nao mbali wapo tayari kwa lolote hatariii sana
 
Duuh noma sana mkuu wanawake wapambanaji kaa nao mbali wapo tayari kwa lolote hatariii sana
Wee acha TU,
Nilivogundua anajiuza akaomba nimsamehe, aisee Moyo umekua mzito Sana.Nmempotezea Moja kwa Moja.
 
We ni mwanamke mpambanaji, hongera sana na pole

Ila kwani umechepuka?

Ndoa ni mapambano pia, ulipaswa upambane, ila wewe uliwaza Mali tuu...
Kuchukuliwa na mtoto ...

Huyo mtoto ni jaribu na ni baraka ungemlea na kumpenda tuu
Huyu ni mdangaji kama umesoma uzi wake vizuri yuko kimaslai kwa hao wanaume.
na inaonekana anajitiongozesha.
 
Mpambanaji wakati wanajenga michepuko..🤣
Nafikiri neno mpambanaji Lina tofauti kati ya wanaume tunavyolitafsiri na wanawake wanavyolitafsiri
Kukata uno mpaka mtu anajengewa si kazi ndogo. usikute anatoa na ndogo
 
Back
Top Bottom