Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 17,694
- 17,131
- Thread starter
- #61
Kwani yeye ana mboo??Simamisha wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani yeye ana mboo??Simamisha wewe
Mshauri amwambie aende kwa wataalam wa afya kwa ajili ya vipimo Kisha ndipo atajua wapi aanzieHaya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Atatumia hata vidoleKwani yeye ana mboo??
Embu tuambie na weweNdio hasimamishi sasa, what will u do?
Kwanini kanisani waambiwe kuwa wasichunguline mpaka ndoaBasi huyo kavamia ulokole.basi naapambane na hali yake🤣🤣
kuhusu youtube hujatoa details zote tunaipataje channel yako, hata jina mimi sijui.Kwani nyie mnaongea HADITHI au real life
Nimeona mje YouTube msikizie watu wanavyolia na mambo ya ndoa mnakataa
Sawa, nitamjuza mhusikaHujatoa solution ya tatizo la binti.
Hata kama ni warumi au walokole, utaratibu uko wazi, kesi kama hiyo ndoa inavunjwa. Aende akamwambie mchungaji wake.
Iko hivi, kama alikuwa mzima baafae ndo akapata hiyo shida, hapo ndoa haivunjwi.
Kama hajawahi kufanya penetration, hiyo ndoa ni batili na inavunjwa.
Avunje ndoa, tendo la ndoa ndio linafanya iitwe ndoa, bila kuwekana hakuna ndoa mkuu.Kumbe atangaze nini
Tuambie na wewe dada WA watu afanyaje
Mekutumia inbox linkkuhusu youtube hujatoa details zote tunaipataje channel yako, hata jina mimi sijui.
DuTUTATAFUTA SOLUTION ASIMAMISHE HATA KWA KUFUNGA NA KUOMBA!!😂
AhsanteMekutumia inbox link
DuNdiyo inawezekana serikali kupitia mahakama inavunja ndoa yeyote ile na kuisambaratisha vipande vipande
Karibu bossAhsante
Huyo nadhani amebalee juzi anamaliza form 4 kesho kutwaNitakupa 6months utatafuta alternative, hakuna kitu kinasumbua akili kama ugwadu mkuu.
Washaenda huko muda imeshindikanaMshauri amwambie aende kwa wataalam wa afya kwa ajili ya vipimo Kisha ndipo atajua wapi aanzie
Ndoa haiendeshwi na vidoleAtatumia hata vidole
Sawa nitamwambiaAvunje ndoa, tendo la ndoa ndio linafanya iitwe ndoa, bila kuwekana hakuna ndoa mkuu.
Bila kufanya dhihaka, hali hii inaweza kumpata Mtu yeyote nashauri aende hospitali akishindwa kabisa ajaribu upande wa pili( mambo ya kiroho)....hii inaweza kuwa vita ya kutenganisha ndoa yao....wapambane watatoboa....Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Si kweli kusema ndoa ya Kikristu haiwezi kutenguliwa kwa mwanaume kutosimamisha. Ili ndoa ihesabiwe kuwa imekuwepo kuna masharti matatu:Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: nini mbaya mami??
Mlokole: mume hasimamishi nanii yake
Money penny: kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo Tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje??
Stori kamili: ipo YouTube channel yangu
Msaidieni binti WA watu afanyaje