Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 25,725
- 78,589
Hao wa kanzu tunawaelewa tu mkuuhawa waliopigwa kanzu na wanaume, kidogo tunaweza kuwaelewa..
ila wale wa kutafuta pesa wasinyanyasike waendelee tu kupambana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao wa kanzu tunawaelewa tu mkuuhawa waliopigwa kanzu na wanaume, kidogo tunaweza kuwaelewa..
ila wale wa kutafuta pesa wasinyanyasike waendelee tu kupambana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakumiss ujueNdiyo maana hatujapata GG Leo game ya mapema kabisa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kilio chako nimekisikia mke wangu embu fanya uje upesi.
Eeeeeh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hapana chezea genye
Mtuoe mapema Pia, sio Tujitahidi kuolewa Kwani tunajioa dk?Kila la kheri.
Wanawake mjitahidi kuolewa mapema(22-25) fursa ya kuolewa ikitokea, kuna faida yake kuolewa mapema.
I'd imefanyajeHiyo ID yako tuuu jamani
mbona unacheka?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hao wa kanzu tunawaelewa tu mkuu
Kuna mahali huyu binti hasemi kweli...Kama naiona piemu yako ilivyo bize...
Ngoja tusubirie zile sredi za mrejesho zinazotumwa na wa upande wa pili....
Anakusubiri mkuu, nenda wewe kwa nauli yako!!Kilio chako nimekisikia mke wangu embu fanya uje upesi.
Kuna mahali huyu binti hasemi kweli...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nakumiss ujue
Don't argue with a woman ............ Shida yenu nyinyi wanawake mlolemewa na mizigo..
Humu JF mtu akiweka mawazo yake, ili mradi yamekugusa bila wao kujua yamekugusa
Huwa mnalipuka na maneno ya makalioni mwenu!!!
Shwain.... Kojoa ulale !!!. NYEUPE NI NYEUPE NA NYEUSI NI NYEUSI..zote zitasemwa sawasawa na Rangi yake.
Kaoneko kalivyo !!![emoji53]
Kwamba hujawahi kuombwa uchumba hata siku moja?Mtuoe mapema Pia, sio Tujitahidi kuolewa Kwani tunajioa dk?
Mwezi wa Sita alikuwa na Miaka 28,Atasemaje ukweli na anachotaka ni kifanyio cha mwanamume...