Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Mume wangu, nimechoka kukusubiri

Nimeanza kuamini wale wanaosema wanawake tuna lugha lainiiiiiii ya kumtoa nyoka pangoni 😂😂😂😂😊😊😊...cheki wakaka walivyojazana kwenye hii topic? Lol Wadada na wamama wa humu ndio tujifunze sasa,,,,, Mume anataka lugha lainiiii sio akija anakukuta na gubu! 😂😂😂😍😍😍
 
Kama naiona piemu yako ilivyo bize...

Ngoja tusubirie zile sredi za mrejesho zinazotumwa na wa upande wa pili....
 
Dear Nasu naona kama kuna mahali unadanganya!!
Je, umri wako unarudi nyuma au unaenda mbele?
Je, unakazi au unaomba boost ya mtaji?
Screenshot_2019-09-28-21-38-24-56.jpeg
 
Don't argue with a woman ............ Shida yenu nyinyi wanawake mlolemewa na mizigo..

Humu JF mtu akiweka mawazo yake, ili mradi yamekugusa bila wao kujua yamekugusa
Huwa mnalipuka na maneno ya makalioni mwenu!!!

Shwain.... Kojoa ulale !!!. NYEUPE NI NYEUPE NA NYEUSI NI NYEUSI..zote zitasemwa sawasawa na Rangi yake.

Kaoneko kalivyo !!![emoji53]

Ona mineno ilivyokutoka km mama mwenye nyumba aliyekosa kodi yake,,,,,,,,,

Mnaaibisha mama zenu!...walidhalilishwa na baba zenu...na nyie mahusiano yenu hayana furaha sababu mmejifunza mwanamke ni mtu weak,asiyepaswa kuheshimiwa na kujaliwa,,,,,

Wewe muulize mkeo hapo akuambie ukweli kama huwa anakuelewa unavyo mtreat??? Jinsi ulivyo control freak.. usiejijua kwa nini uko hivyo lol
 
Back
Top Bottom