Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Mumeo akiku-cheat na wewe m-cheat

Hujawahi kuwa mwanamke unajuaje hitaji lao?
Ndoa ni huko zamani sio sasa hivi majanga matupu.
Mimi ni mwanamke naona ndoa ni upuuzi sasa unasemaje ni hitaji la kila mwanamke?
Kwamba siku hizi ndoa sio hitaji la Mwanamke tena, you are wrong my dear.

Ungejua Waganga wa kienyeji na hao manabii uchwara wanavyowalia hela Wanawake wenzio kisa kupata ndoa hata usingesema hivyo.

Hitaji bado ni kubwa mno huko kwa ground
 
Wewe jamaa Mbona huwa hunamsimamo unachokisimamia juu ya hawa wanawake.

Au ndiyo ukijua kuandika imeisha hivyo?
 
MUMEO AKIKU-CHEAT NA WEWE M-CHEAT

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Najua wapo wanaume watanimaindi kwenye hii mada lakini hiyo ndio namna Watibeli tunavyofanya mambo yetu.
Hatuna msamaha kwa mtu anayefanya jambo kwa kudhamiria. Hiyo hatuna.

Kitu cha kwanza niliwaambia binti zangu kuwa hakikisha unajiweza, upo huru, unajitegemea na unaweza kujilisha wewe na watoto na mumeo(ikiwa mumeo ataumwa au itatokea dharura ya kimaisha). Niliwaambia msipende kuhudumiwa, wala kupenda vya bure ili muilinde furaha yenu.

Mwanaume kabla hajakuoa. Mpe misimamo yako. Mwambie mimi nipo tayari kujisalimisha kwako kama mkeo. Na nitakutii na kukusikiliza kwa kila jambo lililokuwa. Kwenye shida na raha tutakuwa wote lakini sio kwenye uovu na uasi.

Mwambie kabisa unamoyo mzuri lakini haimaanishi huwezi kutenda mambo mabaya na yakutisha kwa Watu wasiokuheshimu.

Mwambie siku atakayo-cheat ndio siku hiyohiyo ambayo utaandaa mipango kabambe ya kum-cheat. Mwambie kabisa kuwa hutamsamehe pasipo kumpa adhabu hiyo.
Ili aonje ule utamu alioufanya juu yako.

Mwambie yeye a-cheat kwa bahati mbaya lakini wewe utafanya makusudi. Mwambie yeye a-cheat kwa kujificha na kwa siri lakini wewe utafanya waziwazi bila kificho.

Mwambie kama anahitaji uaminifu wako itampasa naye awe mwaminifu.

Mwambie ndoa za Watibeli sio za kitapeli (dhulma) utakachokifanya ndicho utakachofanyiwa. Haki bin haki.

Akikuletea porojo sijui huwezi mkomoa Mwanaume zaidi ya kujikomoa mwenyewe mwambia naye hawezi kukukomoa wewe zaidi ya kujikomoa yeye mwenyewe.

Usikubali akuzalishe watoto ambao hautakuwa na uwezo wa kuwatunza hata siku asipokuwepo( iwe kwa kuachana au Kufariki) zaa watoto kulingana na uwezo wako wa kuwatunza. Kulingana na kipato chako.

Binti za Tibeli sio Wajinga. Usidai pesa za matumizi ikiwa mwanaume hataki kukupa hizo pesa huko ni kujishushia heshima na kujidhalilisha. Ikiwa ataichukulia hiyo kama faida au kuvuja kwa pakacha. Badilisha majina ya mtoto na mpe majina ya Watibeli.

Usiwe na moyo safi kwa mtu mwenye moto mchafu dhidi yako.
Usiwe na upendo kwa mtu mwenye chuki na wewe.
Usiwe na heshima kwa mtu mwenye kukudharau.
Usimpe mtu kipaombele ikiwa yeye anakuona wa ziada.

Ikiwa mumeo au mwanaume anapenda ndugu au wazazi wake kuliko wewe. Anakuweka nafasi ya pili au ya tatu. Wewe mweke nafasi hiyohiyo aliyokuweka. Hiyo ndio HAKI.
Ikiwa mwanaume amekuweka nafasi ya kwanza nawe muweke nafasi ya kwanza.

Usiwe mtumwa wa yeyote. Hivyo ndivyo Watibeli tulivyo.

Usifikirie maisha yatakuwaje ikiwa mtu anataka kukuacha iwe kwa kusema au kwa matendo yake. Huo ni utumwa.

Binti zangu msijesema Baba yenu sikuwaambia namna ya ku-deal na wanaume. Hivyo ndivyo mtakavyoishi kwa furaha. Kamwe usiwe mtumwa wa mtu mwingine hasa asiyemtumwa wako.
Kama mume au mwanaume anajitumikisha kwaajili yako nawe jitumikishe kwaajili yake.
Mpe kile alichopanda. Nawe usione shida kulipwa kile ulichopanda. Hivyo ndivyo mambo yalivyo.

Usiogope kuwa sijui atakupiga au atakuua. Usiwe mwoga kama nilivyokufundisha. Woga utakufanya uonewe. Ni bora akuue kuliko akufanye kuwa mtumwa wake.
Akikufanyia uhalifu wapo Watu wa haki watakaodili naye ikiwemo sisi Watibeli.

Acha Baba yenu nipumzike.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Emu wajengee dunia yao watoto wako waishi huko na wayafanye haya Ila kwa dunia hiibhawana nafasi kabisa na utawafanya wawe watu wachini kuwahi kutokea,

Hili huwafundishi tu watoto wako Ila na mkeo, atatoka kwenye kukuheshim na ataishi kibabe kwako, huenda Hana kipato Cha kumpa uhuru na kibri kama ulivosema Ila atamtafuta sponsor wakumfanya awe hivo.

Maneno yanaumba ndugu yangu jiandae kwa haya maombi uliyotuma kwa mungu wako

Katika maisha unamfaninishaje au unamwekaje mwanamke au mwanaume kwenye nafasi moja na mzazi??

Ngoja mkeo asome andiko hili alafu yakukute urudi hapa utupe upande wa pili wa fikra zako.

Yaan mpaka Leo humjui mwanamke kaka, unafikri vitabu vitakatifu vimekosea kutuambia tuishi nao kwa akili,
 
Kwamba siku hizi ndoa sio hitaji la Mwanamke tena, you are wrong my dear.

Ungejua Waganga wa kienyeji na hao manabii uchwara wanavyowalia hela Wanawake wenzio kisa kupata ndoa hata usingesema hivyo.

Hitaji bado ni kubwa mno huko kwa ground
Ambao wapo desparate na ndoa maisha yamewapiga, hawana namna zaidi ya kuolewa ili wasitirike. Ipo hivyo kaka.
Ndo maana wanawake wengi wakiachika wanafubaa maana wao wenyewe hawana uwezo wa kujitunza.

Pia jamii imewaaminisha kwamba kuolewa ni lazima, ni mentality imejengeka akilini mwao kama ambavyo wewe imekukaa akilini mwako.

Ndoa ni hitaji la wanawake wengi lakini sio wanawake wote.
 
Mmeanzaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ww hata ukipewa hela na mwanaume hatushangai maana tunajua unaenda mpa nn hata tukuone saloon .sasa dume kabisa linalia kuwa sawa na wanawake tukimshika tako atatulia
 
Ambao wapo desparate na ndoa maisha yamewapiga, hawana namna zaidi ya kuolewa ili wasitirike. Ipo hivyo kaka.
Ndo maana wanawake wengi wakiachika wanafubaa maana wao wenyewe hawana uwezo wa kujitunza.

Pia jamii imewaaminisha kwamba kuolewa ni lazima, ni mentality imejengeka akilini mwao kama ambavyo wewe imekukaa akilini mwako.

Ndoa ni hitaji la wanawake wengi lakini sio wanawake wote.
Umesema sahihi, ila baada ya miaka 50 ijayo Kuoa/Kuolewa inaweza isiwe kipaumbele tena cha Vijana na likawa jambo la kawaida.
 
MUMEO AKIKU-CHEAT NA WEWE M-CHEAT

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Najua wapo wanaume watanimaindi kwenye hii mada lakini hiyo ndio namna Watibeli tunavyofanya mambo yetu.
Hatuna msamaha kwa mtu anayefanya jambo kwa kudhamiria. Hiyo hatuna.

Kitu cha kwanza niliwaambia binti zangu kuwa hakikisha unajiweza, upo huru, unajitegemea na unaweza kujilisha wewe na watoto na mumeo(ikiwa mumeo ataumwa au itatokea dharura ya kimaisha). Niliwaambia msipende kuhudumiwa, wala kupenda vya bure ili muilinde furaha yenu.

Mwanaume kabla hajakuoa. Mpe misimamo yako. Mwambie mimi nipo tayari kujisalimisha kwako kama mkeo. Na nitakutii na kukusikiliza kwa kila jambo lililokuwa. Kwenye shida na raha tutakuwa wote lakini sio kwenye uovu na uasi.

Mwambie kabisa unamoyo mzuri lakini haimaanishi huwezi kutenda mambo mabaya na yakutisha kwa Watu wasiokuheshimu.

Mwambie siku atakayo-cheat ndio siku hiyohiyo ambayo utaandaa mipango kabambe ya kum-cheat. Mwambie kabisa kuwa hutamsamehe pasipo kumpa adhabu hiyo.
Ili aonje ule utamu alioufanya juu yako.

Mwambie yeye a-cheat kwa bahati mbaya lakini wewe utafanya makusudi. Mwambie yeye a-cheat kwa kujificha na kwa siri lakini wewe utafanya waziwazi bila kificho.

Mwambie kama anahitaji uaminifu wako itampasa naye awe mwaminifu.

Mwambie ndoa za Watibeli sio za kitapeli (dhulma) utakachokifanya ndicho utakachofanyiwa. Haki bin haki.

Akikuletea porojo sijui huwezi mkomoa Mwanaume zaidi ya kujikomoa mwenyewe mwambia naye hawezi kukukomoa wewe zaidi ya kujikomoa yeye mwenyewe.

Usikubali akuzalishe watoto ambao hautakuwa na uwezo wa kuwatunza hata siku asipokuwepo( iwe kwa kuachana au Kufariki) zaa watoto kulingana na uwezo wako wa kuwatunza. Kulingana na kipato chako.

Binti za Tibeli sio Wajinga. Usidai pesa za matumizi ikiwa mwanaume hataki kukupa hizo pesa huko ni kujishushia heshima na kujidhalilisha. Ikiwa ataichukulia hiyo kama faida au kuvuja kwa pakacha. Badilisha majina ya mtoto na mpe majina ya Watibeli.

Usiwe na moyo safi kwa mtu mwenye moto mchafu dhidi yako.
Usiwe na upendo kwa mtu mwenye chuki na wewe.
Usiwe na heshima kwa mtu mwenye kukudharau.
Usimpe mtu kipaombele ikiwa yeye anakuona wa ziada.

Ikiwa mumeo au mwanaume anapenda ndugu au wazazi wake kuliko wewe. Anakuweka nafasi ya pili au ya tatu. Wewe mweke nafasi hiyohiyo aliyokuweka. Hiyo ndio HAKI.
Ikiwa mwanaume amekuweka nafasi ya kwanza nawe muweke nafasi ya kwanza.

Usiwe mtumwa wa yeyote. Hivyo ndivyo Watibeli tulivyo.

Usifikirie maisha yatakuwaje ikiwa mtu anataka kukuacha iwe kwa kusema au kwa matendo yake. Huo ni utumwa.

Binti zangu msijesema Baba yenu sikuwaambia namna ya ku-deal na wanaume. Hivyo ndivyo mtakavyoishi kwa furaha. Kamwe usiwe mtumwa wa mtu mwingine hasa asiyemtumwa wako.
Kama mume au mwanaume anajitumikisha kwaajili yako nawe jitumikishe kwaajili yake.
Mpe kile alichopanda. Nawe usione shida kulipwa kile ulichopanda. Hivyo ndivyo mambo yalivyo.

Usiogope kuwa sijui atakupiga au atakuua. Usiwe mwoga kama nilivyokufundisha. Woga utakufanya uonewe. Ni bora akuue kuliko akufanye kuwa mtumwa wake.
Akikufanyia uhalifu wapo Watu wa haki watakaodili naye ikiwemo sisi Watibeli.

Acha Baba yenu nipumzike.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Kakah! andika Uzi utaolezea hii falsafa ya utibeli vizuri(Chanzo,mwanzilishi,je mtu Huwa anazaliwa nayo tu ama? Na watu wake Huwa wa aina Gani )

Japo Kuna vitu nishaviona kwenye nyuzi zako unapogusia hii falsafa ila nataka kuviona ukivichambua zaidi vikiwa katika Uzi wake maalumu.
 
MUMEO AKIKU-CHEAT NA WEWE M-CHEAT

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Najua wapo wanaume watanimaindi kwenye hii mada lakini hiyo ndio namna Watibeli tunavyofanya mambo yetu.
Hatuna msamaha kwa mtu anayefanya jambo kwa kudhamiria. Hiyo hatuna.

Kitu cha kwanza niliwaambia binti zangu kuwa hakikisha unajiweza, upo huru, unajitegemea na unaweza kujilisha wewe na watoto na mumeo(ikiwa mumeo ataumwa au itatokea dharura ya kimaisha). Niliwaambia msipende kuhudumiwa, wala kupenda vya bure ili muilinde furaha yenu.

Mwanaume kabla hajakuoa. Mpe misimamo yako. Mwambie mimi nipo tayari kujisalimisha kwako kama mkeo. Na nitakutii na kukusikiliza kwa kila jambo lililokuwa. Kwenye shida na raha tutakuwa wote lakini sio kwenye uovu na uasi.

Mwambie kabisa unamoyo mzuri lakini haimaanishi huwezi kutenda mambo mabaya na yakutisha kwa Watu wasiokuheshimu.

Mwambie siku atakayo-cheat ndio siku hiyohiyo ambayo utaandaa mipango kabambe ya kum-cheat. Mwambie kabisa kuwa hutamsamehe pasipo kumpa adhabu hiyo.
Ili aonje ule utamu alioufanya juu yako.

Mwambie yeye a-cheat kwa bahati mbaya lakini wewe utafanya makusudi. Mwambie yeye a-cheat kwa kujificha na kwa siri lakini wewe utafanya waziwazi bila kificho.

Mwambie kama anahitaji uaminifu wako itampasa naye awe mwaminifu.

Mwambie ndoa za Watibeli sio za kitapeli (dhulma) utakachokifanya ndicho utakachofanyiwa. Haki bin haki.

Akikuletea porojo sijui huwezi mkomoa Mwanaume zaidi ya kujikomoa mwenyewe mwambia naye hawezi kukukomoa wewe zaidi ya kujikomoa yeye mwenyewe.

Usikubali akuzalishe watoto ambao hautakuwa na uwezo wa kuwatunza hata siku asipokuwepo( iwe kwa kuachana au Kufariki) zaa watoto kulingana na uwezo wako wa kuwatunza. Kulingana na kipato chako.

Binti za Tibeli sio Wajinga. Usidai pesa za matumizi ikiwa mwanaume hataki kukupa hizo pesa huko ni kujishushia heshima na kujidhalilisha. Ikiwa ataichukulia hiyo kama faida au kuvuja kwa pakacha. Badilisha majina ya mtoto na mpe majina ya Watibeli.

Usiwe na moyo safi kwa mtu mwenye moto mchafu dhidi yako.
Usiwe na upendo kwa mtu mwenye chuki na wewe.
Usiwe na heshima kwa mtu mwenye kukudharau.
Usimpe mtu kipaombele ikiwa yeye anakuona wa ziada.

Ikiwa mumeo au mwanaume anapenda ndugu au wazazi wake kuliko wewe. Anakuweka nafasi ya pili au ya tatu. Wewe mweke nafasi hiyohiyo aliyokuweka. Hiyo ndio HAKI.
Ikiwa mwanaume amekuweka nafasi ya kwanza nawe muweke nafasi ya kwanza.

Usiwe mtumwa wa yeyote. Hivyo ndivyo Watibeli tulivyo.

Usifikirie maisha yatakuwaje ikiwa mtu anataka kukuacha iwe kwa kusema au kwa matendo yake. Huo ni utumwa.

Binti zangu msijesema Baba yenu sikuwaambia namna ya ku-deal na wanaume. Hivyo ndivyo mtakavyoishi kwa furaha. Kamwe usiwe mtumwa wa mtu mwingine hasa asiyemtumwa wako.
Kama mume au mwanaume anajitumikisha kwaajili yako nawe jitumikishe kwaajili yake.
Mpe kile alichopanda. Nawe usione shida kulipwa kile ulichopanda. Hivyo ndivyo mambo yalivyo.

Usiogope kuwa sijui atakupiga au atakuua. Usiwe mwoga kama nilivyokufundisha. Woga utakufanya uonewe. Ni bora akuue kuliko akufanye kuwa mtumwa wake.
Akikufanyia uhalifu wapo Watu wa haki watakaodili naye ikiwemo sisi Watibeli.

Acha Baba yenu nipumzike.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Wanazo pesa zao, lakini wengi wamefeli sana kufanya unachowashauri, na waliothubutu kufanya wanatamani kurudisha siku nyuma wabadili maamuzi yao!

Mfano mzuri, nina shemeji yangu anafanya kazi nzuri tu,(shirika la kimataifa), miaka kadhaa nyuma bro ali-cheat na demu wake wa zamani huko, akapata mtoto wa nje ya ndoa! (Shem aligeuka mbogo), bro alijitahidi kumuomba radhi lakini wapi, shem alikaza kwa madai kwamba hawezi kuendelea kuishi na mume msaliti...akabeba watoto wake 2, akasepaaaa!

Kimbembe kikawa, bro anawataka watoto mke hataki kumpa kwa madai kwamba ANA UWEZO WA KUWATUNZA hivyo hahitaji chochote kutoka kwa bro.

Maisha yakasogea, bro akaanza kuishi kibachela, huko bond na watoto wake ikiendelea kudhoofika, (maana bibie alikuwa hataki kumpa ushirikiano wowote bro)

Mwaka mmoja baadaye, shemeji akaingia kwenye mahusiano na jamaa mmoja alimwambia anafanya kazi usalama wa taifa, shem ikawa full kujitanua (japo pesa ya matanuzi inaonekana shem ndo alikuwa anaitoa), mara paaaap kajamaa kake kakaenda kuoa mwanamke mwingine, shem akachanganyikiwa, anaomba kurudi kwa bro walee watoto, bro kakaza, hataki kusikia kitu inaitwa kumrudia mkewe!

Home wamemshauri mno amsamehe mkewe, jamaa alivyoona anasumbuliwa habari ya kumrudia mama watoto wake, ameenda kuoa mdada wa ki- Iraq (wambulu) mzuri kinoma, ni nesi tu, bro anaendelea kupata heshima ya "mume wangu" huku shem akiendelea na mapambano kwamba Hatambui mwanamke yeyote kuishi na mumewe,na ameshaanza kumuwinda huyo mke mwenza wake...

Sijui hatma itakuwaje, ngoja tusubiri tuone...
 
Mtibeli mpaka umuelewe lazima uwe Mtibeli. Vinginevyo leo utasema hivi kesho utasema vile.
Akiandika kinachonivutia utamsifia. Akiandika kinachokuumiza utamponda.
Wakati Watibeli huangalia jambo katika uhalisia wake(ukweli), Haki, upendo na Maarifa.
Usisahau pia kuwaambia, wake wa kiislamu, waume zao wakioa 4, na wao waolewe na wanaume 4, jino kwa jino, alaaaa!
 
Wanazo pesa zao, lakini wengi wamefeli sana kufanya unachowashauri, na waliothubutu kufanya wanatamani kurudisha siku nyuma wabadili maamuzi yao!

Mfano mzuri, nina shemeji yangu anafanya kazi nzuri tu,(shirika la kimataifa), miaka kadhaa nyuma bro ali-cheat na demu wake wa zamani huko, akapata mtoto wa nje ya ndoa! (Shem aligeuka mbogo), bro alijitahidi kumuomba radhi lakini wapi, shem alikaza kwa madai kwamba hawezi kuendelea kuishi na mume msaliti...akabeba watoto wake 2, akasepaaaa!

Kimbembe kikawa, bro anawataka watoto mke hataki kumpa kwa madai kwamba ANA UWEZO WA KUWATUNZA hivyo hahitaji chochote kutoka kwa bro.

Maisha yakasogea, bro akaanza kuishi kibachela, huko bond na watoto wake ikiendelea kudhoofika, (maana bibie alikuwa hataki kumpa ushirikiano wowote bro)

Mwaka mmoja baadaye, shemeji akaingia kwenye mahusiano na jamaa mmoja alimwambia anafanya kazi usalama wa taifa, shem ikawa full kujitanua (japo pesa ya matanuzi inaonekana shem ndo alikuwa anaitoa), mara paaaap kajamaa kake kakaenda kuoa mwanamke mwingine, shem akachanganyikiwa, anaomba kurudi kwa bro walee watoto, bro kakaza, hataki kusikia kitu inaitwa kumrudia mkewe!

Home wamemshauri mno amsamehe mkewe, jamaa alivyoona anasumbuliwa habari ya kumrudia mama watoto wake, ameenda kuoa mdada wa ki- Iraq (wambulu) mzuri kinoma, ni nesi tu, bro anaendelea kupata heshima ya "mume wangu" huku shem akiendelea na mapambano kwamba Hatambui mwanamke yeyote kuishi na mumewe,na ameshaanza kumuwinda huyo mke mwenza wake...

Sijui hatma itakuwaje, ngoja tusubiri tuone...
Aka mkatie RB...police
 
Back
Top Bottom