Muna Love ajutia kufanya upasuaji wa kutengeneza mwili wake

Muna Love ajutia kufanya upasuaji wa kutengeneza mwili wake


Baada ya mwaka jana kuweka wazi kuwa amefanya upasuaji (sajari) za dimpozi na umbile kwa ujumla, mwanamama Muna Love amejitokeza na kuwasihi watu kutofanya sajari kwani anajuta na kuahidi kuweka wazi madhara yake hivi karibuni.

Muna Love ambaye anadaiwa kulazwa hospitalini kutokana na madhara ya sajari ameandika ujumbe huu kupitia Insta Story yake;

“Achaneni na surgery. msifanye nitakuja kuwaeleza vitu vingi ninavyopitia. Nampenda Yesu, nawapenda…”

Tatizo nchi za Africa wengi hawana kipato cha kutosha cha gharama za plastic surgery wanafanya kwa gharama za chini na kuhatarisha miili yao

Brazil watu 1.2 millions wanafanya kila mwaka na hazina shida zozote kubwa.

Tz mpaka mtu adundulize hela za nauli na gharama za procedures Turkiye matokeo yake wanachagua cheap hospitals ambazo ni risks.

Hakuna uangalizi wa haraka TZ sababu hakuna hospital inatoa huduma hizo TZ.

Umasikini na kutaka makubwa ndio vinacost plastic surgery ni very simple procedures nchi zili
zoendelea na changamoto zake ni chache tu.
 
Tatizo nchi za Africa wengi hawana kipato cha kutosha cha gharama za plastic surgery wanafanya kwa gharama za chini na kuhatarisha miili yao

Brazil watu 1.2 millions wanafanya kila mwaka na hazina shida zozote kubwa.

Tz mpaka mtu adundulize hela za nauli na gharama za procedures Turkiye matokeo yake wanachagua cheap hospitals ambazo ni risks.

Hakuna uangalizi wa haraka TZ sababu hakuna hospital inatoa huduma hizo TZ.

Umasikini na kutaka makubwa ndio vinacost plastic surgery ni very simple procedures nchi zili
zoendelea na changamoto zake ni chache tu.
Unajua bana plastic surgery ni sayansi na pia ni sanaa. Yaani kuna watu ambao licha ya kua madaktari lakini ni "wasanii" wanaoweza "kucheza" na mwili wako na kuufinyanga finyanga kinamna namna mpaka vitu vikatokea.

Sasa hao wenye hicho "kipaji" hua ni wachache na gharama zao zipo juu sana kutokana na "demand" yao kua kubwa. Wasanii wetu hawawezi kamwe kumudu gharama za hao "wataalamu" hivyo huangukia kwa kina fundi maiko ambapo sasa ni bahati nasibu unaweza kupata au kukosa.
 
Hii ishu ya mastaa wa Bongo kufanya upasuaji wa miili yao imekuwa kama fasheni lakini ni wapuuzi hawa hawajui madhara ya hiyo kitu.

Nilikuwa nasoma alichoandika Muna Love kuwa anajutia alichokifanya, ngoja kwanza nimnukuu:

“Achaneni na surgery. Msifanye nitakuja kuwaeleza vitu vingi ninavyopitia. Nampenda Yesu nawapenda."

Kwanza namsikitikia na ninamuonea huruma kwa kuwa wakati mwingine ni ulimbukeni wa kutoelewa nini wanachokifanya.

Wasanii na mastaa wetu wa Bongo wana tamaa ya kuiga mambo mengi ya nje ambayo wakati mwingine hayana kichwa wala miguu.

Najua wapo wengi tu wanaofanya michezo kama hiyo, inawezekana sasa hivi hawaonekani kwa kuwa wapo bahati ilikuwa kwao hawajapata madhara ya mapema ila ipo siku wataibuka wengi tu kama alivyofanya Muna Love.

Mtu mwingine ambaye nina wasiwasi naye ni Irene Uwoya, nikiutamza ule mdomo wake hasa wa chin, kiukweli siuelewei kabisaaaaaa

Labda nakosea lakini nahisi kuna kitu kafanya kuuogeza huo mdomo, na kwa kuwa sasa hivi ana hela anaweza kuona poa tu na anao uwezo wa kufanya ‘service’. Kama hauniamini kautazama mdomo wa Uwoya ulivyo kwa sasa.
Mbona kuna Uzi humu uliletwa kuhusu wasanii walipfanya hayo marekebisho,akiwemo huyo uliyemtaja na mdogo wake, hamisa na umbile lake,tanasha pia nk
 
Anampenda yesu yupi!?, Wanawake wengine bwana hawataki kikubali kwamba kunawakati wa kuwa binti, Mwanamke, Mama, Bibi. Uzee upo tu.
 

Baada ya mwaka jana kuweka wazi kuwa amefanya upasuaji (sajari) za dimpozi na umbile kwa ujumla, mwanamama Muna Love amejitokeza na kuwasihi watu kutofanya sajari kwani anajuta na kuahidi kuweka wazi madhara yake hivi karibuni.

Muna Love ambaye anadaiwa kulazwa hospitalini kutokana na madhara ya sajari ameandika ujumbe huu kupitia Insta Story yake;

“Achaneni na surgery. msifanye nitakuja kuwaeleza vitu vingi ninavyopitia. Nampenda Yesu, nawapenda…”

Mnona mapema saana, si alituahidi kuna nyingine inafuata baada ya dimpozi
 
Back
Top Bottom