Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

Leo kaonyesha udhaifu wake mkubwa...
 
Aibu tupu ,hata watu wakiniona natoka huko naonekana akili sina.
Ameongea ili iweje eti.hivi peter akimshtaki kwa fraud atamlaumu nani maana alikuwa anatumia hadi bima ya kazini kwake huku Rita anabadili jina
Nimejaribu kumtafakari huyo dada nashindwa kumwelewa. Kufanya kosa la kwanza angalau halihesabiki kururdia jambo mara kadha hapo unaonekana una kosa. Hata urafiki naye unaonekana nawe walewale
 
Tutajie japo mmoja mkuu kama sio chai ya mdalasini hii
 
Pale unapotambua ulifanya kosa dhambi ukaeleza kuna haja gani kurudia kama alichokifanya ni sifa
Binadamu tunatenda dhambi lakini ukigundua dhambi hiyo unatakiwa kuacha na kujifunza zaidi
 
Hii story inafanana na ile Joseph na Maria.
 
You what? Desperate can not be repaired through press conference in public what a shame vitu vya ndani ya ndoa unavileta in public kweli wanawake mna matatizo sana na ndiyo maana ndoa zenu zipo in bad shape
 
You what? Desperate can not be repaired through press conference in public what a shame vitu vya ndani ya ndoa unavileta in public kweli wanawake mna matatizo sana na ndiyo maana ndoa zenu zipo in bad shape
sijui watu wanaokotaga wapi wanawake wa aina hii
 
Family disputes can not be resolute in public conferences only few men can side with this ongoing foolish kiki ya muna
 
Muna hakumpenda peter it was short term relationship
 
Hakuna mwanamke mjinga kama huyo muna,
Kwanza tu kitendo cha kumgeuza mtoto superstar bila kupenda ni ujinga uliovuka mpaka na haki za mtoto,
No wonder mungu akaamua mtoto apumzike
It is all true... Hii kitu nilishaambiwaga na mtumishi wa Mungu alisema mtoto akipitia mengi magumu basi Mungu baba atamchukua
 
Pale unapotambua ulifanya kosa dhambi ukaeleza kuna haja gani kurudia kama alichokifanya ni sifa
Binadamu tunatenda dhambi lakini ukigundua dhambi hiyo unatakiwa kuacha na kujifunza zaidi
Hhahahaa dah mtu wangu i mic u, umeongea point ndiyo maana nimekuona haraka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…