Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Kumbe hawa mabongo movie wakiwa public bila make up yao ndio wanakuwa na sura kavu vile.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
"Inaonekana peter alikuwa anakula ndugu wa muna"Naendelea kumpa Pole MunaLuv kwa mitihani aliyopitia,kwasisi watu tuliopitia mafunzo ya saikolojia/forensic na ubashiri uliotukuka kwa maelezo ya muna ambayo hajaweka wazi,inaonekana Peter Zakaria alikuwa anakula Ndugu wa Muna na ndio kisa kilichomfanya atengane nae.
Kama alimwambia, lakin inaonyesha either alificha kwa sababu zake mwenyewe. Au alimwambia na baadae akaja kulivuruga mwenyewe akamwacha peter.Hayo mambo yapo,unakutana na Demu unampenda anakwambia ukweli mie "Nina mimba" kwakuwa unampenda na hautaki atoe kiumbe maana ni laana(Mikosi) unaamua kulea mimba na kumlea mtoto,nafahamu watu wengi waliofanya hizo issue,kwahiyo kama Muna alimwambia Peter basi hana Kosa hata kidogo.
Huyu malaya sidhani kuna mtu anayeweza kuvunja ndoa yake ila ataivunja yeye mwenyewe.mnh,kuna kitu kinaitwa assertive tactics in impression management..
msimcheke muna, labda na nyie mngekua kama yeye,mngefanya the same...
desperate need to repair image ambayo imekua tarnished,
pole Muna,mie nakuelewa unachofanya,
ila ,
iwe mwisho kuwasiliana na waandishi,
unamwaga petrol kwenye moto tayari…
wataendelea kukusema tu..
wanadamu wabaya..
watavunja ndoa yako for real
Kaongea sana huyo..mengine angeyaacha tuMuigiza Maarufu Bongo, Muna Love, amezungumza na waandishi wa habari leo nyumbani kwake maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam na kuweka wazi jinsi ambavyo alikutana na Peter Zakaria Komu, mwanaume ambaye hivi karibuni ilisemekana kuwa ndiye baba wa mtoto wake Marehemu Patrick.
“Nilikutana na Peter jijini Mbeya tukiwa tunafanya kazi Safari Pool Table, tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi miwili tukaingia kwenye ndoa, lakini kuna vitu nilivyokutana navyo kwenye ndoa hiyo nikaamua kuachika.
“Wakati naingia kwenye mahusiano na Peter nilikuwa nina mimba ya Casto ya miezi miwili, Casto aliikana mimba hiyo. Baadaye alirudi wakati mtoto Patrick akiwa na miaka mitatu. Kwa sababu nilizaa nikiwa kwenye ndoa na Peter ndiye alisimamia hata ubatizo ndizo picha zilizosabaa, lakini hata yeye Peter anaujua ukweli kuhusu mtoto huyo.
“Tulifanya taratubu na Casto za kubadilisha jina la mtoto pale RITA lakini kuna ugumu uliotokea, lakini tulikuwa tunaendelea kufuatilia,” amesema Muna.
[emoji818]Kwahiyo Peter ni baba mlezi na Casto ni baba mzazi, basi sawa haina shida, ila kisheria ni mtoto wa Peter, kibaiolojia ni wa Casto; case closed.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa kweli. Their life..our entertainment!more drama for us to be entertained...
Walokole hutoa ushuhuda. Naona kaamua kutoa ushuhuda kwa style yake.Sasa inasaidia nini kutangaza siri za ndoa yake?!
Kama ameokoka ukweli wake akatubu huko kanisani.
Hapa anampa nani faida?!
Kajianika sana....Walokole hutoa ushuhuda. Naona kaamua kutoa ushuhuda kwa style yake.
Yaani ....aghh!!!Aisee nilifikiri baada ya kumpumzisha mwanae ndio ingekuwa mwisho wa sarakasi. Kuna watu na viatu
Nadhani anaamini kajisafisha ila kwa sie walimwengu tunamchora na tutaongea mengi ya kuzidi kumuumiza. Sasa yote hayo anatueleza watanzania ili iweje? Alipaswa kuwaeleza watu wake wa karibu..am sure wangemuelewa vzr kuliko sie tusiomjua.Kajianika sana....
Kabisa...Nadhani anaamini kajisafisha ila kwa sie walimwengu tunamchora na tutaongea mengi ya kuzidi kumuumiza. Sasa yote hayo anatueleza watanzania ili iweje? Alipaswa kuwaeleza watu wake wa karibu..am sure wangemuelewa vzr kuliko sie tusiomjua.