Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

Muna Love: Wakati naolewa na Peter nilikuwa na mimba ya Casto ya miezi miwili

Naendelea kumpa Pole MunaLuv kwa mitihani aliyopitia,kwasisi watu tuliopitia mafunzo ya saikolojia/forensic na ubashiri uliotukuka kwa maelezo ya muna ambayo hajaweka wazi,inaonekana Peter Zakaria alikuwa anakula Ndugu wa Muna na ndio kisa kilichomfanya atengane nae.
"Inaonekana peter alikuwa anakula ndugu wa muna"
No valid evidence, just theory tu means ulichokisema si kweli coz kama kinhekuwa kweli muna angesema.

Siko upande wa mtu yoyote. Kama Muna angekuwa mkweli toka mwanzoni haya yote yasinge tokea. Tatizo ni akili zake za urika njia mpaka yamekuja kumbumbuluka mwishoni.
Haijalishi anapenda au hapendi , she started it.
 
Hayo mambo yapo,unakutana na Demu unampenda anakwambia ukweli mie "Nina mimba" kwakuwa unampenda na hautaki atoe kiumbe maana ni laana(Mikosi) unaamua kulea mimba na kumlea mtoto,nafahamu watu wengi waliofanya hizo issue,kwahiyo kama Muna alimwambia Peter basi hana Kosa hata kidogo.
Kama alimwambia, lakin inaonyesha either alificha kwa sababu zake mwenyewe. Au alimwambia na baadae akaja kulivuruga mwenyewe akamwacha peter.
Simchukii muna, but she staryed it all.
 
Halaf ndio wanasema kaokoka...kweli ulokole unavunjiwa heshima sasa na hawa manabii wenu
 
Huyo muna hana akili na km huyo casto nae hawana akili, km kwel baba ni casto kwann kwnye msalaba wa marehemu uliandika jina la mtoto na jina la baba ambalo ni peter? Hawa uchafu wa mjini wanapenda kuona wanapewa attention sana ndio maana wengi wanaumbuka
 
mnh,kuna kitu kinaitwa assertive tactics in impression management..

msimcheke muna, labda na nyie mngekua kama yeye,mngefanya the same...

desperate need to repair image ambayo imekua tarnished,

pole Muna,mie nakuelewa unachofanya,

ila ,

iwe mwisho kuwasiliana na waandishi,

unamwaga petrol kwenye moto tayari…

wataendelea kukusema tu..

wanadamu wabaya..

watavunja ndoa yako for real
Huyu malaya sidhani kuna mtu anayeweza kuvunja ndoa yake ila ataivunja yeye mwenyewe.
 
Muigiza Maarufu Bongo, Muna Love, amezungumza na waandishi wa habari leo nyumbani kwake maeneo ya Mbezi jijini Dar es Salaam na kuweka wazi jinsi ambavyo alikutana na Peter Zakaria Komu, mwanaume ambaye hivi karibuni ilisemekana kuwa ndiye baba wa mtoto wake Marehemu Patrick.

“Nilikutana na Peter jijini Mbeya tukiwa tunafanya kazi Safari Pool Table, tulikaa kwenye mahusiano kwa miezi miwili tukaingia kwenye ndoa, lakini kuna vitu nilivyokutana navyo kwenye ndoa hiyo nikaamua kuachika.

“Wakati naingia kwenye mahusiano na Peter nilikuwa nina mimba ya Casto ya miezi miwili, Casto aliikana mimba hiyo. Baadaye alirudi wakati mtoto Patrick akiwa na miaka mitatu. Kwa sababu nilizaa nikiwa kwenye ndoa na Peter ndiye alisimamia hata ubatizo ndizo picha zilizosabaa, lakini hata yeye Peter anaujua ukweli kuhusu mtoto huyo.

“Tulifanya taratubu na Casto za kubadilisha jina la mtoto pale RITA lakini kuna ugumu uliotokea, lakini tulikuwa tunaendelea kufuatilia,” amesema Muna.
Kaongea sana huyo..mengine angeyaacha tu
 
Nadhani anaamini kajisafisha ila kwa sie walimwengu tunamchora na tutaongea mengi ya kuzidi kumuumiza. Sasa yote hayo anatueleza watanzania ili iweje? Alipaswa kuwaeleza watu wake wa karibu..am sure wangemuelewa vzr kuliko sie tusiomjua.
Kabisa...
 
Back
Top Bottom