Mungu aliagiza tukaijaze dunia. Hii habari ya kuoana imetoka wapi?

Mungu aliagiza tukaijaze dunia. Hii habari ya kuoana imetoka wapi?

Kasome Waco siege au Waco massacre utapata jibu kamili
Huyo jamaa alikuja na haya haya kwa vitendo
 
Mungu aliagiza tukazaane tuijaze dunia, wala hakusema tuoane.

Huu ubunifu wa kufuga mtoto wa mtu kwa lengo la kunyanduana tu ulianzishwa na nani?
Kwanza kabisa thibitisha huyo Mungu yupo kweli.
 
Huu ubunifu wa kufuga mtoto wa mtu kwa lengo la kunyanduana tu ulianzishwa na nani?
Ni mtindo wa maisha ambao tumerithi kutoka kwa tuliowakuta, BUT wewe pia unaweza kuanzisha mfumo wako na ukausimamia vizuri na baadae kizazi chako kikaufuata. Uko huru 100% kwenye hili.

Kijana mwenzako hapa Chini anapiga PUNYETO dukani hadharani akiwa nyuma ya mwanamke. Wazee walioweka mfumo wa kufugana waliwaza mbali sana. Huyu hadi anapiga nyeto ni amekosa mtu.

 
  • Thanks
Reactions: G4N
Mungu aliagiza tukazaane tuijaze dunia, wala hakusema tuoane.

Huu ubunifu wa kufuga mtoto wa mtu kwa lengo la kunyanduana tu ulianzishwa na nani?
Huu uzi umefungua bila kutumia akili chembe
 
  • Mshangao
Reactions: G4N
Back
Top Bottom