ielewemitaa
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 10,764
- 9,477
ukweli ni Mungu kumtoa sadaka mwanae anae mpenda baada ya hesabu zake kushindwaUkweli ni kwamba waislamu wapo chaka sana kuhusu ukweli wa mambo ya Mungu. Allah sio Mungu Mwenyezi kama wanavyofikiri huyu ni kiumbe wa Mungu Mwenyezi aliyeasi na kuja kwa watu kama Mungu. Watu hawa wapo kwenye uongo mkubwa mno na ni vigumu sana kuona ukweli huu.
Yeye mwenyewe alijitoa sadakaHabari wadau
Mafundisho ya kanisani na hata biblia yanafundisha Mungu alimtoa sadaka mwanae wa pekee.
Je, Mungu alimpa nani hiyo sadaka ikiwa yeye ndie Mungu?
π«ππ ππππ ππππ ππ ππππukweli ni Mungu kumtoa sadaka mwanae anae mpenda baada ya hesabu zake kushindwa
πππππ daaaahNa kwanini Mungu amtoe mwanae afe kwa ajili yetu badala ya kumuua Shetani himself chanzo cha dhambi?
Mungu anaupendeleo ? Kwanini malaika wote wanamajina ya kuzungu hakuna hata mmoja mwenye jina la kibantu, kwanini kusiwe na malaika NGALALAKUMTWE ? Lakin kina malaika gabriel ndio wapo, kuna kitu wazungu wanatuficha tunadanganywa sana aiseeShetani alipotoroka mbinguni, aliondoka na ufunguo wa kuzimu, hivyo ufufuko wa wafu ulikua haiwezekani mpaka shetani anyang'anywe funguo. Ndio mana wale ambao Mungu aliwapenda Sana aliwachukua mbinguni moja kwa moja mfano Musa na Eliya na ndio maana hawa waliweza kumtokea Yesu mlimani.
Yesu alipokufa alienda kufanya vita kuzimu na kuchukua ufunguo wa kuzima, MATHAYO 27:52 alisema baada ya Yesu kufa watakatifu waliokufa walianza kutoka makaburini, hiyo ni lugha ya alama kwamba Yesu ameshinda vita kuzimu.
Kujitoa toa kwake sadaka ni kukubali kufa ili afike kuzimu kuchukua funguo ya ufufuo na uzima, manake kama angeshindwa vita angebakia huko huko kuzimu kama watakatifu wengine
Kwanini Mungu asimmalize shetani moja kwa moja tuish kwa amani ?Shetani ni mungu wa dunia hii kwa wasio na Yesu,So alitolewa ili kuleta ukombozi wa mwanadamu dhidi ya dhambi.
So Yesu ni sadaka ya upatanisho baina ya Mungu na mwanadamu
ππππππ«ππ ππππ ππππ ππ ππππ
Kwahiyo shetani kamuibia Mungu funguo? sasa wakati shetani anaiba Mungu alikuwa amelala au amevimbiwa ubwabwa?Shetani alipotoroka mbinguni, aliondoka na ufunguo wa kuzimu, hivyo ufufuko wa wafu ulikua haiwezekani mpaka shetani anyang'anywe funguo. Ndio mana wale ambao Mungu aliwapenda Sana aliwachukua mbinguni moja kwa moja mfano Musa na Eliya na ndio maana hawa waliweza kumtokea Yesu mlimani.
Yesu alipokufa alienda kufanya vita kuzimu na kuchukua ufunguo wa kuzima, MATHAYO 27:52 alisema baada ya Yesu kufa watakatifu waliokufa walianza kutoka makaburini, hiyo ni lugha ya alama kwamba Yesu ameshinda vita kuzimu.
Kujitoa toa kwake sadaka ni kukubali kufa ili afike kuzimu kuchukua funguo ya ufufuo na uzima, manake kama angeshindwa vita angebakia huko huko kuzimu kama watakatifu wengine
kwahiyo Mungu alijikaanga kwa mafuta yake mwenyewe baada shetani kumzidi ujanjaYeye mwenyewe alijitoa sadaka
Walau umejibu swali kwa sehemuWaebrania 9 (Biblia Takatifu)
Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―Β―
ΒΉΒ³ Kwa maana, ikiwa damu ya mbuzi na mafahali na majivu ya ndama ya ng'ombe waliyonyunyiziwa wenye uchafu hutakasa hata kuusafisha mwili;
ΒΉβ΄ basi si zaidi damu yake Kristo, ambaye kwamba kwa Roho wa milele alijitoa nafsi yake kwa Mungu kuwa sadaka isiyo na mawaa, itawasafisha dhamiri zenu na matendo mafu, mpate kumwabudu Mungu aliye hai?
ΒΉβ΅ Na kwa sababu hii ni mjumbe wa agano jipya, ili, mauti ikiisha kufanyika kwa kukomboa makosa yaliyokuwa chini ya agano la kwanza, hao walioitwa waipokee ahadi ya urithi wa milele.
haya mambo ni ya rohoni. Kristo kama sadaka, sio kitu kinachopokewa kwa mikono. mambo ya rohoni tusiyawaze kimwili. hatutoelewaWalau umejibu swali kwa sehemu
Hiyo sadaka Nani aliipokea
Nafikiri swali liko hivyo pia