Mungu aliona wapi mfano wa ulimwengu ndiyo akauumba hivi?

okay vizuri,..mwanzo ulisema Dunia haina umri ila vilivyopo ndani ya dunia ndiyo vina umri.........Sasa nina swali 'Umethibitisha vipi kama Vililivyopo ndani ya Dunia sasa hivi kuna wakati havikuwepo, mpaka ukasema vina umri??
Kuna vitu vya asili ambavyo vimekuwepo milele na havina umri mfano ardhi, maji, anga, hewa, jua, mwezi, nyota n.k Hivi vitu ni sehemu ya dunia ambavyo vipo milele na havina umri.

Pia kuna vitu vingine vya asili vyenye umri kama wanyama, binadamu mimea, wadudu n.k ambavyo vimekuwepo milele lakini vyenyewe hupungua na kufa kadiri ya muda unavyokwenda.

Lakini huzalisha vitu vipya copy and paste ya muundo wao uleule na kuendeleza mzunguko wa kuwepo vitu hivi duniani milele.

Pia kuna vitu vingine vina umri ambavyo ni "Man-made" mfano magari, nyumba, meli, simu, ndege, kompyuta, viti, meza n.k

Vitu hivi humtegemea binadamu Avitengeneze ndipo viongezeke. Vitu hivi haviwezi kujiongeza idadi vyenyewe tu, pasipo kutengenezwa na binadamu.
ili tuone kama una consistency kwenye kujenga hoja zako......
 
Vizuri,. kwahiyo Kila Mnyama, Binadamu,. mimea, wadudu n.k wote wana umri?

Na, kama jibu ni "NDIYO"..unakubali kwamba kila chenye umri (wanyama, binadamu mimea, wadudu n.k) means kuna wakati hakikuwepo?

Na, kama wanyama, binadamu mimea, wadudu n.k kuna kipindi hawakuwepo Je,.ilikuaje wakawepo mpaka kuanza kwa hiyo system ya kujizalisha kwa Copy & paste?
 
Vizuri,. kwahiyo Kila Mnyama, Binadamu,. mimea, wadudu n.k wote wana umri?
Ndio.
Na, kama jibu ni "NDIYO"..unakubali kwamba kila chenye umri (wanyama, binadamu mimea, wadudu n.k) means kuna wakati hakikuwepo?
Ndio.

Lakini kila kitu kina mtangulizi wake, Going backward in time to infinity.
Na, kama wanyama, binadamu mimea, wadudu n.k kuna kipindi hawakuwepo Je,.ilikuaje wakawepo mpaka kuanza kwa hiyo system ya kujizalisha kwa Copy & paste?
Kila kitu wanyama, binadamu, mimea, wadudu n.k Kina mtangulizi wake ambaye amekuwepo kabla yake.

Kwa sababu Time imekuwepo, ipo na itaendelea kuwepo milele.
 
Unajua Nyota Ina ukubwa gani Mkuu?

Au unadhani ni kama unavyoiona??
Nyota iliyo karibu na Dunia Ni Jua na ndo n8 kubwa kuliko Dunia Mara Sita sasa unasema kuna nyota zipo karibu na Dunia.?
 
Unajua Nyota Ina ukubwa gani Mkuu?

Au unadhani ni kama unavyoiona??
Nyota iliyo karibu na Dunia Ni Jua na ndo n8 kubwa kuliko Dunia Mara Sita sasa unasema kuna nyota zipo karibu na Dunia.?
Hizo ni nadharia na estimations tu mkuu,.. hakuna mtu anaejua exactly nyota zina ukubwa gani.

So, kusema Jua ni kubwa mara sita kwa Dunia still ni debatable na upo free kuamini hivyo.

Tukirudi kwenye hoja ya msingi ni kwamba ulisema Mungu hajasema kama Kaumba ulimwengu mzima,...Mimi nikakupa Verse inayoonyesha kwamba YEYE NI MUUMBA WA KILA KITU.....
So,. nadhani hilo neno kila kitu linajumuisha nyota ndogo na kubwa.,, na vyote tuvionavyo na tusivyoviona..............Kama sijakosea.
 
Nimekuelewa boss
 
M
M/Mungu ni mbunifu namba Moja. Hana haja ya kuona kitu sehemu halafu akaiga au kuboresha. Kila kitu kilichopo, kisichoonekana na kinachoonekana yeye ndiye katengeneza kwa alivyoona inafaa.
 
Kuumbwa kwa mbingu na ardhi Qur an inasema "Bila shaka katika hayo zimo ishara kwa watu wenye kufikiri".

Nawapa pole sana binaadamu wa humu Jf na wengineo wanaopinga uwepo wa Mungu

Cc. Kosugi
The Icebreaker
adriz
 
Sjui kwanini unatumia nguvu kujibu hoja zake
"To trick a fool is to let them think they tricked you"
And stay calm
 
Kwa uelewa wangu,ingekua haya maswali unajiuliza kumhusu binadamu ingekua sawa,lakini unayemzungumzia hapa ndiye aliyekupa maarifa uliyonayo ,Mungu ni kamili na ukamili wake hauna mipaka,
Si kama binadamu
 
Nikiwa mdogo nilikua najiuliza backwards yaani kabla ya Mungu kuumba binadamu alikua yeye na yeye aliwekwa na nani!!?nikifika mwisho naona kiza kama naishiwa nguvu hivi basi na switch ghafula to Basics!
 
Nafikiri hilo ni swali simple sana kuliko la yeye alitokea wapi ?
 
Usimuhukumu
Usimuhukumu Kwa mgando wake wa mawazo ndo mwsho wake wa kuwaza
 
Kasema kaumbs mtu kwa mfano wake, sasa aliumba kioo kwanza akajitazama akawa anaigilizia au ilikuwaje
 
Mtoa mada unaamini kwamba, si kila kitu kinachoundwa ni lazima kiwe kimeangaliwa sample yake mahali fulani? Kitu kinaweza kuundwa kwa ubunifu moja kwa moja?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…