Kutaka kujua mfano kautoa wapi huko ni mbali unajikomaza.
Unachotakika kujua hilo neno au Concept "MFANO" yeye ndio aliliumba na kuliwekea huo utaratibu ambao wewe Leo unauzungumia hapa.
Angeamua Concept ya MFANO isiwepo pia wala usingekua hata na Idea kwamba kuna kitu kinaitwa kugelezea mfano.
IN SHORT: MUNGU NI YUPO VERY COMPLEX UNAFOSI KUMJUA KWA SIMPLE INTELLIGENCE AMBAZO AMEKUWEKEA YEYE MWENYEWE.
NISAWA NA MFUMO MZIMA WA INTERNET UNAOSHIKILIA MAELFU YA WEBS, APPS, SAAS, SOFTWARES then itokee kama Web kamoja kama Jamiiforums kianze kuhoji HOW INTERNET INA WORK LIKE BUTTONS ZAKE ZIKO WAPI, INA SEHEMU YA KUSHEA UZI....kwamba JF inajiuliza maswali kuhusu Internet kwa uwelewa wake wa kujijua yeye JF alive hatojua iyo Internet inauwezo wa kutuma pesa na kupokea wala haiwezi jua hio pesa nini nini.
Uelewa tulionao ni sawa na hako kaduara kadogo hapo ambao uwelewa wenyewe umejifunga kujua yaliyo ndani ya hako Kaduara, unachofanya unataka kutumia uwelewa huo mdogo tena uliojufunga kujua kitu ambacho kikubwa kuliko huo mduara mkubwa hapo lazima uwe CONFUSED.
View attachment 3028026kaka hii nondo imejibu kila swali lake ..