Mungu aliona wapi mfano wa ulimwengu ndiyo akauumba hivi?

Kwa nini unazungumza na wanaoamini tu? Kama jibu la kweli lipo nje ya imani ya Mungu hapo huoni kuwa utakuwa unauliza jibu katika imani ya uongo?
 
Kwa mimi sina mengi ila naomba usome biblia kisha uje ulimwenguni usome ulimwengu na mabadiliko ya kwanzia miaka ya 90 tu mpaka sasa utagundua ata mwanadamu afanyi mfano anakadiria
 
Mambo ni mengi sana ya kujiuliza. Wanadai kama ulikuwa mwema ukifa unaenda mbinguni. Lakin hapo hapo kuna concept kuwa mwisho wa dunia tutafufuliwa wote na kupewa hukumu. Sasa walio mbunguni watakuja tena duniani au likoje hili!
 
Kifungo cha nin sasa? Kwahiyo hata nikisema mimi naamini ng'ombe wananofunga pia?
 
Hakuna wa kukupangia lakini tumia akili pia, huyu anawauliza wale wa upande waka yaani wanaoamin ndiyo msioamini siyo lazima kuchangia. Kifupi anataka mchango wa wale wanaoamin tu
 
Hakuna wa kukupangia lakini tumia akili pia, huyu anawauliza wale wa upande waka yaani wanaoamin ndiyo msioamini siyo lazima kuchangia. Kifupi anataka mchango wa wale wanaoamin tu
Hapa ni Open forum.

Ukisha weka mada yako hapa, Regardless of what you want, kila mtu atachangia atakavyo.

Huwezi kuweka kitu Public halafu useme ni kwa wanao amini tu.

Yani hapo unataka privacy kwenye public forum.

Unaposti kitu kwenye public halafu unataka privacy ya wachache tu.

Huko nikutofikiri sawasawa.
 
Kila kitu kina asili yake au chanzo ....kwa wanaobisha uwepo wa mungu ..watengeneze dunia artificial au roho
 
Uwezo wako wa kufikiria upo Chini sana...Yani Muumbaji wa Kitu na yeye unataka awe kaona sehemu ili aigilizie...Wakati yeye ndio Muumbaji( Creator)
 
Kiranga una ID ngapi jamaa? na zote umezitengeneza kwa ajili ya kupinga uwepo wa mungu
Mimi sio Kiranga.

Tatizo lenu mmeshakariri kwamba anayepaswa kupinga uwepo wa huyo Mungu ni Kiranga.

Akitokea mtu mwingine mnaona ni Kiranga huyohuyo.

Kwamba Jamii forums nzima Kiranga pekee ndio mkana Mungu..😄
 
Mimi sio Kiranga.

Tatizo lenu mmeshakariri kwamba anayepaswa kupinga uwepo wa huyo Mungu ni Kiranga.

Akitokea mtu mwingine mnaona ni Kiranga huyohuyo.

Kwamba Jamii forums nzima Kiranga pekee ndio mkana Mungu..😄
Kama wewe sio kiranga basi una kiranga kikali
 
Acha kututisha thibitisha
 

Aliyetengeneza simu aliona wapi?
 
Mungu alituumba kwa mfano wake, basi moja kwa moja dunia aliitengeza kwa mfano wa makazi yake huko anakoishi yy na malaika huko mbinguni.....
 
Mungu ameumba binadamu na katika hao wamebuni vitu ambavyo hawakuwa wameviona sehemu nyingine yoyote hapo kabda
Sasa mashaka yako ni yapi kuhusu uwezo wa Mungu kuiumba dunia

"Ndiye aliyezifanya nyota angani:
Dubu, Orioni, Kilimia, na nyota za kusini

Ndiye atendaye makuu yasiyoeleweka

Mambo ya ajabu yasiyo na idadi

Pata kufahamu dubu, Orioni, Kilimia na nyota za kusini ni vitu gani ili uone kwamba Mungu ni zaidi ya akili zetu zinavyoweza kumtafsiri
na dunia kwake ni kama tu tone la maji
 
Mambo ni mengi sana ya kujiuliza. Wanadai kama ulikuwa mwema ukifa unaenda mbinguni. Lakin hapo hapo kuna concept kuwa mwisho wa dunia tutafufuliwa wote na kupewa hukumu. Sasa walio mbunguni watakuja tena duniani au likoje hili!
wapi imeandikwa mtu akifa anaenda mbinguni
nyie ndo mnafanya kina kirangajr waseme hakuna Mungu. mnaongelea vitu havipo
 
Hakuna wa kukupangia lakini tumia akili pia, huyu anawauliza wale wa upande waka yaani wanaoamin ndiyo msioamini siyo lazima kuchangia. Kifupi anataka mchango wa wale wanaoamin tu
Kama ni hivyo ni! aende kanisani au msikiti hili jarida la mada na uhuru kutoa maoni, kwa wote.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…