Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Na wewe ukishindwa thibitisha hakipo maana yake kipoKama kitu sidai kipo ila wewe ndiye unayedai kipo, Uta takaje mimi ni kuthibitishie madai yako?
Ukisema kitu kipo unatakiwa wewe ndio uthibitishe kipo, Kama huwezi kuthibitisha kipo ni kwamba kitu hicho hakipo.
Kipo wapi?Na wewe ukishindwa thibitisha hakipo maana yake kipo
Nimegundua uelewa wako ni mdogo sana. Unapenda kubishana bila kujua unataka niniUnajuaje mawazo yanaendesha dunia? Mawazo ya nani?
Dunia inavyozunguka jua mawazo ndiyo yanaifanya izunguke jua?
Ndio ilikuwepo milele.Vizuri,..Kwahiyo kwa kutumia time na space kama ulivyosema,..Je, Dunia ilikuepo milele?
Kwa wakati uliopita Sikuwepo ndani ya Dunia ambayo yenyewe ipo milele ndani ya time na space.Na,Je kwa wakati uliopita wakipima watagundua Infropreneur ulikuepo milele au kuna wakati hukuwepo?
Mimi Sikuwepo.Yaani wewe ulikuepo milele au kuna wakati hukuepo?
Post majina ya members wa JF kama sipo itaonekanaKipo wapi?
Sehemu gani?
Nikisema Mshamba wa kusini hayupo JF halafu wewe ukaja JF huoni kwamba mimi infropreneur nitakuwa muongo kusema wewe Mshamba wa kusini haupo JF wakati kiuhalisia upo?
Eti wakuu.
Ebu mnieleweshe kidogo kuhusu hili.
Mfano : Mtu anapotaka kujenga nyumba, lazima kuna kuwa na ramani ya nyumba aliyo iona mahali labda akavutiwa nayo na yeye akaenda kujenga ki namna ile.
Je, Mungu wakati anaumba ulimwengu na kila kilichopo (viumbe hai na visivyo hai) na universe ki ujumla, aliona wapi mfano wa huo ulimwengu na vitu vyake hadi akaamua aviumbe kwa namna vilivyoonekana hivi.
Au hakuwa na ramani yeyote na namna uliwengu utakavyokuwa bali alianza tu kuumba ukawa hivyo ulivyo ndiyo hivo.
Kama alishakuwa na ramani tayari, je allitoa wapi, nani aliisanifu hiyo ramani ?
Naomba niishie hapo kwa leo.
NB : hapa nazungumza na wanao amini tu kuwa kuna Mungtu , sizungumzi na wasio amini
Kutaka kujua mfano kautoa wapi huko ni mbali unajikomaza.
Unachotakika kujua hilo neno au Concept "MFANO" yeye ndio aliliumba na kuliwekea huo utaratibu ambao wewe Leo unauzungumia hapa.
Angeamua Concept ya MFANO isiwepo pia wala usingekua hata na Idea kwamba kuna kitu kinaitwa kugelezea mfano.
IN SHORT: MUNGU NI YUPO VERY COMPLEX UNAFOSI KUMJUA KWA SIMPLE INTELLIGENCE AMBAZO AMEKUWEKEA YEYE MWENYEWE.
NISAWA NA MFUMO MZIMA WA INTERNET UNAOSHIKILIA MAELFU YA WEBS, APPS, SAAS, SOFTWARES then itokee kama Web kamoja kama Jamiiforums kianze kuhoji HOW INTERNET INA WORK LIKE BUTTONS ZAKE ZIKO WAPI, INA SEHEMU YA KUSHEA UZI....kwamba JF inajiuliza maswali kuhusu Internet kwa uwelewa wake wa kujijua yeye JF alive hatojua iyo Internet inauwezo wa kutuma pesa na kupokea wala haiwezi jua hio pesa nini nini.
Uelewa tulionao ni sawa na hako kaduara kadogo hapo ambao uwelewa wenyewe umejifunga kujua yaliyo ndani ya hako Kaduara, unachofanya unataka kutumia uwelewa huo mdogo tena uliojufunga kujua kitu ambacho kikubwa kuliko huo mduara mkubwa hapo lazima uwe CONFUSED.
View attachment 3028026kaka hii nondo imejibu kila swali lake ..
Hebu niletee Nijifunze Kitu Kipya BossMbona zipo verses za kutosha zinazoonyesha Mungu kaumba Dunia na ulimwengu kwa ujumla..
ukizihitaji sema.. tutakuletea 🤝🏼
Kuthibitisha ndiyo huwezi.,?Ndio ilikuwepo milele.
Vizuri sana,..kati ya Dunia na Time kipi kilianza kuwepo?Maana bila dunia yenye time na space huwezi fanya vipimo vya kitu chochote kile kujua kama kilikuwepo au hakikuwepo.
Vyote vilikuwepo.Kuthibitisha ndiyo huwezi.,?
Vizuri sana,..kati ya Dunia na Time kipi kilianza kuwepo?
Upo JF ndio maana una uthibitisho kwamba upo na unaweza kujitetea mwenyewe upoPost majina ya members wa JF kama sipo itaonekana
Uthibitisho?Vyote vilikuwepo.
Dunia haina umri.Uthibitisho?
Dunia ina umri wa miaka mingapi?
Surah Al-Baqarah (2:117):Hebu niletee Nijifunze Kitu Kipya Boss
Sawa vizuri,..Kwahiyo kuna wakati ndani ya Dunia kulikua hakuna kitu kabisa?Dunia haina umri.
Dunia ipo milele.
Umri ni kwa vitu vilivyo ndani ya dunia.
Sasa huu ni uthibitisho au maandiko uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?Surah Al-Baqarah (2:117):
"The Originator of the heavens and the earth. When He decrees a matter, He only says to it, 'Be,' and it is."
Surah Az-Zumar (39:62):
"Allah is the Creator of all things, and He is, over all things, Disposer of affairs".
So., hapo unaona wazi kwamba sio tu dunia, bali Mungu ndiye Originator wa kila kitu yaani Dunia na Ulimwengu kwa ujumla.
Ahsante na karibu kwa mtazamo tofauti.
Hakuna ajuaye.Sawa vizuri,..Kwahiyo kuna wakati ndani ya Dunia kulikua hakuna kitu kabisa?
Ndio kila kilichowahi kuishi duniani kina umri wake.Maana umesema vitu vilivyo ndani ya dunia ndiyo vina umri.
Kama hujui kwanini ulisema Dunia haina umri ila vilivyopo ndani yake ndiyo vina umri?Hakuna ajuaye.
Kila mtu kazaliwa ndani ya dunia kwa wakati wake.
Ndio kila kilichowahi kuishi duniani kina umri wake.
Sasa nani kakuambia huo ni uthibitisho?Sasa huu ni uthibitisho au maandiko uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule?
Mtu akitaka kuhakikisha haya maandiko ya Quran uliyo andika hapa ni ukweli ata hakikishaje?
Mnahangaika sana kumuongelea huyo Allah kwa kutumia maandiko uchwara yasiyo na uthibitisho wowote ule.
Huyo Allah aje hapa mwenyewe ajiongelee yeye kama yeye kwamba ndio originator wa huu ulimwengu.
Mbona huyo Allah hajawahi kujiongelea mwenyewe wala kujidhihirisha mwenyewe kwamba yeye ndiye originator wa ulimwengu?
Huoni kwamba unafosi mawazo yenu na maandiko yenu uchwara kutaka kumuongelea Allah ambaye Kashindwa na hawezi kujiongelea mwenyewe?
Hakuna uthibitisho wowote ule unao thibitisha umri wa Dunia.Kama hujui kwanini ulisema Dunia haina umri ila vilivyopo ndani yake ndiyo vina umri?
Kama kila kitu lazima kiwe na starting point mbona huyo Mungu mna mu exclude kuwa na starting point?Ukishasema vitu vilivyopo ndani ya dunia vina umri fulani maana yake kuna starting point ya umri husika.. kwa maana kwamba kuna wakati havikuepo.... umeelewa?