Nasubiri majibu ya maswali yangu. Kisha tuendelee na hili.Roho ambayo ipo ndani yako ina umbo?
Cha msingi nacho kukusisitiza tambua kwanza utofauti wa Allah na Mungu wa wakristo ,ukisha tambua hilo hutauliza maswali kwa kuweka uelewa wako wa Mungu Allah kwa Mungu mwingine
Allah amesema wazi na scholar wote wa waislamu wanakubali ni physical being , una umbile linashikika
Sema umbile lake ndio hivyo la kutisha , mikono miwili upande mmoja
Kijana naona unaendeleza tabia yako ya kukimbia maswali. Swali nililo anza nalo ni kuwa wapi Yesu alisema yeye ni mwana wa mungu au yeye ni Mungu.Issue sio maswali nataka ukiri kwanza Allah na Mungu wa wakristo ni tofauti ,ndio nitaendelea na majibu , kinyume Cha hapo siwezi kukujibu maana unaleta nature ya physical being (Allah) na nature ya Spirit (Mungu wa wakristo) ambavyo ni vitu viwili tofauti
Usinishike kwa maana sijapaa kwenda kwa baba,baba yangu ambaye baba yenu,mungu wangu ambaye mungu wenu.....haya niyafanyayo si kwa uwezo wangu Bali yeye aliyenitumaImeandikwa wapi kwamba Yesu siyo Mungu?
Sikutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa israeliKama Mna muita nabii issa lakini mnasema hajafaaa mtu gani wa kawaida gani asiyekufa huyo, Yesu ni njia na kweli na uzima
Wewe ndio umesema Ndugu yangu kwamna Mungu kazaa. Sasa Yanakuwaje tena maneno yangu
Kama Alizaa kwa Neno Mariam alihusikaje sasa. Si angetamka au kumuumna Yesu kwa Udongo kama Alivyofanya Kwa Adam
Wapi nimesema Yesu ni Mungu?Mungu anakufa kwa ajili ya dhambi zetu then anafufuka so dhambi zimeisha au
Umepewa tahadhari.Mungu anateswaa kwa ajili yetu sasa anateswa na Nani na yeye ndio Mungu [emoji28][emoji1787][emoji1787] hapa tulipigwa na kitu kizito
halafu anakuja kutuhukumuu mamaweeeh
Kumbukeni nilivyowambia nitakwenda na nitarudi, kama kweli mnanipenda mngefurahi na kushangilia maana nakwenda kwa baba: na baba yangu ni mkuu kuliko mimi°Ungekua unamjua Yesu usingeuliza hilo swali
Rudi nyuma kasome comments utanielewa
YESU NI MUNGU
Kwani nyie hamtendi dhambi?!I am Muslim
Dogo mmeshikwa pabaya na Biden. Mmezoea Sana money launderingJikite kwenye hoja ya mleta mada,
Usihamishe magoli.
Sent from my M2101K7BG using JamiiForums mobile app
Acha kupoteza muda kujadili story za Abunwasi. Huyo Yesu hakuwahi kuwepo. Vyanzo vyote huru (visivyofungamana na dini) vya kihustoria vimeonesha wazi hakuna ushahidi wa kushikika wa huyo wanayemuita Yesu na hao wanafunzi wake kuwahi kuwepo hapa duniani.Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu
Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)
Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali
Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka
Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)
Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)
Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo
Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake
Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje
Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi
Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo
[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa
Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa
ASANTENI
Kumbukeni nilivyowambia nitakwenda na nitarudi, kama kweli mnanipenda mngefurahi na kushangilia maana nakwenda kwa baba: na baba yangu ni mkuu kuliko mimi°
Yesu anasema Mungu ni Mkuu kuliko yeye.
Kijana kutoka suala la kumuamini yesu na kutenda dhambi yameingiaje hapa?Kwani nyie hamtendi dhambi?!
Hhhhhhhh kwaio katumwa kwa kondoo tena wa israel tuu sasa hawa kondoo wa nchi nyingine wanamfuata ili iweje? inachekesha kweli yaniSikutumwa Ila kwa kondoo waliopotea wa israeli
Yesu amesoma biblia au alishushiwa injili?Sema wakristo wengi hatusomi biblia kikamilifu, matokeo ni kupwaya pale zinapoibuka hoja kinzani kama hizi, unakuta swali moja linaleta majibu 40, na hayajitoshelezi. Tusomeni Biblia na kuielewa vyema wakuu.
lete andiko kuthibitisha hoja yakoYesu ni mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote. Kabla hakijakuwako kitu chochote Mungu alimzaa Yesu
Aisee kila mtu atabeba mzigo.wake msijidanganye kabisaaa ety kafa kwa ajili.ya dhambi zetuYesu alikufa kwa sababu ya dhambi zetu, kifo chake kilithibitisha kuwa mwanadamu anaweza kudumisha ushikamanifu na Mungu.