Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,966
Jibu hoja izo m sina shida ila kwanini mseme mshabebewa dhambi zenu hlf mnaenda makanisani kutubu?Tungekua tunatafuta kuujua ukweli kabla ya kubisha tusiyoyajua tungekua na amani sana
Na tungekua tunaujua mpango wa Mungu ni kwa kila aliyemuumba na yeye ni wa wote tusingejidai kumbinafsisha
Ubaguzi uko wapi? unajua uko nyuma tumejibizana vipi au unasema tuuWacha ubaguzi na uharibifu kwa kigezo cha kummiliki mungu kupitia wewe.
Kama yeye Mungu aliyetuumba hakutubagua, alimpa Ishmail baraka zake na Isaka baraka zake wewe nani uje umbinafsishe Mungu awe wako mwenyewe?
Acha udini Mungu habinafsishwi
Pambana kuacha uovu uelewane na Mungu sio upambane kusema wewe ni bora kuliko wale hala Mungu akukatae
Mwanzo 17: 1-10; 15-19
Abrahamu alipokuwa mtu wa miaka tisini na kenda, Bwana akamtokea Abramu, akamwambia, Mimi ni Mungu Mwenyezi, uende mbele yangu, ukawe mkamilifu. Nami nitafanya agano langu kati ya mimi na wewe, nami nitakuzidisha sana sana.
Abrahamu akaanguka kifudifudi. Mungu akamwambia, akasema, Mimi, agano langu nimefanya nawe, nawe utakuwa baba wa mataifa mengi, wala jina lako hutaitwa tena Abrahamu, lakini jina lako litakuwa Ibrahimu, kwani nimekuweka uwe baba wa mataifa mengi.
Nitakufanya uwe na uzao mwingi sana, nami nitakufanya kuwa mataifa, na wafalme watatoka kwako.
Agano langu nitalifanya imara kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, na vizazi vyao, kuwa agano la milele, kwamba nitakuwa Mungu kwako na kwa uzao wako baada yako.
Nami nitakupa wewe na uzao wako baada yako nchi hii unayoikaa ugeni, nchi yote ya Kanaani, kuwa milki ya milele; nami nitakuwa Mungu wao.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Nawe ulishike agano langu, wewe na uzao wako kwa vizazi vyao baada yako.
Hili ndilo agano langu utakalolishika, kati ya mimi na wewe, na uzao wako baada yako, Kila mwanamume wa kwenu atatahiriwa.
Mungu akamwambia Ibrahimu, Sarai mkeo, hutamwita jina lake Sarai, kwa kuwa jina lake litakuwa Sara.
Nami nitambariki, na tena nitakupa mwana kwake, naam, nitambariki, naye atakuwa mama wa mataifa, na wafalme wa kabila za watu watatoka kwake.
Ndipo Ibrahimu akaanguka kifudifudi akacheka, akasema moyoni, Je! Mtu wa umri wa miaka mia, kwake atazaliwa mtoto? Naye Sara mwenye umri wa miaka tisini atazaa?
Ibrahimu akamwambia Mungu, Lau kwamba Ishmaeli angeishi mbele yako.
Mungu akasema, Sivyo, lakini Sara mkeo atakuzalia mwana wa kiume, nawe utamwita jina lake Isaka. Nami nitafanya agano langu imara kwake kuwa agano la milele kwa ajili ya uzao wake baada yake.
Na kwa habari za Ishmaeli nimekusikia, nimembariki, nitamzidisha, nami nitamwongeza sana sana. Atazaa maseyidi kumi na wawili, nami nitamfanya awe taifa kuu.
Watu wengi humu haulizi maswali kwa maana ya kutaka kujifunza wasichokijua bali kwa mtazamo wa kutaka kuchallenge.Habari za humu ndani!
Nawakaribisheni watu wote wakristo, waislamu, na watu wa dini zote kabisa katika majibu ya maswali ambayo yamekuwa yakiwatatiza sana kuhusu Uungu na Ubinadamu wa Yesu Kristo.
Maswali ya msingi kama;
1. Yesu ni nani? Ni Mungu au ni mwanadamu?
2. Kwa nini anaitwa mwana wa Mungu? Alifanyikaje mwana wa Mungu? Je Mungu anazaa? Mungu ana mke?
3. Nini maana ya kusema Mungu alizaliwa? Alizaliwa na nani?
4. Mungu anaishi wapi? Mbinguni ama Duniani? Je hapo alipoziumba mbingu na nchi alikuwa wapi kabla? Nini maana ya mbingu na nchi?
5. Mungu ana watoto? Watoto wake ni kina nani? Wanapatikanaje?
6. Kwa nini Yesu alikufa kwa ajili ya wanadamu? Je aliuwawa au aliamua kufa mwenyewe? Alifufukaje? Nini uthibitisho yupo hai leo? Ni kaburi wazi? Au ni zaidi ya hilo?
7. Ni wakati gani mtu anaokoka? Ni mambo gani yanatakiwa kuaminiwa ili mtu kuokoka?
8. Umeokoka? Uliamini nini? Unaweza kuelezea kwa maneno rahisi nini maana ya kuokoka?
Kumfahamu Yesu Kristo ndio ufunguo wa kufahamu mambo yote ya Mungu.
Huwezi kujifunza hili kwa dondoo/tips au memes. Hata masomo ya darasani huajifunzi na kufaulu kwa namna hiyo.
Kujifunza kunahitaji nidhamu na uvumilivu. Lazima uwe tayari na kusikiliza mpaka mwisho. Kwa miaka mingi Biblia imeonekana kama kitabu ambacho ni complex na chenye mkanganyiko lakini complexity na mikanganyiko hiyo ipo kwenye fahamu za wasomaji na si kwenye biblia. Kwa sababu ya watu kutokufundishwa kwa usahihi na kutumia kimakosa biblia.
Maswali yote hapo juu na mengine mengi yanajibiwa kwa ufasaha kabisa katika series za masomo ya audio yaliyo katika website yenye link hii https://kainosmedia.org/mafundisho/hapo-mwanzo-part-1/
Anza na somo la kwanza Hapo Mwanzo: Kuelezea “Yesu ni Mungu” (In The Beggining: Explaining “Jesus is God”) zipo sehemu 6. Tafadhali zisikilize zote kwa umakini kabisa. Nakuhakikishia ufahamu wako hautakuwa kama mwanzo tena.
Baada ya kusikiliza karibu kwa swali pale ambapo hujaelewa vizuri.
Furahia shule yako.
lete andiko kua Mungu alikua anazungumza na binadamu moja kwa mojaKabla ya Yesu kuja duniani, Mungu alikuwa anazungumza moja kwa moja na mwanadamu, baada ya kuja Yesu Mungu na mwanadamu wanazungumza kupitia Yesu Kristo.
Ndio msingi wa watu kuomba msamaha kila siku, sababu kama binadamu kukosea ni jambo lililo gumu kukwepeka kwa hiyo kila siku unaomba upatanisho na Mungu. Andiko sikupi sababu hata ukipewa hutaamini.
Sasa huo mkusanyiko uyo Yesu wenu hakuusoma alishushiwa injili tu na Mungu wakeBiblia ni mkusanyiko wa vitabu. Yesu alisoma torati iliyoandikwa na manabii kama Isaya, kwa hiyo jibu kwa swali lako ni NDIYO
Mungu alitaka kuwa mtu wa familia, basi Mungu akasema kama mtu mwenye familia lazima familia yangu inifahamu lakini kama Mungu hivi nilivyo hawawezi kunijua. Kwa sababu katika namna yangu kama Mungu mimi ni Nuru isiyoweza kufikiwa na mwanadamu mwenye mwili wa kufa.Watu wengi humu haulizi maswali kwa maana ya kutaka kujifunza wasichokijua bali kwa mtazamo wa kutaka kuchallenge.
Imagine wewe ni mwanafunzi/mwanachuo umeenda darasani kwa lengo tu la kutaka kuchallenge mwalimu/lecturer wako HAKUNA namna utakaa uelewa somo lake. Utabakia vile ulivyo.
Wewe ni mwanadamu tena u mavumbi tuu kisha unataka kuyachallenge mambo ya Mungu (divinity) kabla ya kumwamini, HAKUNA namna utakaa uyaelewe pasipo kumwamini kwanza. Utabakia na ujinga wako huku ukijiona mwerevu mbele zake.
Kaa chini uwe tayari kujifunza.
Hahahahah unafurahisha sana kwamba mtoto wa pekee angetakiwa kuwa Adam. Soma maandiko ndugu uyaelewe na siyo kuja na majibu yako kichwani.
Yesu ndio mwana pekee wa Mungu. Yesu ndio MWANZO. Amekuwepo kabla ya Adam na nikupe siri moja ambayo huijui,
Yesu alishiriki uumbaji wa Adam
Ndugu yangu unajua Kwamba Kuzaa Ni Sifa Ya Kiumbe. Huoni kama Unamtukana Mungu tusi kubwa Sana Kusema Anazaa. Maana Yake Yesu ana Mama Yake si Ndio?amabye Yupo huko alipo Ambaye si Mariam
Umetoa Wapi haya Kwamba Alishiriki. Wakati Mungu Hashirikiani na Viumbe wake katika Uumbaji
Jamani nyieeee Mungu hazaliwi nyieHabari za humu ndani!
Nawakaribisheni watu wote wakristo, waislamu, na watu wa dini zote kabisa katika majibu ya maswali ambayo yamekuwa yakiwatatiza sana kuhusu Uungu na Ubinadamu wa Yesu Kristo.
Maswali ya msingi kama;
1. Yesu ni nani? Ni Mungu au ni mwanadamu?
2. Kwa nini anaitwa mwana wa Mungu? Alifanyikaje mwana wa Mungu? Je Mungu anazaa? Mungu ana mke?
3. Nini maana ya kusema Mungu alizaliwa? Alizaliwa na nani?
4. Mungu anaishi wapi? Mbinguni ama Duniani? Je hapo alipoziumba mbingu na nchi alikuwa wapi kabla? Nini maana ya mbingu na nchi?
5. Mungu ana watoto? Watoto wake ni kina nani? Wanapatikanaje?
6. Kwa nini Yesu alikufa kwa ajili ya wanadamu? Je aliuwawa au aliamua kufa mwenyewe? Alifufukaje? Nini uthibitisho yupo hai leo? Ni kaburi wazi? Au ni zaidi ya hilo?
7. Ni wakati gani mtu anaokoka? Ni mambo gani yanatakiwa kuaminiwa ili mtu kuokoka?
8. Umeokoka? Uliamini nini? Unaweza kuelezea kwa maneno rahisi nini maana ya kuokoka?
Kumfahamu Yesu Kristo ndio ufunguo wa kufahamu mambo yote ya Mungu.
Huwezi kujifunza hili kwa dondoo/tips au memes. Hata masomo ya darasani huajifunzi na kufaulu kwa namna hiyo.
Kujifunza kunahitaji nidhamu na uvumilivu. Lazima uwe tayari na kusikiliza mpaka mwisho. Kwa miaka mingi Biblia imeonekana kama kitabu ambacho ni complex na chenye mkanganyiko lakini complexity na mikanganyiko hiyo ipo kwenye fahamu za wasomaji na si kwenye biblia. Kwa sababu ya watu kutokufundishwa kwa usahihi na kutumia kimakosa biblia.
Maswali yote hapo juu na mengine mengi yanajibiwa kwa ufasaha kabisa katika series za masomo ya audio yaliyo katika website yenye link hii https://kainosmedia.org/mafundisho/hapo-mwanzo-part-1/
Anza na somo la kwanza Hapo Mwanzo: Kuelezea “Yesu ni Mungu” (In The Beggining: Explaining “Jesus is God”) zipo sehemu 6. Tafadhali zisikilize zote kwa umakini kabisa. Nakuhakikishia ufahamu wako hautakuwa kama mwanzo tena.
Baada ya kusikiliza karibu kwa swali pale ambapo hujaelewa vizuri.
Furahia shule yako.
NIAMBIEE MKUUJoseverest
vizuri sana
Enheeee yesu kazaliwa na nani?
Yesu katika Mahubiri yake haymjawahi Kuzungumza Haya mnayoyasema. Mwandishi wa Hicho kitabu Hata Hakuwa Mwanafunzi wake wala Kuwahi kuwa Karibu yake.Wakolosai : 1 : 15 - naye ni mfano wa Mungu asiyeonekana, mzaliwa wa kwanza wa viumbe vyote.
Wakolosai : 1 : 16 - Kwa kuwa katika yeye vitu vyote viliumbwa, vilivyo mbinguni na vilivyo juu ya nchi, vinavyoonekana na visivyoonekana; ikiwa ni vitu vya enzi, au usultani, au enzi, au mamlaka; vitu vyote viliumbwa kwa njia yake, na kwa ajili yake.
Wewe jibu kwanza swali langu kisha uniulize kuhusu Mtume, ili uone tofauti yangu na yako iko wapi.Tabia yako naijua vizuri , unataka andiko ukilitewa unaanza thibitisha kama Luka amemuona Yesu , Kuna kipindi nilikuuliza hafs alimuona muhammad , na Pia niikuuliza Muhammad alimuona Issa? kama hakuwahi kuwaona habari alizitoa wapi?
Ukiacha Hypocrisy ndio utaweza jadili na watu
hujanitajia alomzaa ila m ninavojua alimzaa ni Mariam kwaio Mariam ndo Mungu wa Yesu?Waebrania : 1 : 5 - Kwa maana alimwambia malaika yupi wakati wo wote, Ndiwe mwanangu, Mimi leo nimekuzaa? Na tena, Mimi nitakuwa kwake baba, Na yeye atakuwa kwangu mwana?
Mimi siamini Hao Manabii unaowaamini wewe ndugu yangu. Na Ukiona Hivyo kwamba Yona Kamgomea Mungu basi Huyo Mungu hana Uwezo mana Hata Viumbe wake wanamgomea.
Kwa Akili Timamu huwezi sema Mungu hashindwi kitu Chochote kwake kinawezdkana Halafu uje Uniletee Stori za Nabij Yona Alimgomea Mungu.
QUOTE="olando da costa, post: 41840660, member: 497168"]
Andiko linafafanuliwa na andiko. Lete maandiko kwamba Mungu hazai na hana mwana tujue mbivu na mbichi leo.
kwa hiyo kuna uwezekano kuna siri imefichwa?Kuna Utata mkubwa Sana Katika kuzaliwa kwa Yesu kutokana Na Maandiko ya Biblia. Ila Kwa Akili Timamu Binadamu yeyote lazima Azaliwe kwa Mifumo maalumu ya Mbegu ya Kiume kuungana Na Mbegu ya Kike Tofauti na Hapo Binadamu hawezi Kutokea
kwa ground mambo ni tofauti aiseeKuna watu humu jf wanajua kila kitu, Sasa umkute jumapili kwa baba paroko kashika mikono tumboni utadhani ndo papa yohana wa pili. Utashangaa kama ni yeye wa jf.