olando da costa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 505
- 379
Source ya Mambo haya Ni Elimu ya Jadi na Masimulizi ya Wazee wetu na Kitabu cha Wazee kilichoandikwa na Wacha Mungu.
Na Pia naweza Kukuambia Hili kama Nyongeza . Hudi na Mkewe wa Kwanza Jemi. Ndio waliotambulika kama Adam na Hawa. Adam ndie Hudi na Hawaii ambaye ndie Jemi. Waliitwa Hivyo Walipokuwa Wamekimbilia irak ambayi ndio Iraq [emoji1131] kwa Sasa. Na ukifuatilia kwa Makini utaambiwa na Wanahistoria Bustani ya Edeni ilikuwa Iraq
Wewe utakuwa Mashahidi wa Yehova ndugu yangu. Nimerudi huku juu kwa Maana Moja TuSasa ikiwa mnaona ni vibaya kumtumikia Yehova chagueni leo yule mtakaemtumia, iwe ni miungu ambayo mababu zenu waliabudu ngaΒ°ambo ya mto. Yoshua 24:15
HULAZIMISHWI KUMWAMINI YEHOVA, CHAGUA MUNGU UTAKAE ONA ANA KUFAA.
Kurithi Jina Haimanishi wewe ndio Mungu. Sijui kama Tunaelewna Hapa Ndugu yangu. Huwezi ukawa Mungu kisa Wewe unaitwa Mungu. Kuna Watu hapa Duniani wanaitwa Jesus Hata Mchezaji wa Yanga anaitwa Hivyo Jesus Moloko. Ila Si Jesus aliyepo kwenye Biblia mnayomsema.Duu, kwa mfano jina kikwete. Kuna jakaya, je jakaya akiitwa kikwete ni kosa? Hilo jina si ni la kurithi?
Vivyo hivyo Yesu karithi Jina la baba yake ndiposa anaitwa Mungu.
Sawa nduguMada imeisha
Ndio maana nikakuuliza una uhakika gani kuwa hayupo? Maana unaposema hajawahi kuonekana nitakuuliza ni wapi huko ambako unakusudia kuwa hajawahi kuonekana ni hapa duniani au hata huko panapodaiwa kuwa ndio yupo?Mkuu, ni simple logic tu, mungu hayupo kwa sababu hajawahi kuonekana, simple. Wewe kwenye maisha yako umewahi kumuona Mungu? Unaweza kutupatia picha anafananaje?
Kama hujawahi basi hadithi za Mungu ni za kutunga tu na wala hazina maana yoyote.
Ni muujiza upi huo wa mungu ambao alifunuliwa huyo binaadamu wa kwanza hebu elezea huo muujiza ili nikuelewe.Swali Zuri Wewe umejua Uwepo wa Huyo Mungu wa Israeli au Mumgu yeyote yule kupitia Masimulizi ya Waandishi wa kwenye Biblia. Ndugu yangu Huwezi Kusema Unamjua Mungu Kama Hujaambiwa au Kusimuliwa labda Kama Ww mwenye Ulikuwepo Mwanzo wa Ulimwengu. Kama Hukuwepo jua Kwamba Uliambiwa tu na Kusoma Sehemu hakuna Njia nyingine ya Kujua Kuwa Yupo.
Wazee wetu Walipata Haya Na Mpaka leo yametunzwa Kwa Njia hiyo hiyo. Mwanadamu wa Kwanza Aliweza kufunuliwa haya Kwa Njia Ya Muujiza wa Mungu si Mungu mwenyewe. Muujiza huu ndio uliweza Kuumba Dunia na Ulimwengu uliopo Leo hii na Kumuumba Huyo Mwanadamu na Mkewe.
Hii ni Elimu iliyokuwepo Mwanzoni na Ilitunzwa Afrika kabla Ya Viumbe wengine Kuja majini na Malaika waovu na Kuleta Neno Dini Duniani
Sidhani kama Nimezungumza Jambo la Kusema Kwamba Kufanikiwa ni lazima Uombe. Sina Maana Hiyo na Wala Siamnini Hivyo kamwe. Washenzi wanafaulu kwenye Mambo yao.. Malaya wanafaulu kwenye mambo yao.. Majini wanafaulu kwenye Mambo yao,malaika wana faulu kwenye Mambo yao pia.
Watu wanaoomba Bila Kujua Ukweli wanafaulu tu baadhi ya Mambo kufanikiwa ni jambo jingine maana Hata shetani huwapa Tuzo wanaomheshimu, malaika huwapa Tuzo wanaowaomba.. MAJINI huwapata Tuzo wanaowaheshimu na Kuwafuga miilini mwao
Wazee wako na Mababu zako waliomba kwa Mungu mwenye Vyote si Hao miungu wengine . (ndicho nilichokuwa namaanisha). Hizi Dini zilizoletwa sasa Hivi jua kwamba Kuna Kiumbe amezisimamia Ndio maana Ukiomba anakupa Ila Tu Kama Akifurahi na Usipompa Baadhi ya Vitu kama Sadaka.. Zaka..Shukrani wanachukia.
Ndio Ujue hili Ndugu yangu. Mungu Hakuombi Chochote kile umpelekee Ndio akubariki yeye Si Kiumbe haitaji Kitu kutoka Kwako maana Yeye nj Mkamilifu si Dhaifu kama Wewe ulivyo. Ukiona Sehemu unaombwa Kitu Jua Kwamba unampa Si Mungu mwenye Vyote ila Ni Kiumbe cha Mungu chenye Tamaa
Sadaka.. Zaka.. Shukrani hivi Vitu Mungu wa Kweli Havihitaji maana Havimsaidiee kwa Chochote kile ila Wanaotaka Hivi vitu ni Viumbe kama wewe na Mimi
sasa Mwanangu akitumia jina langu anakua Mimi ?Tuna Mungu mmoja aliye baba na ana mwanawe wa Pekee anaitwa Yesu.
Nikuulize mwanao akitumia jina lako ni kosa?
Daughter of Mutah , Allah kakairi alimtengeneza ISSA bandia alafu wewe unambishiaVipi kijana wa "Shikamoo Baba"? Ushamjua yupi mmoja wao?
Hakuna aliyefananisha wala kufananishiwa. Mnachosoma wewe na hao majuha wenzako hamkielewi. Sasa wewe unaamini maigizo ya Mzungu kutindikwa kwenye msalaba? Fikiri kijana, kama si maigizo na mafananisho hayo ni nini?
sasa Mwanangu akitumia jina langu anakua Mimi ?
Mimi nabaki kua Mimi na Yeye anabaki ku Yeye .
kwa hio Yesu ni Mungu mwenzake na Baba yake ?
halafu Yesu ni Mwana wa Mungu wa kumzaa au ni Mwana wa Mungu k'vipi ?
πππNdugu yangu huoni Unazidi kujipotosha. Mungu haongei na Wala haandiki chochote kile. Ukiona Umeambiwa Usichunguze maana Yake Yana Uongo humo Ndani yake.
Naam, sisi wote ni watoto wa Mungu kwa kutuumba.Mungu hamjazi mimba mtu kama binadamu afanyavyo, na ana watoto wengi tu.
Ukija kwa ustaarab utakutana na ustaarabu hujapatapo kuuona, ujkija kwa ku beep, napiga, kumbuka hilo.Naona Umerudi kunijibu kwa Ustaarabu ndugu. Mimi nina maswali haya
1. Mungu ambaye ni mmoja na Hana Washirika inakuwaje Anakuwa na Manabii na Mitume
2. Je wewe unayoyafanya Haya Katika Uislamu ndivyo mtume Muhammed amekuelekeza! Yeye ndie aliyekuwa anasali hivyo kwa Mungu wake(kutawadha, kuchinja wanyama n.k n.k)
3. Kama Mungu ni Mmoja Kwanini wewe na Wakristo mnasali tofauti.!?
πππNdugu yangu huoni Unazidi kujipotosha. Mungu haongei na Wala haandiki chochote kile. Ukiona Umeambiwa Usichunguze maana Yake Yana Uongo humo Ndani yake.
Sio kweli.Walioanzisha ukristo walikuwa mitume 12 wa Yesu. Hawa hawakuwa wazungu. Hiyo King james ni tafsiri ya yale waliyoiandika.
Ni muujiza upi huo wa mungu ambao alifunuliwa huyo binaadamu wa kwanza hebu elezea huo muujiza ili nikuelewe.
Suala la kuomba nishakwambia sio issue ya msingi hapa kwa sababu hata hao wazee wako wanaweza kuwa walikuwa wanajibiwa maombi na hao hao mashetani au kuna alama inayoonesha kuwa utofauti wa majibu ya maombi?
Ukija kwa ustaarab utakutana na ustaarabu hujapatapo kuuona, ujkija kwa ku beep, napiga, kumbuka hilo.
1) Manabii na Mitume sio washirika wa Mungu. Unaelewa Nabii ni nani na Mtume ni nani, na mshirika ni nani? Au unajiongelea tu?
Uliza swali moja moja tulijadili kwa kina, sio unajaza maswali chungu nzima, una haraka ya nini?
Muujiza huo huo uliyoumba ndio nini sasa mbona unakuwa kama hauna uhakika na unachokieleza unakuwa muoga? wewe eleza ueleweke kuhusu huo muujiza maana hapo ndio mzizi wa tunachojadili hapa.Muujiza Huo huo Ulioumba
Kikubwa hapa Ni Sala. Maana Ukisema Wanajibiwa na MASHETANI ni kuweka Sala. Halafu unaichambua Sala Hiyo uone kama Wanaomba kwa Mashetani au Laaah.
Kumbuka Mitume na manabii hawakuacha Sala Yeyote jinsi gani walivyokuwa wanaomba kwa Mungu
Muujiza huo huo uliyoumba ndio nini sasa mbona unakuwa kama hauna uhakika na unachokieleza unakuwa muoga? wewe eleza ueleweke kuhusu huo muujiza maana hapo ndio mzizi wa tunachojadili hapa.
Hapo tutaishia kubishana tu ndio maana nimekwambia nitajie alama ambayo inatenganisha aina ya majibu ya maombi, ukisema kwa sababu huyu anaomba vile ndio anamuomba shetani na mwengine ataona jinsi unavyoomba wewe ndio unamuomba shetani.
Kwani Mungu yeye Ndugu yangu anakuogopa Nini wewe mpaka akutolee Sadaka. Maana Kulingana Na Biblia Ww ndio mkosaji. Na Kumbuka Wale wa Sodoma na Gomora walichomwa Moto fasta tu walipomkosea na Wale wa Gharika hivyo hivyo. Ila Wewe ukamsababisha Amtoe Mwanae Badala ya Wewe ndio Ungetakiwa Kumchomwa Moto au KuangamizwaNilianza kicheka kabla kuusoma Uzi huu..
Binadamu ametunikiwa kitu kikubwa Sana na Mungu lkn shetani atamtesa mno MTU huyu