Swali Zuri Wewe umejua Uwepo wa Huyo Mungu wa Israeli au Mumgu yeyote yule kupitia Masimulizi ya Waandishi wa kwenye Biblia. Ndugu yangu Huwezi Kusema Unamjua Mungu Kama Hujaambiwa au Kusimuliwa labda Kama Ww mwenye Ulikuwepo Mwanzo wa Ulimwengu. Kama Hukuwepo jua Kwamba Uliambiwa tu na Kusoma Sehemu hakuna Njia nyingine ya Kujua Kuwa Yupo.
Wazee wetu Walipata Haya Na Mpaka leo yametunzwa Kwa Njia hiyo hiyo. Mwanadamu wa Kwanza Aliweza kufunuliwa haya Kwa Njia Ya Muujiza wa Mungu si Mungu mwenyewe. Muujiza huu ndio uliweza Kuumba Dunia na Ulimwengu uliopo Leo hii na Kumuumba Huyo Mwanadamu na Mkewe.
Hii ni Elimu iliyokuwepo Mwanzoni na Ilitunzwa Afrika kabla Ya Viumbe wengine Kuja majini na Malaika waovu na Kuleta Neno Dini Duniani
Sidhani kama Nimezungumza Jambo la Kusema Kwamba Kufanikiwa ni lazima Uombe. Sina Maana Hiyo na Wala Siamnini Hivyo kamwe. Washenzi wanafaulu kwenye Mambo yao.. Malaya wanafaulu kwenye mambo yao.. Majini wanafaulu kwenye Mambo yao,malaika wana faulu kwenye Mambo yao pia.
Watu wanaoomba Bila Kujua Ukweli wanafaulu tu baadhi ya Mambo kufanikiwa ni jambo jingine maana Hata shetani huwapa Tuzo wanaomheshimu, malaika huwapa Tuzo wanaowaomba.. MAJINI huwapata Tuzo wanaowaheshimu na Kuwafuga miilini mwao
Wazee wako na Mababu zako waliomba kwa Mungu mwenye Vyote si Hao miungu wengine . (ndicho nilichokuwa namaanisha). Hizi Dini zilizoletwa sasa Hivi jua kwamba Kuna Kiumbe amezisimamia Ndio maana Ukiomba anakupa Ila Tu Kama Akifurahi na Usipompa Baadhi ya Vitu kama Sadaka.. Zaka..Shukrani wanachukia.
Ndio Ujue hili Ndugu yangu. Mungu Hakuombi Chochote kile umpelekee Ndio akubariki yeye Si Kiumbe haitaji Kitu kutoka Kwako maana Yeye nj Mkamilifu si Dhaifu kama Wewe ulivyo. Ukiona Sehemu unaombwa Kitu Jua Kwamba unampa Si Mungu mwenye Vyote ila Ni Kiumbe cha Mungu chenye Tamaa
Sadaka.. Zaka.. Shukrani hivi Vitu Mungu wa Kweli Havihitaji maana Havimsaidiee kwa Chochote kile ila Wanaotaka Hivi vitu ni Viumbe kama wewe na Mimi