Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mungu anawaogopa nini Wanadamu mpaka awatolee Sadaka ya Mwanae?

Mjadala wa dini mgumu
Ni mgumu kwa Sababu watu wengi wanafuata Mkumbo Bila Kuhoji. Mtu unaambiwa Mungu kazaa na Wewe unakubali Bila kuhoji unategemea Leo hii 2022 ukiulizwa Swali utajibu wakati tayari Wewe ushafuata Tu Mkumbo wa Mungu Kazaa
 
Ndugu tumia Akili zako tu si mpaka Iandikwe kwamba Si Mungu. Hakuna sehemu aliyoandikwa ni Mungu pia
Inategemea aina gani ya akili unayotumia kumjadili Yesu kristo.

Kuna kutumia akili ya MAADILI (Values) na kutumia akili ya IMANI (Beliefs).

Kusema Yesu ni Mungu, ni matumizi ya akili ya imani,
yakiwa ni mapokeo halisi yasiyothibitishwa, juu ya jambo fulani kutoka kwa watangulizi wetu.

Ukisema Yesu si Mungu, ni matumizi ya maadili yakiwa ni mapokeo ya kuweka mfumo wa kiwango (standards) cha maisha katika jamii husika ili kuweka uwiano.

Kwa hiyo inategemea unatumia akili ya aina gani unapojadili juu ya Yesu. Ukitumia akili ya maadlli, ni sahihi kusema Yesu si Mungu. Pia ni sahihi kusema Yesu ni Mungu kama unatumia akili ya imani.

Sasa je biblia ni kitabu cha imani ya kikristo au maadili ya kikristo?

Sa
 
kila mtu na imani yake, waslam wanasema yesu ni nabii Isa kama walivyo manabii wengine, na hao manabii walizaliwa kwa mfumo wa kawaida wa kibinaadam, ila kabla ya kuzaliwa Mungu alishawawekea muhuri ya unabii.

pia wakristo wanaamini Yesu ni masiha, na Mungu kutoka utatu mtakatifu wa Mungu, yani Mungu baba, Mungu mwana na Mungu roho mtakatifu.
 
Labda Ndugu yangu Wewe ndio hutaki kunielewa mwenyewe. Ni sawa na Mimi nikuambie Hivi. Kama Adam aliweza Kuongea na Mungu kwanini Sasa Hivi Haongei na Wanadamu.? Au Haongei na Wewe hapo ili akufundishe ila Unaenda Kusikiliza mafundisho Kanisani au Msikitini

Nimekuambia hapo Juu Elimu ya Jadi na Wazee wetu ilitoka Kwa Mwanadamu wa Kwanza Fumbakasa na Mkewe. Maana Binadamu ndio tunaongea sisi kwa Sisi na Kufundishana Yeye aliipokea Kutoka Kwenye Muujiza wa Mungu.

Ni sawa na Wewe upo Darasani unafundishwa na Mwalimu huwezi kuanza Kuuliza kwamba Namtaka Mwalimu aliyemfundisha Mwalimu wako. Au unataka Wakoloni wa Kizungu ndio waje Kukufundisha ndio Utaelewa kwamba elimu imetoka Kwao.

Mbona Biblia unayoamini au Kitabu chochote kile hukuwahoji kwamba Mbona Mungu haongei na Sisi Kama Alivyoongea na Adam na Hawa ndugu yangu


Sasa Unaendaje kinyume na Maelekezo uliyoambiwa Na Mungu wako ufanye. Utakuwa unafanya Dua zako Na kumuabudu Mungu mwingine sasa. Mungu wa Kwenye Vitabu kakuambia Niabudu Hivi chinja na Fanya Hivi na Hivi na Umjaribu kwa Sadaka wewe unasema Unaomba Bila Sadaka Ndugu yangu. Huoni kwa Akili ya Kawaida unafanya Ibada yako mwenyewe




Siyo nakomalia Ndugu si Ndivyo Mungu kaelekeza Umwabudu hivyo. Utoe sadaka na Uchinje wanyama bila Hivyo Kuvifanya Wewe unafanya Ibada zako mwenyewe Na Huna Haja ya Kwenda Kanisani Kuabudu wala Msikitini kaa Nyumbani tu ndugu yangu maana Unakuwa Hufuati Maelezo ya Mungu

Kasome Haya Maandiko Ujue Muongozo wa Kusali na Kama Unaposali kwa Mungu unatakiwa Kujua anataka Nini Ili Akusamehe na Kukubariki maana Ndio maagizo yake hayo

Walawi 7:1 na Kuendelea
“Ufuatao ni mwongozo wa ibada kuhusu sadaka ya kuondoa hatia. Sadaka hiyo ni takatifu kabisa.

Malaki 3:10 na Kuendelea
Leteni ghalani mwangu zaka yote, ili nyumbani mwangu kuwe na chakula cha kutosha. Kisha mwaweza kunijaribu. Nijaribuni namna hiyo nanyi mtaona kama sitayafungua madirisha ya mbinguni na kuwatiririshia baraka tele........


Hayo ndio Maelekezo ya Kwenye Biblia unayoiamini Usipofanya hivyo Ujue Unafanya Ibada zako tu
Umesema kuwa hao watu wa kwanza waliweza kumjua huyo mungu kupitia miujiza ya uumbaji na ukasema uumbaji unaendelea hadi sasa, kwahiyo kama Fumbukasa aliweza kupata hiyo elimu kupitia uumbaji basi ni akili ya kawaida tu kwamba na sisi tungekuwa tunaweza kuipata hiyo elimu kupitia huu huu uumbaji maana uumbaji haujesha unaendelea. Sasa labda useme kuwa huyo Fumbukasa na mkewe walikuwa watu special ambao huyo mungu aliwachagua wao pekee kuwapa hiyo elimu?


Lete maandiko yenye kusema ukitaka kuomba lazima utoe sadaka au kuchinja.
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
Asante sana mwana jadi,jadi ndio mwanzo wa vyote,Mungu aliumba mtu mume na mke,pia na kwa viumbe wengine hivyohivyo,biblia ni kitabu cha hadithi ambacho kinafundisha mambo ya kiroho,siyo kilichoandikwa mle ndo ulikuwa ukweli,kiumbe yesu anayezungumzwa kwenye biblia hakuwahi kuishi ni hadithi tuu,zaidi Mungu hawez kukaa kwenye kiumbe alicho umba yeye,pia Mungu hana haja ya sadaka yako wala fungu la kumi,turudi kwenye dini za wazee wetu,wazungu walitupiga sana,
 
We umezaliwamwaka gani sa unabishana vip na waliokjwapomiakka ya yesu
Hiv ndg ulishawahi kujiuliza maana biblia imekuja huku mf.TZ 1880's hiv,sasa kabla ya kuja hiyo biblia wale mababu walikuwa hawamjui Mungu? Jibu linakuja walimjua,sasa iweje leo wale mababu zetu tuseme waliabudu miungu?
 
Asante sana mwana jadi,jadi ndio mwanzo wa vyote,Mungu aliumba mtu mume na mke,pia na kwa viumbe wengine hivyohivyo,biblia ni kitabu cha hadithi ambacho kinafundisha mambo ya kiroho,siyo kilichoandikwa mle ndo ulikuwa ukweli,kiumbe yesu anayezungumzwa kwenye biblia hakuwahi kuishi ni hadithi tuu,zaidi Mungu hawez kukaa kwenye kiumbe alicho umba yeye,pia Mungu hana haja ya sadaka yako wala fungu la kumi,turudi kwenye dini za wazee wetu,wazungu walitupiga sana,
Kwanini turudi kwenye dini za wazee wetu na si kwamba na sisi tuanzishe dini zetu mpya zenye kuendana na wakati wetu?
 
Alimtoa sadaka mwanaye mpendwa akamuacha apigwe kichapo cha aibu mpaka kifo

Fikiria huyo ni mwanaye mpendwa na hakuna mwingine kwa Mungu mwenye kuzidi viwango vya upendo kama huyo

Na bado belivers wanaendelea kutaka tuamini kuwa anatupenda

He killed his own son so that he can forgive us... but if we don’t believe he killed his own son he is gonna kill us too

What a joke but I ain't laughin?
Na aliifia dhambi,jiulize hiyo dhambi ilishakoma? Au ndo zimepamba moto? Hakuna kitu km hicho hizo ni hadithi tuu jamani,tulitarajia km aliifia dhambi na shetani basi kusingekuwepo shetani na dhambi,yeye kafa dhambi bado inaendelea,kaenda kwa baba dhambi kaziacha palepale!
 
Kusoma Biblia hakuwezi kukuokoa anayekuokoa ni Binadamu mwenzako tu. Ukizama majiini utaokolewa, ukipata ajali utaokolewa, Biblia imejaa utunzi wa Binadamu

Ni bora ukakombolewa maana anayekukomboa ni Yule anayekuambia Ukweli. Kumbuka Adam na Hawa si Binadamu wa kwanza Kama Biblia inavyosema mana Adam na Hawa waliwakuta Binadamu Duniani kitu ambacho Biblia haijakisema
Majibu yako mwanajadi yananikosha sana daaah,kweli adam na hawa si wa kwanza,Mungu aliumba mtu mume na mke,na waliofata hapo hawakuumbwa bali ni matokeo ya viumbe wa kwanza vilivyofanyika kwa uweza na nguvu wa muumba wetu
 
Sasa ikiwa mnaona ni vibaya kumtumikia Yehova chagueni leo yule mtakaemtumia, iwe ni miungu ambayo mababu zenu waliabudu nga°ambo ya mto. Yoshua 24:15

HULAZIMISHWI KUMWAMINI YEHOVA, CHAGUA MUNGU UTAKAE ONA ANA KUFAA.
Daaah ona sasa,eti miungu ya babu zenu,wazee wetu wa kwanza ndo waliabudu Mungu wa kweli,ndo maana kila walichoomba walifanikiwa,
 
Kuna Mambo Yapo Ulimwenguni ukiyatafakari kwa Kina hayaingii Akilini ndugu waafrika wenzangu

Kuna Historia katika Vitabu kwamba Mungu alimtoa Mwanae Ili aje Kuikomboa Dunia katika Dhambi (ambazo zipo mpaka Leo)

Ukiangalia kwa Undani Historia hii ya kuzaliwa kwake inatia Shaka sana kabla ya Kujua Majibu ya kuzaliwa kwake inakuja Historia kwamba hana Baba. Kabla hujapata Majibu ya Baba ni nani Inakuja Kwamba ni Uwezo wa Mungu ndio akazaliwa. Yanakuwa Maswali juu ya Maswali

Kumbuka Yusufu na Mariam si kwamba Walikuwa ni Wachumba la hasha bali walikuwa tayari wapo Ndani (wameoana) wanaishi pamoja. Hakuna wachumba Wanaoishi pamoja kwa Utaratibu wa Kuishi. Ukichumbia wewe utakaa kwako na Huyo mchumba atakaa kwao. Kama Waliishi pamoja maana Yake waliweza Kushiriki Tendo la Ndoa yao na Ukifuatilia kwa Makini Yusuf alikuwa Pamoja na Mariam kila Sehemu hakuna Sehemu inayosema Alikuja Kumuoa mariam Ikiwa na Maana Kwamba Tayari alikuwa keshaoa maana yake ule uchumba ulio andikwa Tayari ukayeyuka

Binadamu huzaliwa Kwa Mwanaume na Mwanamke hili halina ubishi. Ila Kuna Kuja Utata wa Hapa Kwamba Yesu alizaliwa bila Mfumo maalumu wa Uzazi wa Baba na Mama ila Roho Mtakatifu kama Wanavyodai (kumbuka Hata Huko india Wapo Watu wenye Hadithi hizi hizi za Kuzaliwa bila Baba)

Sasa Hapa Unajiuliza Maswali. Mungu huyo aliyeweza Kumuumba Mwanadamu wa Kwanza Bila Kutumia mifumo ya Uzazi Inakuwaje leo aje Aanze Kumuumba Binadamu mwingine anayedaiwa ni Mwanae kwa Mifumo ya Uzazi na Akaenda kwa Mariam ambaye alikuwa teyari ana Mume(kumbuka Hapa Mungu hazai na Wala Hakuzailiwa)

Sasa Anamzaa mwanae kupitia Mariam mara Yusufu atake kumkimbia Mariam maana Kuna Siri May be Yusufu aliiona akaona Hapa Nimepigwa na Baada ya Yesu kuzaliwa Yusuf Anapotea Ghafla kwenye Maandiko na Historia yake inaishia Hapo hapo

Mungu anamtoa Mwanae. Anakuja Mnamkataa, mnampiga, mnamtesa anawahubiria mnagoma Kukubali maneno yake mnamfukuza kwenye masinagogo yake, Anaenda Kusali mlimani peke yake, anakusanya wanafunzi wake. Hao wanafunzi nao mnawakataa mnawafukuza. Hivi Mungu hapo anawaogopa Nyie kisa Nini mpak Awafanyie Haya Yote Nyie Viumbe wake

Yaani Mungu mpaka Anatoa Mtoto wake Wa Pekee ili awabembeleze nyie mmrudie Yeye na Mnakataa. Sasa Hapo Mungu Anakuwa na Ule Uwezo na Kutoshindwa Kitu kweli. Kama Kawatumia Mwanae na Mmemgomea kawatumia Manabii na Mitume mmemgomea Tena na hamtaki kumrudia. Hivi Mungu anawalemba Hivyo Ili Iweje

Si kila Mtu anayezaliwa bila Baba Yake basi Baba Yake ndio Mungu. Wachawi wanazini na Binadamu kila Siku na Wachawi hao hao ndio Binadamu wenzenu. Wanawake wanabeba Mimba zingine wasizozijua zimetoka wapi

Basi Mjue Kwamba Hapo Mwenye Enzi Mungu hayupo na Mnaozeshwa Akili zenu ndugu zangu. Kaeni Chini Mtafakari kwa Akili zenu Timamu. Mungu hawezi kufanya hayo Kwa Viumbe wake. Yeye hayupo Hivyo

[emoji3507]Mungu si Mmoja
[emoji3507]Mungu si Wengi
[emoji3507]Mungu si Baba
[emoji3507]Mungu si Mama
[emoji3507]Mungu si Kiumbe
[emoji3507]Mungu hachukii Viumbe
[emoji3507]Mungu hapendi Viumbe wake ila Ana Enzi na Viumbe wake (usijione wewe Kiumbe Mtu unapendwa na Mungu Kuliko Viumbe wake wengine aliowaumba)
[emoji3507]Mungu hakuzaa wala Kuzaliwa

Yachunguzeni maandiko Yenu mtajua kwamba si Maandiko ya kiucha Mungu ila Maandiko ya Viumbe wenye Tamaa

ASANTENI
UKIPENDA KIDOGO UTAJALI KIDOGO.
UKIPENDA SANA UTAJALI SANA!
 
Ile ndo ilikuwa ni dira na mwelekeo wa maisha ya watu,ni uhalisia wa kuishi kiutu,
Kwanini sasa tushindwe kuunda dira yetu na muelekeo wetu kwa mazingira yetu tuliyo nayo?
 
Aliyezaliwa sio Yesu ila ni Kristo
Jina la Yesu lilishushwa toka kwa Mungu na malaika
Mungu anafanya kazi ndani yetu kupitia roho, Mungu alikaa ndani ya Kristo kupitia
Mungu ana nafasi zake katika utendaji wake;
*Mungu ni baba katika nafasi yake ya uumbaji,
*Mungu ni mwana katika nafasi yake ya ukombozi kupitia Kristo,
*Mungu oho mtakatifu katika nafasi yake ya kutenda kazi ndani yetu

Yesu ni Mungu
Mungu huwez kumuita kwa majina ya kibinadamu,kwanza hawez kufananishwa na kiumbe alicho umba yeye,yuko juuu sana
 
Kaka inabidi umjue Yesu vizuri kwa kumsoma katika kitabu cha biblia. Wewe unamjua Yesu baada ya kuzaliwa na mariam lakini Yesu alikuwepo kabla ya mariam. Yeye ndiye MWANZO. Ameshiriki uumbaji wa Adam na hawa.
Mwanzo : 1 : 26 - Mungu akasema, Na tumfanye mtu kwa mfano wetu, kwa sura yetu; wakatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na wanyama, na nchi yote pia, na kila chenye kutambaa kitambaacho juu ya nchi.
Kwenye hilo andiko Mungu anaposema na TUMFANYE mtu, alikuwa na nani?

So hapa unataka kusema Yesu alikaa na Mungu kuumba ulimwengu ? Au Yesu alikua peke yake kuumba ulimwengu ?
Na Kama walikaa wote So Mungu alimuumba Yesu kwa udogo nae au aliumbwaje?
 
Back
Top Bottom