Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,176
- 10,068
NaaaamHiyo inahusiana nini na mada?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NaaaamHiyo inahusiana nini na mada?
Okeeee, basi jibu ni, Mungu hatendi dhambi, Kwa Sababu Mungu ni MtakatifuKifo ni tofauti na dhambi au kosa
Kifo kinaweza kutokea bila dhambi au kosa
Hoja ni je naye Mungu hufanya dhambi?
HaweziJe yeye akiamua kunidanganya ili anipotoshe, ataweza au hawezi?
(Chagua jibu moja bila maelezo yoyote)
Ili Kitu kiwe Hai lazima kiwe na Brain haiSijatoka kwenye mstari.
Kitu nilimaanisha thing, inaweza kuwa anything, something, everything au hata nothing.... Kila kitu ni kitu...Ulimwengu ni kitu, Hata Mungu kwa hii definition kitu...
Rudia tena kuufatilia Mlolongo ulikuwa hivi,
Wewe: Mungu ni roho sio mwili
Mimi: Roho ni nini?
Wewe: Roho ni nishati hai
Mimi: Kitu kiwe hai, kinatakiwa kiwe na sifa zipi?
Wewe: Kiwe na Roho
Mimi: Miti na majani ina roho?
Wewe: Miti na majani ni hai ila havina Roho
Ndio tuliishia hapo...Sasa tuendelee mkuu.
Mimi: ili kitu kiwe hai, kinatakiwa kiwe na sifa zipi? (Achana na ya kuwa na Roho, maana miti umesema ipo hai bila roho)
Wewe:...............?
Nimeona upo Carefully katika kutumia Mungu na munguAah, lakini nmefanikiwa kulipata hilo jambo ambalo naweza kumzidi mungu au sio?
Mimi nina free will na free choice ya kufanya mema au mabaya.
ila Mungu hana free choice maana HAWEZI kufanya mabaya.
Basi mimi ni kiumbe bora kuliko mungu
Ukimtafakari Mungu katika upeo wa vitabu vya dini utaona mambo ya ajabu sana kumhusu, kiufupi huyo Mungu wa hivyo vitabu hayupo, Muumba hana sifa hizi za kibinadamu, eti atende dhambi au ana wivu au achukie aisee ni kumfafanua vibaya kanakwamba nayey ni mtu fulani hivi.Wakulungwa vipi?
Kuna swali huwa linanitatisha.
Kama tuliambiwa Mungu anaweza kila kitu.
Na mungu ana free will.
Je, Mungu anaweza kutenda dhambi?
Kuangamiza kizazi siyo kazi bure Mtoto lazima umkanye na kutoa adhabu.Nimeongea in general kwa maana ya kugusa stori zote mbili.
Mfano hoja kuhusu Amaleki niligusia hivi
Mungu kama aliangamiza kizazi cha Amaleki chote pamoja na watoto wachanga kwa lengo la kutokomeza dhambi, mbona bado dhambi hiyo inatendeka na watu wengine mpaka hivi sasa?
Sodoma na gomora nayo nilisema hivi
Mungu aliteketeza kile kizazi kwa moto ili kuifuta dhambi hiyo isiweze kufanyika, katika dunia hii ya kisasa still watu wanafanya hiyo dhambi. Imetoka wapi?
Jea Mungu hakuyaona haya kuwa yatajitokeza miaka ya mbele na dhana ya kufikiria kutokomeza hiyo dhambi kwa kuangamiza kizazi itakuwa ni kazi bure?
Okay, kumbe tena hapo kuna mawili.Hawezi
Miti ina brain hai?Ili Kitu kiwe Hai lazima kiwe na Brain hai
Kipimo cha utakatifu kwako kimejikita kwenye nini?Okeeee, basi jibu ni, Mungu hatendi dhambi, Kwa Sababu Mungu ni Mtakatifu
Mbona swali langu hujibu?Kuangamiza kizazi siyo kazi bure Mtoto lazima umkanye na kutoa adhabu.
Bila kuangamiza Sodoma na Gomora kizazi cha sasa hivi tungejuaje kama haya mambo yalikuwepo tangu huko nyuma uzinzi.
Nimesema "hatendi", sijasema "hawezi kutenda". Note the difference.Kwahyo tukubaliane sasa, mungu sio muweza wa vyote?
Maangamizo ni consequence za uamuzi wao.Ukimaanisha kuwa walistahili kuangamizwa kwasababu ya dhambi zao?
Aah ila anaweza kutenda?Nimesema "hatendi", sijasema "hawezi kutenda". Note the difference.
ukitunga sheria je wewe ukiivunja ulietunga ni sawa??? kwa akili za kibinadamu ukifikira haya mambo unamkufuru MUNGU.Kama dhambi ni kukiuka/kutotii amri ya Mungu.
Sasa, Mungu anapochoma watu moto, au vyovyote afanyavyo, hua amekosa kutii amri ya nani?
Unazungumziaje na maangamizi aliyowahi kuwafanyia watoto wachanga?Maangamizo ni consequence za uamuzi wao.
Nimesema hatendi dhambi.Aah ila anaweza kutenda?
Watoto wapi hao?Unazungumziaje na maangamizi aliyowahi kuwafanyia watoto wachanga?