Mungu anaweza kutenda dhambi?

Mungu anaweza kutenda dhambi?

Wewe si nmekuuliza sifa za kitu kuwa hai ni nini?umesema kiwe na roho.
Sasa mbn unasema tena miti ina uhai ila sio roho?
Nimefuatilia mtiririko wa majibizano yetu sijaona popote ulipotaja neno KITU... Mada inamhusu Mungu na dhambi na nimekujibu kwenye mtiririko huo lakini ukaja kuingiza mambo mapya majani na mimea na sasa umeingiza jingine jipya 'KITU'

Najua unataka kupanua mjadala lakini jitahidi usitoke kwenye mstari..
 
Mungu mkamilifu yupo juu ya kila kitu atende dhambi dhidi ya nani
 
Ngoja nijaribu kufikiria kama nimeelewa target ya swali lako

Kwamba Mungu alikuwa sahihi kuwaangamiza hao watu kwasababu walikuwa na hatia?

Vipi kama nikikupa mkasa mwingine unao onesha kuna watu pia waliwahi kuangamizwa na Mungu bila hatia ikiwemo watoto wadogo?

Reaction yako itakuwaje?
Kifo ni adhabu ambayo Mungu amemuwekea Binadamu
 
Kifo ni adhabu ambayo Mungu amemuwekea Binadamu
Kifo ni tofauti na dhambi au kosa

Kifo kinaweza kutokea bila dhambi au kosa

Hoja ni je naye Mungu hufanya dhambi?
 
Wakulungwa vipi?

Kuna swali huwa linanitatisha.

Kama tuliambiwa Mungu anaweza kila kitu.

Na mungu ana free will.

Je, Mungu anaweza kutenda dhambi?
saya 55:8-9

Maana, Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mawazo yangu si kama mawazo yenu, wala njia zangu si kama njia zenu. Kama vile mbingu zilivyo mbali na dunia, ndivyo njia zangu zilivyo mbali na zenu, na mawazo yangu mbali na mawazo yenu.
 
Kwahyo mungu hawezi kutenda chochote?
Isaya 55:8-9

Maana, Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mawazo yangu si kama mawazo yenu, wala njia zangu si kama njia zenu. Kama vile mbingu zilivyo mbali na dunia, ndivyo njia zangu zilivyo mbali na zenu, na mawazo yangu mbali na mawazo yenu.
 
Nimefuatilia mtiririko wa majibizano yetu sijaona popote ulipotaja neno KITU... Mada inamhusu Mungu na dhambi na nimekujibu kwenye mtiririko huo lakini ukaja kuingiza mambo mapya majani na mimea na sasa umeingiza jingine jipya 'KITU'

Najua unataka kupanua mjadala lakini jitahidi usitoke kwenye mstari..
Sijatoka kwenye mstari.
Kitu nilimaanisha thing, inaweza kuwa anything, something, everything au hata nothing.... Kila kitu ni kitu...Ulimwengu ni kitu, Hata Mungu kwa hii definition kitu...
Rudia tena kuufatilia Mlolongo ulikuwa hivi,

Wewe: Mungu ni roho sio mwili
Mimi: Roho ni nini?
Wewe: Roho ni nishati hai
Mimi: Kitu kiwe hai, kinatakiwa kiwe na sifa zipi?
Wewe: Kiwe na Roho
Mimi: Miti na majani ina roho?
Wewe: Miti na majani ni hai ila havina Roho

Ndio tuliishia hapo...Sasa tuendelee mkuu.

Mimi: ili kitu kiwe hai, kinatakiwa kiwe na sifa zipi? (Achana na ya kuwa na Roho, maana miti umesema ipo hai bila roho)

Wewe:...............?
 
saya 55:8-9

Maana, Mwenyezi-Mungu asema hivi: “Mawazo yangu si kama mawazo yenu, wala njia zangu si kama njia zenu. Kama vile mbingu zilivyo mbali na dunia, ndivyo njia zangu zilivyo mbali na zenu, na mawazo yangu mbali na mawazo yenu.
Hiyo inahusiana nini na mada?
 
Naumu 1:9
Screenshot_20221025-222239.jpg
 
Okay, kumbe kuna vitu mimi binadamu naweza ila Mungu hawezi.
Kama kutenda dhambi.
Pamoja chief.
Hakika umesema kwamba unaweza kutenda dhambi. Hivyo katika vitu usivyoweza ni kutenda dhambi.

Kile kitendo cha Hawa kutafuna tunda kilikuwa ni kumuunga mkono muasi mkuu ambaye aliamua kutaka kumzidi Mungi na hatimaye alifukuzwa kutoka Mbinguni na akaja kumshawishimwanadamu awe na akili kama zako leo. Yaani akili za kutafuta jambo unaloweza kulifanya kumzidi Mungu

Mungu akusamehe dhambi zako
 
Hakika umesema kwamba unaweza kutenda dhambi. Hivyo katika vitu usivyoweza ni kutenda dhambi.

Kile kitendo cha Hawa kutafuna tunda kilikuwa ni kumuunga mkono muasi mkuu ambaye aliamua kutaka kumzidi Mungi na hatimaye alifukuzwa kutoka Mbinguni na akaja kumshawishimwanadamu awe na akili kama zako leo. Yaani akili za kutafuta jambo unaloweza kulifanya kumzidi Mungu

Mungu akusamehe dhambi zako
Aah, lakini nmefanikiwa kulipata hilo jambo ambalo naweza kumzidi mungu au sio?
Mimi nina free will na free choice ya kufanya mema au mabaya.
ila Mungu hana free choice maana HAWEZI kufanya mabaya.
Basi mimi ni kiumbe bora kuliko mungu
 
Aah, lakini nmefanikiwa kulipata hilo jambo ambalo naweza kumzidi mungu au sio?
Mimi nina free will na free choice ya kufanya mema au mabaya.
ila Mungu hana free choice maana HAWEZI kufanya mabaya.
Basi mimi ni kiumbe bora kuliko mungu
Je unaweza kujichomeka gunzi kalioni?
 
A mere mortal CAN, SHOULD, and MUST NEVER pass judgment on GOD.

Msiseme sijawaambia. Hasta la vista! 🙂
 
Back
Top Bottom