Mungu anipe nguvu ya kupuuzia mambo ili kuokoa afya yangu

Mungu anipe nguvu ya kupuuzia mambo ili kuokoa afya yangu

Maleven

JF-Expert Member
Joined
Sep 8, 2019
Posts
689
Reaction score
3,373
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
 
Ndugu yangu......

Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile nayo....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......

Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......

NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......

NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......

Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali hapo pasi na kujiuliza mara mbili mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi yasiyo na ukomo ni dalili za ufupi wa maisha......kwani kicheko na furaha ya moyo hurefusha maisha

Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
 
Ndugu yangu......

Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......

Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......

NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......

NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......

Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........

Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
1736907903907.png
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa😒😒😒
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Pole muelekeze Kwa upole
 
Duh hasa hapo kwenye matumizi ya pesa nunua vitu vya ndani vyote wewe mpe hela kidogo sana otherwise hamtaendelea
 
Nawafahamu wanawake wa aina hiyo. Wanajidai wanajua kumbe wakati kichwani ni weupe. Na anaweza kukuabisha mbele za watu kwa kuongea upuuzi huku akiwa na confidence.

--- Ni shida. Ila jaribu kumpuuza tu. Mind your own business.
'Own business' ni pamoja na huyo mkewe na vyote vinavyomzunguka.
 
Ndugu yangu......

Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......

Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......

NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......

NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......

Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........

Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Saaaafi kabisa ushauri mzuri mtaalam
 
Kumwacha sio suluuhu,hata wa kwangu yupo hivyo ,Kuna muda atabadilika ,mzalishe watoto watatu kwanza ,utaona anaanza kuacha tabia za kipuuzi na kuwa mama.
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Vyote hivyo alikuwa navyo lakini kwa kuwa ana tako ukasema ntavumilia.
 
Ndugu yangu......

Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......

Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......

NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......

NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......

Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........

Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Ukweli mtupu
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.

Nakushauri,kama hujazaa naye mwache tembea mbele.

Nina mpango wa kuhama kimyakimya
 
Back
Top Bottom