Mungu anipe nguvu ya kupuuzia mambo ili kuokoa afya yangu

Mungu anipe nguvu ya kupuuzia mambo ili kuokoa afya yangu

Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

[*]Anamatumizi mabaya ya hela.
[*]mvivu
[*]anakiburi
[*]ukimuelekeza anaona anaonewa

Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Kama ni mkimya, uvivu na kiburi ni vitu asilia, tatizo hapo naona ni matumizi mabaya, jambo ambalo ukilitilia mkazo linatatulika.
 
Kumbuka viapo mlivoapa wakat mnaoana ni kuvumiliana ndoa ni uvumiilivu maana mmekutana watu wenye tabia tofaut tofaut

Huwez mkunja samaki aliyekaangwa
 
Kosea Kuoa/Kuolewa Maana Mtaachana
Ukikosea Kuchagua Rais,Mbunge,Diwani Ujue Mpaka Miaka 5 Iishe

Ndugu Zangu Mjifunze Kuchagua, Kwani Mbunge Wa Hapa Ni Nani

By Mzilankende
 
Kumwacha sio suluuhu,hata wa kwangu yupo hivyo ,Kuna muda atabadilika ,mzalishe watoto watatu kwanza ,utaona anaanza kuacha tabia za kipuuzi na kuwa mama.
wako ameshabadilika au yuko hivyo hivyo?
 
Ndugu yangu......

Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile nayo....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......

Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......

NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......

NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......

Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali hapo pasi na kujiuliza mara mbili mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi yasiyo na ukomo ni dalili za ufupi wa maisha......kwani kicheko na furaha ya moyo hurefusha maisha

Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Asiposikiliza huu ushauri tutamzika
 
Ukweli mtupu

Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.

Nakushauri,kama hujazaa naye mwache tembea mbele.

Nina mpango wa kuhama kimyakimya
Ukweli mtupu

Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.

Nakushauri,kama hujazaa naye mwache tembea mbele.

Nina mpango wa kuhama kimyakimya
Pole Mkuu, atakutesa sana
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Mpe Hela robo robo au nunua mwenyewe hasta chumvi,yaani ukitoka hemea vya msingi mtaani mpe boda boda apeleke!

Mengine Hela kidogo kidogo unampa au mnunulie vya msingi!!

Hawana uwezo wa kujitawala kwenye hela!!
 
Mpe Hela robo robo au nunua mwenyewe hasta chumvi,yaani ukitoka hemea vya msingi mtaani mpe boda boda apeleke!

Mengine Hela kidogo kidogo unampa au mnunulie vya msingi!!

Hawana uwezo wa kujitawala kwenye hela!!
Kumbe upo Mkuu?
Nimefurahi kukuona tena.
Anyway, ushauri mzuri sana huu kwa ndugu yetu.
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
There are always red flags ila huwa tunaziignore.
Ndoa ina muda gani?
Mimi niko kwa mahusiano na mtu nilitaka nije kumuoa ila sasa siwezi kwa sababu yeye ana assumptions. Yani anaweza kufikiria kitu akakiamini na akashikiria msimamo kuwa unamcheat kwa sababu yeye hisia zake huwa hazidanganyi. Yani hana ushahidi ila ushahidi ni hisia zake.
Pia mgomvi mgomvi anafanya kazi hospitali huwa sipendi anavyowafokea wagonjwa na majibu yake ya kibabe babe kwa wagonjwa namwona ni mtu asiye na huruma.
Nikipiga hesabu zangu naona kumuoa itakuwa kisanga huko mbele.
 
S
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Sasa kwa nini usimpe talaka arudi kwao?,nawe utafute mwengine?
Au ndio upo kwenye ile dini,kunywa pombe ila hautakiwi ulewe.
Maaana huko hakuna kuachaa nasikia😄
 
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.

  • Anamatumizi mabaya ya hela.
  • mvivu
  • anakiburi
  • ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
Muache. Au huwezi unaogopa jamii itakuonaje?
 
Back
Top Bottom