Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama ni mkimya, uvivu na kiburi ni vitu asilia, tatizo hapo naona ni matumizi mabaya, jambo ambalo ukilitilia mkazo linatatulika.Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
[*]Anamatumizi mabaya ya hela.
[*]mvivu
[*]anakiburi
[*]ukimuelekeza anaona anaonewa
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
Nakili nimekosea sana.
wako ameshabadilika au yuko hivyo hivyo?Kumwacha sio suluuhu,hata wa kwangu yupo hivyo ,Kuna muda atabadilika ,mzalishe watoto watatu kwanza ,utaona anaanza kuacha tabia za kipuuzi na kuwa mama.
Asiposikiliza huu ushauri tutamzikaNdugu yangu......
Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile nayo....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......
Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......
NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......
NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......
Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali hapo pasi na kujiuliza mara mbili mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi yasiyo na ukomo ni dalili za ufupi wa maisha......kwani kicheko na furaha ya moyo hurefusha maisha
Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Mwambie mwenzako afanyeje Numbisa. Pole tu haimtoshi atajinyonga huyuPole mkuu
Ukweli mtupu
Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.
Nakushauri,kama hujazaa naye mwache tembea mbele.
Nina mpango wa kuhama kimyakimya
Pole Mkuu, atakutesa sanaUkweli mtupu
Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.
Nakushauri,kama hujazaa naye mwache tembea mbele.
Nina mpango wa kuhama kimyakimya
hlf leo anajiliza😆Vyote hivyo alikuwa navyo lakini kwa kuwa ana tako ukasema ntavumilia.
Mpe Hela robo robo au nunua mwenyewe hasta chumvi,yaani ukitoka hemea vya msingi mtaani mpe boda boda apeleke!Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Kumbe upo Mkuu?Mpe Hela robo robo au nunua mwenyewe hasta chumvi,yaani ukitoka hemea vya msingi mtaani mpe boda boda apeleke!
Mengine Hela kidogo kidogo unampa au mnunulie vya msingi!!
Hawana uwezo wa kujitawala kwenye hela!!
There are always red flags ila huwa tunaziignore.Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Watu tunabadilika 😂 aaah au basi tupigwe tu chiniKosa kubwa ambalo watu wengi hua wanalifanya ni kujiaminisha kua Mwanamke atabadilika tabia huko mbeleni,
Life is too short,piga chini hiyo Mbuzi.
cc Evelyn Salt
Sasa kwa nini usimpe talaka arudi kwao?,nawe utafute mwengine?Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Muache. Au huwezi unaogopa jamii itakuonaje?Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Watu hawabadiliki, apigwe chiniWatu tunabadilika 😂 aaah au basi tupigwe tu chini