realMamy
JF-Expert Member
- Apr 28, 2024
- 3,925
- 8,853
Jipende wewe kwanza usimfuatilie utakufa bure uache watoto.Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.