Ndugu yangu......
Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......
Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......
NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......
NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......
Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........
Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Pole muelekeze Kwa upoleNajiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Labda ni miongoni mwa alioyapuuzia si unajua penzi likikolea unana " She is the one"Si tulishasema binti hatofautiani sqna na mamaake, ana tabia za mamaake kwa 80% unavyomuona mamaake nayy atacheza umoumo au nyie mliokotana wapi kiongozi?
'Own business' ni pamoja na huyo mkewe na vyote vinavyomzunguka.Nawafahamu wanawake wa aina hiyo. Wanajidai wanajua kumbe wakati kichwani ni weupe. Na anaweza kukuabisha mbele za watu kwa kuongea upuuzi huku akiwa na confidence.
--- Ni shida. Ila jaribu kumpuuza tu. Mind your own business.
Saaaafi kabisa ushauri mzuri mtaalamNdugu yangu......
Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......
Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......
NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......
NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......
Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........
Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Vyote hivyo alikuwa navyo lakini kwa kuwa ana tako ukasema ntavumilia.Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.
Ukweli mtupuNdugu yangu......
Uvumilivu uliokusudiwa kwenye maisha ya ndoa ni yale mapungufu ya kibinadamu ambayo kila kiumbe hakijakamilika nayo kama sehemu ya maumbile....na sio mambo ya makusudi yanayofanywa na mtu ili akukere.......
Kuvumilia mambo ya makusudi ambayo mtu anapaswa kuyaacha muishi kwa amani sio uvumilivu bali ni UPUMBAVU......
NDOA ni ya wawili kwa maana kila mmoja anatakiwa kuonyesha uhitaji kwa mwenzake ili zidumu jitihada na kufurahia muunganiko huo......
NDOA sio jela useme unatumikia kifungo bali ni muunganiko wa wawili wapendanao walioamua kuishi pamoja ili kufurahia kilichopo mioyoni mwao.......
Ukiona anayetakiwa kukupa tabasamu na furaha maishani mwako badala yake anakupa majuto, maumivu na vilio.....huna budi kuondoka mahali pasi na kujiuliza mara mbili.......kwani masononeko ya nafsi na majonzi ni dalili ufupi wa maisha........
Yeye ambaye haikumfaa akili yake, basi utamdhuru ujinga wake........
Asee pole,Mimi red light zilianza mapema,kwao kwenda hataki,Sasa tuna watoto 3,tabia ndo Kama hizo,Sasa nashughulika na wanangu tu,na sijali.Najiona kwenda kuangukia kwenye ugonjwa wa moyo kutokana na changamoto za huyu mwanamke. Nimekosea sana kupuuzia baadhi ya mambo kipindi cha uchumba nikidhan atabadilika.
Kuna muda hadi nawaza huenda uwezo wake wa akili ni mdogo sana. Mana jinsi anavyojaji vitu ni shida tupu.
- Anamatumizi mabaya ya hela.
- mvivu
- anakiburi
- ukimuelekeza anaona anaonewa
Nakili nimekosea sana.