Sasa ukienda kanisani au msikitini ukakuta jengo zuri, viti, meza, viyoyozi,mazuria, vyombo vya mziki na mengineyo
We hujui kuna watu waliwajibika hivo vikapatikana na wewe umefika ukaabudu kwa amani na raha.
Sasa kwanini unaona uzito kutoa sadaka ili wengine wavutiwe kumjua Mungu na kusali katika sehemu nzuri
Mungu anahitaji sadaka na zaka zetu ili injili ihubiriwe
Kuhubiri injili ni gharama
Ili watu wamjue Mungu
Naninatawajika kutoa hizo gharama ili injili iende pote duniani ikiwa sisi waumini tumejawa na kibri hivi
Acha kibri toa zaka na sadaka
Sent using
Jamii Forums mobile app