Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Unataka uombwe msamaha na Mungu ambaye unaamini hayupo..!!!! Milembe inakuhitaji.
 
Mungu ameshindwa kwenye maisha yangu
MWENYEZI MUNGU akupiganie kaka

Akupe ujumbe mpya upate kuwaza kwa upya

Usimwache MUNGU bado yuko kazini anakupambania , shetani asikutishe na kukukatisha tamaa

MUNGU ni MWEMA sana na anatoa msamaha kwa kila kosa

Mrudie hujachelewa mtumish
 
Kwa namna Fulani ni kweli kwamba wengi wanaitumia dini kama kivuli ijapokuwa sio wote
 
Kwahiyo, unangoja Mungu unayeamini kuwa hayupo aje akujibu hapa JF..!!! We wahi Milembe kama hujaharibikiwa zaidi.
 
Huwezi elewa kwanini nina kesi na Mungu.

Endelea kutafakari
 
Huna adabu kwa Mungu. Mwombe msamaha na tubia uovu wako huu. Mungu ni wa rehema atakusamehe na atakuwezesha kuanza upya.
Yeye ndo anapaswa kuniomba msamaha maana anajua ni kwa kiasi gani amenikatili🙏
 
Mzee!

Mungu hadhihakiwi, hilo balaa unalotafuta naomba likupitie mbali .
Mambo ambayo nimepitia ni makubwa. Na sidhani kama kuna balaa kubwa ambayo itakuwa zaidi ya mwanzo.
 
Kwani Kuna watu amewapa vichwa vinne?
Unamiguu miwili kama watu wengine?
Unamikono miwili kama watu wengine siyo?
Hakuna mtu aliyependelewa mkuu
Wote Huwa tunazaliwa katika hali sawa,wakati unalalamika Kuna watu hawana hata miguu,ama mikono ?
Wewe kinachokufanya ulalamike ni nini?
Kwa kuwa unashinda kwenye kijiwe kutwa nzima?
Kwa kuwa haupo kwenye nchi ambayo haina vita?
Kwa kuwa unaweza kupata chakula?
Kwa kuwa hauumwi ugonjwa mkubwa kama cancer?
Acha kukufuru
 
Watoto mnawaanzisha shule bado wadogo, mnawabebesha mabegi makubwa yaliyosheheni vitabu , madaftari na chupa ya maji ya kunywa.

Matokeo yake hawalali ipasavyo maana mnawaamsha usiku usiku ili wajiandae kwenda shule.

Huko shuleni mnawapakia maarifa meeengi kuzidi uwezo wa ubongo wao, matokeo yake ndio kama haya hapa, wengi wao ukubwani wanakumbwa na tatizo la afya ya akili (they can not think properly). Ni sawa na kuibebesha kirikuu mzigo unaotakiwa kubebwa na fuso halafu unalazimisha kirikuu itembee, madhara yake lazima utayaona tu siku za mbeleni.

Kwa mtu aliye timamu hawezi kuwa na fikra za namna hii. Maisha hayajawahi na kamwe hatowahi kuwa mepesi. Ni lazima uumize sana ubongo na nguvu ya mwili ili uyakabili maisha.
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…