Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Unataka uombwe msamaha na Mungu ambaye unaamini hayupo..!!!! Milembe inakuhitaji.Habari wanajamiiforums?
Leo nina kesi na Mungu, Kama yupo kweli anapaswa aniombe msamaha.
Sijawahi kumkosea kwa chochote ila yeye amenikosea mara nyingi zaidi.
Pia, Sikumuomba anilete duniani, ila yeye alinileta bila ridhaa yangu kisha aninyime kila ninachostahili.
Mungu toka ulipo uje uniombe msamaha.
MWENYEZI MUNGU akupiganie kaka
Akupe ujumbe mpya upate kuwaza kwa upya
Usimwache MUNGU bado yuko kazini anakupambania , shetani asikutishe na kukukatisha tamaa
MUNGU ni MWEMA sana na anatoa msamaha kwa kila kosa
Mrudie hujachelewa mtumish
Kwa namna Fulani ni kweli kwamba wengi wanaitumia dini kama kivuli ijapokuwa sio woteKatika utafiti nilioufanya, Nimekuja na hitimisho kuwa wanaojifanya kumuamini Mungu kwa asilimia kubwa ndio wanaongoza kwa unafiki na nahisi hata dhambi wananizidi.
Mungu anajua alichonifanyia ndio maana bado nina kesi naye.
Hamuwezi kujua nyie, Kaeni kwa kutulia alaaaah😉
Hapo sasaUnataka uombwe msamaha na Mungu ambaye unaamini hayupo..!!!! Milembe inakuhitaji.
Kwahiyo, unangoja Mungu unayeamini kuwa hayupo aje akujibu hapa JF..!!! We wahi Milembe kama hujaharibikiwa zaidi.Katika utafiti nilioufanya, Nimekuja na hitimisho kuwa wanaojifanya kumuamini Mungu kwa asilimia kubwa ndio wanaongoza kwa unafiki na nahisi hata dhambi wananizidi.
Mungu anajua alichonifanyia ndio maana bado nina kesi naye.
Hamuwezi kujua nyie, Kaeni kwa kutulia alaaaah😉
Wale Vilema wa Kimara au wa pale Kariakoo " OMBAOMBA" ( Wametaka wao kuwa vile?)Umekuja duniani kwa hiari yako mwenyewe.
Mzazi wako umemchagia wewe mwenyewe.
Karaha,taabu,mateso unayopata umeyachagua wewe mwenyewe.
Unataka uombwe msamaha na Mungu ambaye unaamini hayupo..!!!! Milembe inakuhitaji.
Sawa nitaenda MkuuKwahiyo, unangoja Mungu unayeamini kuwa hayupo aje akujibu hapa JF..!!! We wahi Milembe kama hujaharibikiwa zaidi.
Huwezi elewa kwanini nina kesi na Mungu.Wahi mirembe unachangamoto ya akili.
Yaani wewe badala ukawaulize wazazi wako ambao ndo wamekuzaa unakuja kutusumbua huko JF.
Nitoe wito kwa vijana kabla hamjazaa watoto, hakikisha unasababu za msingi za kumleta huyo kiumbe hapa duniani kama huna tumia CONDOM au CHOMOA.
Usije ukawa unatafuta mtoto kwa kufata mkumbo,kwakua umekuta watu katika jamii yako wakifika umri flani lazima waoe au waolewe na kupata watoto. Hakikisha wewe unasababu madhubuti ili siku ya siku mwanao atakapokuuliza uwe na majibu mujarabu.
Kama huna sababu huna hela bora usizae mnatuletea machizi humu duniani.
Hakuna laana na watoto wa leo watawauliza maswali magumu na hamtakuwa na lakuwajibu.Mambo ya kutishia kutoa laana hawa watoto hawatambui na hayana ukweli wowote.
Tafuteni hela!!!Tafuteni hela!!! ndio mfikirie kuzaa,watoto wanataka urithi wao😄😄😄😄
Elimu sio urithi ni wajibu!!!
Mungu hakukuleta dunian ila wazaz. Mungu ametengeneza system wazaz walikojoleana ukatoka ww,wala si Mungu.
Yeye ndo anapaswa kuniomba msamaha maana anajua ni kwa kiasi gani amenikatili🙏Huna adabu kwa Mungu. Mwombe msamaha na tubia uovu wako huu. Mungu ni wa rehema atakusamehe na atakuwezesha kuanza upya.
Mambo ambayo nimepitia ni makubwa. Na sidhani kama kuna balaa kubwa ambayo itakuwa zaidi ya mwanzo.Mzee!
Mungu hadhihakiwi, hilo balaa unalotafuta naomba likupitie mbali .
Joanah. Anajua aliponikoseaNdugu yetu ana beef na Mungu Kama kweli Mungu yupo, basi hana nguvu
Sun is Sun Mungu amekukosea nini kwani?
Sawa Dr by profession 🙏Bangi mbaya, mwambie Baba yako angevaa condom angeisadia dunia kutoleta kituko duniani kama wewe.
Kwani Kuna watu amewapa vichwa vinne?
Unamiguu miwili kama watu wengine?
Unamikono miwili kama watu wengine siyo?
Hakuna mtu aliyependelewa mkuu
Wote Huwa tunazaliwa katika hali sawa,wakati unalalamika Kuna watu hawana hata miguu,ama mikono ?
Wewe kinachokufanya ulalamike ni nini?
Kwa kuwa unashinda kwenye kijiwe kutwa nzima?
Kwa kuwa haupo kwenye nchi ambayo haina vita?
Kwa kuwa unaweza kupata chakula?
Kwa kuwa hauumwi ugonjwa mkubwa kama cancer?
Acha kukufuru
👐Allahaulah Nini hiki [emoji15][emoji15]
Sawa
SawaUzembe wako kushindwa kupambana na maisha kwa akili pamoja na kukosa nidhamu usihusihanishe na hadithi za kusadikika!!