Mungu kama upo unapaswa kuniomba msamaha

Hapana mkuu mi najua za kina Heinsberg na mwenzake shrondigerr..

Nielekeze kidogo
Za Heisenberg na Schrodinger ukisema unazijua, maana yake huzijui.

AI Overview

Equanimity is a state of mental stability and balance where someone is calm and composed, especially in difficult situations. It's the ability to remain open and non-reactive in the face of challenging or distressing situations.

Here are some characteristics of equanimity:

Even-mindedness: Being able to monitor your immediate judgment or reaction towards others

Mindful: Taking a moment to pause, notice, and reflect

Open: Having big open arms to every moment

Present: Staying present without losing a sense of mental clarity

The word “equanimity” comes from the Latin terms aequus, meaning “even, level” and animus, meaning “mind” or “spirit”.

Some synonyms of equanimity include: Calm, Composure, Phlegm, and Sangfroid.
Some ways to practice equanimity include:

Learning to meditate, Learning to detach yourself and be an observer, Taking deep breaths, and Seeking understanding.
 
UTakua una shida mahali. Mental health is apparently a major concern. Huu uzi umeleta huku kwa mantiki ipi? Mungu unaemlalamikia yupo huku JF?
Moderator Muwe mnapitia nyuzi. Nyingine hazina maana yoyote
Kama uzi hauna maana unaruhusiwa kuuruka.

Some questions are rhetoric, do you know what a rhetoric question is?
 
Mbona ni hasbuhi sana kwa 2025
 
Ubaya Ubwela na Bado mzee huko mbele kwa waliochungulia wanasema ni Kubayaa kubadest balaa
 
Ooooh safi kabisa...
Sasa hapo naona kabisa unajiingiza mwenyewe kwenye mambo ya meditation mdogo mdogo mkuu
 
Ooooh safi kabisa...
Sasa hapo naona kabisa unajiingiza mwenyewe kwenye mambo ya meditation mdogo mdogo mkuu
Meditation mbona hata kwenye saikolojia ipo. Haihitaji kumuamini Mungu. Mimi tatizo langu kumuamini Mungu.

Nishafanya meditation sana Buddhist Temple and Meditation Centre hapo Dar es salaam.
 
Ngoja niisikilize hapaa
 
mtake radhi kwanza lawama hizo wanapaswa wapewe wazazi wako kwa kukuleta duniani bila hiali yako dunia yenye shida kwa ngono zao zembe
 
Pole mkuu, ila angalia usije ukakufuru maana dhambi hii ndio dhambi pekee isiyosameheka (Marko 3:28,29 Luka 12:10)
hapo inabidi we ndio umuombe msamaha na utubu uombe akubariki, Amen
 
Meditation mbona hata kwenye saikolojia ipo. Haihitaji kumuamini Mungu. Mimi tatizo langu kumuamini Mungu.

Nishafanya meditation sana Buddhist Temple and Meditation Centre hapo Dar es salaam.
Daaah sema haya mambo bana mpaka uanze kukataa kuhusu God ni kama upepo ambao unaendana na mpunga ulio nao..

Uwezi kukuta jamaa nja kali alafu akatae kuhusu Mungu..
 
Mungu ni pyramid scheme hayupo , Angekuwepo Maisha na dunia kwaujumla isingekuwa na kasoro nyingi kiasi hiki
 
Kama uzi hauna maana unaruhusiwa kuuruka.

Some questions are rhetoric, do you know what a rhetoric question is?
Uzi usio na maana unawezaje kuuruka mkuu. Labda km angemtag uyo Mungu anaemlalamikia
 
Daaah sema haya mambo bana mpaka uanze kukataa kuhusu God ni kama upepo ambao unaendana na mpunga ulio nao..

Uwezi kukuta jamaa nja kali alafu akatae kuhusu Mungu..
Njaa kali ndiye anatakiwa kukataa Mungu zaidi.

Kwa sababu Mungu angekuwepo asingekuwa na roho mbaya kuumba dunia ambayo inaweza kuwa na watu njaa kali.
 
Uzi usio na maana unawezaje kuuruka mkuu. Labda km angemtag uyo Mungu anaemlalamikia
Huyo Mungu hata wewe huwezi kuthibitisha yupo mkuu.

Kama unabisha, thibitisha yupo.
 
Mungu akurehemu.
Hii kufuru kubwa sana.
 
MAISHA HAYA BHANA.....

Basi tu hakuna namna.

Pole sana mkuu.....

Naandika nafuta tu..
Pole mkuu...
 
Makambako sehemu gani home boy? Au Tukuyu moja sio?

Kaza man hii tunaita Ubaya Ubwela.Maisha ni kazi ya mikono yako pambana.Kazi ni kipimo cha utu
 
Njaa kali ndiye anatakiwa kukataa Mungu zaidi.

Kwa sababu Mungu angekuwepo asingekuwa na roho mbaya kuumba dunia ambayo inaweza kuwa na watu njaa kali.
Hapana unapokua na njaa kali imani ndo inakua inaongezeka zaida either positive (God) au Negative (Ushetani)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…