Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Kulikuwa na ulazima gani Allah kusimulia visa vya uongo?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Jua kuzama kwenye tope ni uongo mtupu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Kwanza ushakubali sasa kua hadithi yako haija taja tope vizuri ukome kukurupuka.

Sasa nakujibu hadithi yako ni dhaifu na ya uongo.

Nilianza kukataa mwanzo maneno unayo yaongeza kwenye hadithi au aya ili upate maana unayo taka wewe.

Sasa narudi kutakatisha na hiyo hadithi yako ya kuokoteza lete sources hapa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Sina elim kubwa ila nadhan hio hadith sio sahih sabab inapingana na qur'an. Qur-an
.
Inapingana wakati Ina support , Aya ya inayosema alikuta Jua linazama kwenye maji yenye matope meusi

Muhammad katoa maelezo sawa na Koran kabisa

  • Imesimuliwa Abu Dharr:
    Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (๏ทบ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
    Grade Sahih
 
Haujaleza chochote cha maana zaidi ya hoja za kuungaunga. Swali ulilouliza kuhusu ishara inayoelezwa kwenye Kitabu cha Ufunuo ni la ovyo sana. Mtu kaeleza kuwa aliona ishara mbinguni ( just signs) afu unauliza hii ishara inawezekana vipi wakati mwezi ni mkubwa kuliko dunia.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Hii Familia ya Mtume muhammad hii.. haya kioja kingine...
 

Attachments

  • Sheikh Kipoozeo.mp4
    3.8 MB
Thibitisha Hadith ni yangu? Na si ya waislamu

Pili thibitisha Hadith ni dhaifu na ya uongo
Hiyo hadithi sio yako wala waislamu nimekwambia ni hadithi ya uongo kwa maana nyingine dhaifu

Hadithi sahihi ni hii hapa imepokelewa na imam Bukhary kitab bado u l wahyi

Lazima uwe na elimu ya hadithi wewe. Unajiona una toa nondo kumbe Makolo kolo tu soma hii chini


Sahih al-Bukhari

Narrated Abu Dhar:

The Prophet (๏ทบ) asked me at sunset, "Do you know where the sun goes (at the time of sunset)?" I replied, "Allah and His Apostle know better." He said, "It goes (i.e. travels) till it prostrates Itself underneath the Throne and takes the permission to rise again, and it is permitted and then (a time will come when) it will be about to prostrate itself but its prostration will not be accepted, and it will ask permission to go on its course but it will not be permitted, but it will be ordered to return whence it has come and so it will rise in the west.




Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ Umeshahitimisha Jua kuzama kwenye maji
Kumbuka chini ya kiti Cha Allah ambapo Jua tusipo liona linaenda kusujudu Kuna maji ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Umefunga mada kibabe
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787] Umeshahitimisha Jua kuzama kwenye maji
Kumbuka chini ya kiti Cha Allah ambapo Jua tusipo liona linaenda kusujudu Kuna maji [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Umefunga mada kibabe
Chizi wewe kwenye arsh ya ALLAH kuna tope

Usijichekeshe na hadeeth zako dhaifu una tuletea sisi hapa



Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kwa hiyo Mungu akawa anamsimulia Mohammad vitu vya uongo?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kwaio ulitak mung aseme uongo. Muhammad (pbh) aliulizwa na watu wake kuhus huyo mtu "WANAKUULIZA JUU YA DHUL-KANAIN"

Ilikua lazima story ya Dhul-kanain iwe kama ilivokua ili watu wafaham dhul-kanain ni nan.

Kuongeza au kupunguza chochote kweny hio story kungemfany Muhammad (phb) aonekan muongo,sabab mpka watu wanakuuliza kuhus mtu tafsir wanahabar nae vip ukipotosha [emoji2369].

Kuhusu jua kauli ya Allah ni jua linaelea [21:33].
 
Hadithi yangu mimi haija taja maji wewe unaumwa uchizi enh

Hadithi yako ni ya uongo

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Kusujudu Jua linasujudu limesimama ? Tumia akili
Linaenda kwenye kiti Cha Allah kusujudu na chini ya kiti Cha Allah Kuna maji , embu connect dots

Ingine hii Muhammad kapigilia msumari
 

Mbona vitu hiv havihitaj akili kubwa kuvielewa. Kwanza hadith inasema chemchem ya maji ya moto.Qur an inasema chemchem ya matope meusi mpka hapo hio hadith sio sahih.

Hatuwez zungumzia hadith dhaif.
 
Elewa haya maelezo ya wanachuoni Kwanza

Sheikh al khattab Undoubtedly the reports in the books of al-Bukhaari and Muslim take precedence, according to the critics and scholars, than those in other books and Musnads.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Mbona vitu hiv havihitaj akili kubwa kuvielewa. Kwanza hadith inasema chemchem ya maji ya moto.Qur an inasema chemchem ya matope meusi mpka hapo hio hadith sio sahih.

Hatuwez zungumzia hadith dhaif.
Gusa link kawashauri walio weka sahih wafute kwani wewe ni mjuzi kuliko wao

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ