Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Mungu kwenye Quran kusema kwamba Jua hutuama kwenye kisima cha matope mazito alikuwa na maana gani?

Jua linatoka kwenye matope !
waarabu akili hawana bado sisitizia.
Hivi ISS iliyopo juu na sayansi mnayoelezwa bado tu
 
Mwenye uwezo WA kuelezea Aya wa kwanza ni muhammad, ni nimeweka Hadith akisema wazi kuelezea Jua kuzama matopeni, kaeleza waI Jua linaondoka linaenda kujitupa kwa Allah chini ya kiti chake na chini ya kiti cha Allah Kuna maji


Muhammad akishatoa maelezo wewe kaa kimya

Umeweka hadithi , kwani hadithi unajua ni kitu gani ??
 
Umeweka hadithi , kwani hadithi unajua ni kitu gani ??
Relax kijana Jua kuzama kwenye chemchem ya matope ni ukweli , issue ni kwamba science bado haijagundua , uko mbelebi wakigundua elimu itabadilika
 
Relax kijana Jua kuzama kwenye chemchem ya matope ni ukweli , issue ni kwamba science bado haijagundua , uko mbelebi wakigundua elimu itabadilika

Science imegundua hii

ikiwa itahakikishwa kwamba Yesu hakufa (au kusulubiwa), basi Ukristo si chochote ila ni uwongo.

Hebu tuchunguze sasa madai ya kusulubiwa kwa Yesu:

Bwana Yesu

36 Akasema, "Aba, Baba, yote yanawezekana kwako; uniondolee kikombe hiki; lakini si kama nitakavyo mimi, bali utakavyo wewe."

( Marko 14:36 BHN)

42 "Baba, ikiwa wapenda, uniondolee kikombe hiki; lakini si mapenzi yangu, bali yako yatendeke."

( Luka 22:42 BHN)

39 Akaendelea mbele kidogo, akaanguka kifudifudi, akaomba, akisema, Baba yangu, ikiwezekana, kikombe hiki kiniepuke;

(Mathayo 26:39)

Sasa, hapa kuna kile Yesu anasema kuhusu kuomba:

22 Mkiamini, mtapokea chochote mtakachoomba katika sala.

(Mathayo 21:22)

Kwa hivyo sasa tuna shida. Yesu anasema chochote mtakachoomba (ukiamini) mtapokea. Hapo juu, Yesu anaomba “kikombe” kiondolewe kwake. Hapa kuna ufafanuzi katika muktadha wa nini "kikombe" inamaanisha:

"Kwa Yesu kikombe hicho kilikuwa kifo chake na kila kitu kilichohusika."

(Chanzo: Holman Illustrated Bible Dictionary, p. 373)

Kwa hivyo hapa tuna shida. Ikiwa Yesu aliomba kikombe kiondolewe, na kabla hajasema chochote mtakachosema katika maombi (kwa kuamini) mtakipokea, basi Yesu alisikika?

Sasa, Wakristo watakimbia ili kupata mistari inayosema kwamba "Yesu alitoa maisha yake kwa hiari", na "Yalikuwa mapenzi ya Baba", lakini sasa tuna shida nyingine. Hapa kuna baadhi ya vifungu katika kitabu cha Zaburi ambavyo vitasaidia kutoa mwanga:

39 Bali wokovu wa wenye haki una BWANA; Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.

40 BWANA atawasaidia na kuwaokoa, atawaokoa kutoka kwa waovu na kuwaokoa, kwa sababu wanamtumaini.

( Zaburi 37:39-40 )


Kama tunavyoona hapo juu, Yesu anamwomba Mungu katika wakati wake wa taabu (kama anavyosema mwenyewe kwamba "alilemewa na huzuni" katika Marko 14:34), na alikuwa akiomba kwamba asife, kwamba "kikombe" "itapita kutoka kwake. Lakini katika kifungu kilicho hapo juu, kinasema kwamba Mungu Mweza-Yote angemsaidia mtu huyo na kumwokoa kutoka kwa watu waovu kwa sababu wanamtumaini Mungu.

Zaidi ya hayo, tunasoma katika Zaburi:

28 Kwa maana Mwenyezi-Mungu anapenda hukumu, Wala hawaachi watakatifu wake; Wanahifadhiwa milele, lakini wazao wa waovu watakatiliwa mbali.

( Zaburi 37:28 )

Kama tunavyoona, Mungu Mwenyezi hawaachi watakatifu wake, basi kwa nini Yesu aliachwa? Kwa nini Yesu hakusikika? Wakristo ni dhahiri watalikataa dai hili, na tena kukimbia ili kupata mistari kutoka kwa kazi za Paulo n.k., ili kusaidia dai lao, kwamba ilikuwa ni mapenzi ya Mungu kumwua mwanawe, lakini sasa kuna mkanganyiko kati ya kile wanachosema, na kile Mungu Mwenyezi. anasema kwa kile ambacho Wakristo leo wanatuambia.

Zaidi ya hayo, Daudi pia alimwomba Mungu Mwenyezi katika wakati wake wa dhiki, naye akasikilizwa:

12 Ee Mwenyezi-Mungu, usikie maombi yangu, utege sikio lako kwa kilio changu; usinyamaze kwa machozi yangu, kwa maana mimi ni mgeni kwako, na mkaaji kama baba zangu wote walivyokuwa.

13 Unihurumie, nipate kupata nguvu, kabla sijaondoka hapa na kutokuwepo tena.


Zaburi 40

1 Nilimngoja BWANA kwa saburi; akaniinamia akakisikia kilio changu.

( Zaburi 39:12-13 na Zaburi 40:1 )

Daudi pia anazungumza kuhusu jinsi Mungu Mwenyezi humfanyia YEYE mambo yote:

1 Ee Mungu, unirehemu, kwa maana nafsi yangu inakutumaini wewe, naam, katika uvuli wa mbawa zako nitafanya kimbilio langu, hata maafa haya yatakapopita.

2 Nitamlilia Mungu aliye juu; kwa Mungu anifanyiaye mambo yote.

3 Atatuma kutoka mbinguni na kuniokoa kutoka kwa lawama yake anayetaka kunimeza. Sela. Mungu atatuma rehema zake na kweli yake.

( Zaburi 57:1-3 )

Daudi anazungumza kuhusu jinsi Mungu Mwenyezi atamwokoa.

Pia tunapata katika Zaburi:

2Ewe unayesikia maombi, wote wenye mwili watakuja kwako.

( Zaburi 65:2 )

Na,

1 Katika shida yangu nalimlilia BWANA, naye akaniitikia.

( Zaburi 120:1 )

Zaidi ya hayo, hata Nabii Yona alimwomba Bwana wakati wa shida yake:

2 Akasema, Nalimlilia BWANA katika shida yangu, naye akaniitikia; kutoka tumboni mwa kuzimu nililia, nawe ukasikia sauti yangu.

( Yona 2:2 )

Zaidi ya hayo, Mungu anasema kwamba mtu ambaye atamtukuza ndiye atakayemwita siku ya taabu (hasa akizungumza na Daudi):

13 Je, nitakula nyama ya mafahali, au kunywa damu ya mbuzi?

14 Mtolee Mungu shukrani; na utimize nadhiri zako kwa Aliye juu;

15 Na uniite siku ya taabu, nitakuokoa, nawe utanitukuza.

( Zaburi 50:13-15 )



Hayo hapo juu yanatosha kwa sasa
 
mwana umekazania lugha lugha afu point hakuna, simnasemaga quran haibadiliki haya tupe maana yake kwa hiyo lugha yao,
Qur'an,habadiliki,katika lugha yake ya asili,ambao ni kiarabu,kwenye tafsiri ndio inategemea lugha iliyotafsiriwa.
Nimekupa mfano wa kila lugha inatofautiana,nakupa mfano tena,ziko lugha zina majina,ambayo ukiyaleta kwenye kiswahili ni matusi,kama wajapani yapo majina kama Kum*moto,kwa kiswahili tusi.Au pia yapo majina katika lugha za makabila baadhi ya Tanzania,kwa kiswahili ni matusi,kama Akanit*mb*,ni jina,ukilileta katika kiswahili ni tusi kubwa sana.
Kuhusu kisa cha huyo aliyeona jua,likitua,kimeletwa kwa utunzaji wa mazingira,hapo,hao aliowakuta,walikuwa wanachafua chanzo cha maji,kwa shughuli za kibinadamu,ndio maji yakawa na matope,kwa macho ya huo aliyeona,aliona kama jua linatuwa kwenye matope(kutokana na uoni wa upeo wa macho yake),na ndio upeo wa macho wa binadamu,wanaoishi kando ya bahari,huwa wanaelewa hili,binadamu akiangalia baharini wakati jua linakuchwa,huwa linaonekana kama linazama kwenye maji ya bahari.Kutokana na uchafuzi wa vyanzo vya maji,ndio ikamalizia uwaadhibu au uwache,vyovyote atakavyoona inafaa.Lakini kikubwa hapo,ni uchafuzi wa vyanzo vya maji kwa hao,waliokutwa hapo,na huo anayesimuliwa kisa chake.Sasa badala,ya kuangalia elimu iliyopo katika aya ya utunzaji wa mazingira(kwenye vyanzo vya maji,wapingaji wanaangalia kuzama kwa jua,kulikosemwa na mtu,aliyeona kwa upeo wa macho ya binadamu wote,wanavyoona wakiwa kwenye mto au bahari,jua linavozama(ambayo pia ni elimu,ya upeo wa macho wa binadamu).
 
Qur'an,habadiliki,katika lugha yake ya asili,ambao ni kiarabu,kwenye tafsiri ndio inategemea lugha iliyotafsiriwa.
Nimekupa mfano wa kila lugha inatofautiana,nakupa mfano tena,ziko lugha zina majina,ambayo ukiyaleta kwenye kiswahili ni matusi,kama wajapani yapo majina kama Kum*moto,kwa kiswahili tusi.Au pia yapo majina katika lugha za makabila baadhi ya Tanzania,kwa kiswahili ni matusi,kama Akanit*mb*,ni jina,ukilileta katika kiswahili ni tusi kubwa sana.
Kuhusu kisa cha huyo aliyeona jua,likitua,kimeletwa kwa utunzaji wa mazingira,hapo,hao aliowakuta,walikuwa wanachafua chanzo cha maji,kwa shughuli za kibinadamu,ndio maji yakawa na matope,kwa macho ya huo aliyeona,aliona kama jua linatuwa kwenye matope(kutokana na uoni wa upeo wa macho yake),na ndio upeo wa macho wa binadamu,wanaoishi kando ya bahari,huwa wanaelewa hili,binadamu akiangalia baharini wakati jua linakuchwa,huwa linaonekana kama linazama kwenye maji ya bahari.Kutokana na uchafuzi wa vyanzo vya maji,ndio ikamalizia uwaadhibu au uwache,vyovyote atakavyoona inafaa.Lakini kikubwa hapo,ni uchafuzi wa vyanzo vya maji kwa hao,waliokutwa hapo,na huo anayesimuliwa kisa chake.Sasa badala,ya kuangalia elimu iliyopo katika aya ya utunzaji wa mazingira(kwenye vyanzo vya maji,wapingaji wanaangalia kuzama kwa jua,kulikosemwa na mtu,aliyeona kwa upeo wa macho ya binadamu wote,wanavyoona wakiwa kwenye mto au bahari,jua linavozama(ambayo pia ni elimu,ya upeo wa macho wa binadamu).
Muhammad hajasema macho wala upeo kathibitisha linazama kwenye chemchem hamiyah
 
Qur'an,habadiliki,katika lugha yake ya asili,ambao ni kiarabu,kwenye tafsiri ndio inategemea lugha iliyotafsiriwa.
Nimekupa mfano wa kila lugha inatofautiana,nakupa mfano tena,ziko lugha zina majina,ambayo ukiyaleta kwenye kiswahili ni matusi,kama wajapani yapo majina kama Kum*moto,kwa kiswahili tusi.Au pia yapo majina katika lugha za makabila baadhi ya Tanzania,kwa kiswahili ni matusi,kama Akanit*mb*,ni jina,ukilileta katika kiswahili ni tusi kubwa sana.
Kuhusu kisa cha huyo aliyeona jua,likitua,kimeletwa kwa utunzaji wa mazingira,hapo,hao aliowakuta,walikuwa wanachafua chanzo cha maji,kwa shughuli za kibinadamu,ndio maji yakawa na matope,kwa macho ya huo aliyeona,aliona kama jua linatuwa kwenye matope(kutokana na uoni wa upeo wa macho yake),na ndio upeo wa macho wa binadamu,wanaoishi kando ya bahari,huwa wanaelewa hili,binadamu akiangalia baharini wakati jua linakuchwa,huwa linaonekana kama linazama kwenye maji ya bahari.Kutokana na uchafuzi wa vyanzo vya maji,ndio ikamalizia uwaadhibu au uwache,vyovyote atakavyoona inafaa.Lakini kikubwa hapo,ni uchafuzi wa vyanzo vya maji kwa hao,waliokutwa hapo,na huo anayesimuliwa kisa chake.Sasa badala,ya kuangalia elimu iliyopo katika aya ya utunzaji wa mazingira(kwenye vyanzo vya maji,wapingaji wanaangalia kuzama kwa jua,kulikosemwa na mtu,aliyeona kwa upeo wa macho ya binadamu wote,wanavyoona wakiwa kwenye mto au bahari,jua linavozama(ambayo pia ni elimu,ya upeo wa macho wa binadamu).
Muhammad anasema
  • Imesimuliwa Abu Dharr:
    Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
    Grade Sahih
 
Muhammad hajasema macho wala upeo kathibitisha linazama kwenye chemchem hamiyah
Nimeshakufahamisha kila lugha,ina nna yake ya kujieleza,kuna lugha neno moja linajitosheleza kujieleza,kwenye kiswahili mpaka utumie maneno mengi,kwa mfano ,kiingereza,ukiambiwa,Blue,tayari umeshaelewa,lakini kwenye kiswahihil mpaka useme blue ya maji ya bahari.
 
Nimeshakufahamisha kila lugha,ina nna yake ya kujieleza,kuna lugha neno moja linajitosheleza kujieleza,kwenye kiswahili mpaka utumie maneno mengi,kwa mfano ,kiingereza,ukiambiwa,Blue,tayari umeshaelewa,lakini kwenye kiswahihil mpaka useme blue ya maji ya bahari.
Kwa hiyo muhammad anavyosema chemchem ya maji ni kitu tofauti?
  • Imesimuliwa Abu Dharr:
    Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
    Grade Sahih
 
Lete source
Source
  • Kwanza tuanze na dunia ipoje kwa mujibu wa allah dunia ipo kama meza au kapeti
    • koran 20:53 Sahih International
      [It is He] who has made for you the earth as a bed [spread out] and inserted therein for you roadways and sent down from the sky, rain and produced thereby categories of various plants.
    • 20:53 He Who has made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced divers pairs of plants each separate from the others. yusuf ali
  • Je kwa mujibu wa allah jua linapo zama uwa lipo wapi????
    • Imesimuliwa Abu Dharr:
      Wakati mmoja nilikuwa na Nabii (ﷺ) msikitini wakati wa jua. Nabii (ﷺ) akasema, "Ewe Abu Dharr! Je! Unajua jua linatua wapi?" Nilimjibu, "Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua vyema." Alisema, "linakwenda na kusujudu chini ya kiti cha enzi cha (cha Mwenyezi Mungu) allah,
      Vol. 6, Book 60, Hadith 326
    • 18:86 ,Yusuf Ali: Until, when he reached the setting of the sun, he found it set in a spring of murky water: Near it he found a People: We said: "O Zul-qarnain! (thou hast authority,) either to punish them, or to treat them with kindness."
    • 18;86. Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika checmchem yenye matope meusi. Na hapo akawakuta watu. Tukasema: Ewe Dhul-Qarnaini! Ama uwaadhibu au watwae kwa wema.
    • Imesimuliwa Abu Dharr:
      Nilikuwa nimekaa nyuma ya Mjumbe wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) ambaye alikuwa akipanda punda wakati jua linachomoza. Akauliza: Je! Unajua jua linazama wapi? Nilimjibu: Mwenyezi Mungu na Mtume wake wanajua bora. Alisema: linazama katika chemchemi ya maji ya joto (Hamiyah).
      Grade Sahih
 
Na je kuna aya yoyote inayosema huko Mbinguni tutakuta mito ya POMBE na tutagida kweli kweli,kama Shekhe mmoja alivyosema kwenye ile clip,
NB: POMBE nimeiandika kwa herufi kubwa ili kuipa heshima yake,kwa sababu ni tamu.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
1. Mleta mada, mbona neno "kisima" sijaliona kwenye tafsiri uliyoleta?

2. Aya hiyo ya 86 -inasema hivi

"Hata alipo fika machwea-jua aliliona linatua katika chemchem yenye matope meusi"

Je wewe mleta mada unaweza kutueleza labda Huyo Dhurqarnain aliliona jua linazama wapi?


Maana sometimes mtu unaweza kuliona jua linazama milimani, au maporini kulingana na ulipo.

Hiyo ni perception binafsi ya mtu, na wala haimaanishi jua linazama hapo!
Vijana waaminifu...salama yenu wekeni white out hii AYA.. jua letu lichafuke kwa tope two words "NO"
 
Back
Top Bottom