Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Ndio maana nikakwambia binadamu sio mnyama.Hicho kinachomfanya binadamu (mtu) kuwa wa kipekee kati ya wanyama wengine (akili) ndio wewe unakana.
Kwa maneno mengine, wewe mwenyewe unajikana huna ufahamu. Pia hata ujuzi wa kuandika, au kuunda au kutunga maneno, unavyoandika hapa unaukana.
Sasa kama binadamu ana akili kama unavyodai, Utasemaje tena binadamu ni mnyama?
Huoni kwamba una jichanganya mwenyewe?