Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,478
- 3,659
All in all apart from your fragility, I admire your arguments
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
All in all apart from your fragility, I admire your arguments
Mkuu Sayansi haipo kwaajili ya kupinga Imani ya Dini,Ni kweli Scriptures ni msingi wa mafundisho ya dini licha ya kasoro mbalimbali za kidini zinazoweza kuwako.
Holy scriptures zinafunua "kweli za akili" zilizotufikia kwa njia ya imani.
Maandiko matakatifu yanaanzisha utafiti wa kisayansi: maarifa yanayofuatilia ukweli - kwa jinsi gani kweli hizo za akili zilizofunuliwa kwa njia ya imani ni ukweli; na kwa kweli dini nayo kama sayansi inamtafuta Mungu, yaani ukweli.
Kosa kubwa ni kufikiri kwamba sayansi inapinga imani (dini) au kwamba imani (dini) inapinga sayansi. Huwezi kuachanisha imani (dini) na sayansi: wakati wote palipokuwa na dini na sayansi pia ilikuwepo.
Ungefafanua kidogo mkuu kwa afya ya mjadala 🙏Hii sio kweli.
Tatizo kubwa la waafrika (I am sorry to say this) ni kutotaka kujifunza na kutafuta ukweli.Hakuna Mungu nje ya ancient scriptures....... HAKUNA
scriptures zinasema Mungu yupo na amewahi kuja duniani kama Yesu watu wakampiga na mijeredi, ameongea na manabii(Bibilia), Mungu ameongea na Mudi kupitia jibrili(quran), Mungu anaonekana kama jua(greek) nk nk
I mean tayari nipo huru ndani ya imani bro, kuna utofauti..Mkuu bado upo kwenye kifungo cha imani na wewe pia 😁😁😁😁😁
Mkuu imani za dini kwa wenzetu zimebaki kama tamaduni tu,Tatizo kubwa la waafrika (I am sorry to say this) ni kutotaka kujifunza na kutafuta ukweli.
Ni jamii ilioanguka - isioweza kufuatilia ukweli.
Wayahudi ambao umerejelea kitabu chao (Tanakh) ndio wanasayansi na watafiti wakubwa duniani. Kanisa Katoliki ni wanasayansi na watafiti wakubwa ulimwenguni. Jamii za wazungu, wajapani ni wanasayansi na watafiti wakubwa duniani.
Wao wanafuatilia ukweli, waafrika wao hawafuatilii ukweli. Kwa mfano jambo kwamba Mungu alikuja duniani (Yesu) au Mungu aliongea na Mohamed. Je! Jambo hilo likoje?
Au ni kwa jinsi gani mtoto anaweza kuzaliwa pasipo kufanyika tendo la ndoa au mchakato wa kimaabara wa utungishaji mimba?
Imani inaeleza hayo. Lakini hatahivyo, mambo hayo ukweli wake ukoje? Wenzetu wanafuatilia si tu hayo, bali kila kitu kujua ukweli wao.
Upo kifungo cha nnje mkuu ,imani tu ni dhana isiyo na uhuru wowote 😁I mean tayari nipo huru ndani ya imani bro, kuna utofauti..
Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaah! Wrong!Upo kifungo cha nnje mkuu ,imani tu ni dhana isiyo na uhuru wowote 😁
Uhuru wa kuchagua kutokuwa huru nalo pia ni gereza kama haujui haki zako za kuwa huru , ila kama una fahamu uhuru wa kuwa huru ,umeamua tu ni sawa katika huo uhuru wako .Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaah! Wrong!
Je kama imani hiyo nimeiamua mwenyewe? Swali la kujibu hapa ni: Kama tukikaa wananchi tukapiga kura tukachagua kuongozwa kidikteta na say Magufuli/Maalim Seif...... je hiyo ni demokrasia au sio demokrasia??
Sio imani na Wala sihitaji kukuthibitishia ili yeye aonekane kuwa yupo, Amini au usiamini ila yeye ndio aliyeufanya uwepo wangu.Ni imani yako tu wala huna uthibitisho wa uwepo wa huyo mungu.
Ewaaaaaah! Umeelewa vizuri. Hivyo ndivyo ilivyoUhuru wa kuchagua kutokuwa huru nalo pia ni gereza kama haujui haki zako za kuwa huru , ila kama una fahamu uhuru wa kuwa huru ,umeamua tu ni sawa katika huo uhuru wako .
Mkuu.Mkuu Sayansi haipo kwaajili ya kupinga Imani ya Dini,
Imani ya Dini na Sayansi ni vitu viwili tofauti kabisa
Tatizo linakuja pale mnapotaka kutumia Sayansi kuthibitisha Imani ya Dini
Imani inakengeuka principals zote za kisayansi kwasababu kwenye imani ya Mungu kila kitu kinawezekana....... I mean every thing
Unless other wise uwe na tafsiri yako peke yako ya maneno IMANI na SAYANSI
Imani hasa hizi mnazoita za kiroho ni chaka la ujinga Africa .Mkuu.
Ni kweli sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika. Na imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana.
Kwa lugha nyingine, imani inafunua kweli za akili na sayansi inatafuta kuthibitisha kweli hizo. Nitaeleza kwa mfano, imani inaeleza kuwa ulimwengu uliumbwa na Mungu. Sayansi inatafuta ukweli wa wazo hilo - kwa jinsi gani ulimwengu umetokea? That's science.
Imani inaeleza kuwa Bikra Maria alimzaa Yesu bila kufanya tendo la ndoa na mwanaume; na kwamba kuzaliwa kwa Yesu hakukuwa kwa uhandisi wa kimaabara - imani inaeleza hivyo. Sayansi inatafuta ukweli wa jambo hilo - kwa jinsi gani (mtu) mtoto anaweza kuzaliwa pasipo ya mwanamke na mwanaume kufanya tendo la ndoa? Au pasipo ya mbegu za mwanaume na yai la mwanamke kupitia mchakato wa uhandisi wa kimaabara?
Muhimu kajua ni kwamba kati ya sayansi na imani - moja yaani, sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika: mambo au vitu vilivyopo sasa.
Na nyingine - yaani, imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana: mambo au vitu ambavyo kwa sasa havipo au havionekani.
Aidha, pamoja na imani, sayansi ni maarifa yanayokua na yanayoendelea.
Hauna logic mkuu 100%.Huyo Mungu ni jina uchwara tu.
Nature ni nature haihitaji muumbaji.
Nature ipo yenyewe kama ilivyo.
Mkuu.Imani hasa hizi mnazoita za kiroho ni chaka la ujinga Africa .
Watafanyaje uchunguzi wakati wanaambiwa kila siku jp kanisani kazi za. Mungu hazichunguziki😁😁😁Mkuu.
Waafrika wanakataa kufuatilia ukweli - kufanya utafiti na uchunguzi wa kisayansi.
🤣🤣Watafanyaje uchunguzi wakati wanambiwa kila siku jp kanisani kazi za. Mungu hazichunguziki😁😁😁
Usicheke mkuu kwani haujawahi kukutana na hawa viumbe wanaitwa walokole?🤣🤣
Kusema ukweli nimecheka sana hasa hapo kwenye neno kazi za Mungu hazichunguziki 🤣🤣
😂😂😂Usicheke mkuu kwani haujawahi kukutana na hawa viumbe wanaitwa walokole?