Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

Sawa mkuu ,ulokole ni sawa na umekunywa sumu tayari alafu unakunywa maji kama kujiokoa kumbe ndio unaisambaza vizuri.
Dini Afrika ni tatizo kubwa sana hivi kwamba watu sasa hawawezi kupima mambo kwa mwanga wa akili.
 
NNa huo
Mkuu.

Ni kweli sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika. Na imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana.

Kwa lugha nyingine, imani inafunua kweli za akili na sayansi inatafuta kuthibitisha kweli hizo. Nitaeleza kwa mfano, imani inaeleza kuwa ulimwengu uliumbwa na Mungu. Sayansi inatafuta ukweli wa wazo hilo - kwa jinsi gani ulimwengu umetokea? That's science.

Imani inaeleza kuwa Bikra Maria alimzaa Yesu bila kufanya tendo la ndoa na mwanaume; na kwamba kuzaliwa kwa Yesu hakukuwa kwa uhandisi wa kimaabara - imani inaeleza hivyo. Sayansi inatafuta ukweli wa jambo hilo - kwa jinsi gani (mtu) mtoto anaweza kuzaliwa pasipo ya mwanamke na mwanaume kufanya tendo la ndoa? Au pasipo ya mbegu za mwanaume na yai la mwanamke kupitia mchakato wa uhandisi wa kimaabara?

Muhimu kajua ni kwamba kati ya sayansi na imani - moja yaani, sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika: mambo au vitu vilivyopo sasa.

Na nyingine - yaani, imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana: mambo au vitu ambavyo kwa sasa havipo au havionekani.

Aidha, pamoja na imani, sayansi ni maarifa yanayokua na yanayoendelea
Na huu ndio ukweli ambao watu wengi wanashindwa kuelewa.
Ndio utaona mtu analazimisha kama Mungu yupo mbona haonekani, hashikiki n.k bila kujua kuwa maswala ya Mungu yameelezwa kiimani na imani imejikita zaidi katika visivyoonekana. Hapa ni kusema kuwa kwa kuwa sayansi ina deal na vyenye kuonekana zaidi, Hivyo vitu vingi vya kiimani vinakuwa ni beyond science level.
 
Mkuu.

Ni kweli sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika. Na imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana.

Kwa lugha nyingine, imani inafunua kweli za akili na sayansi inatafuta kuthibitisha kweli hizo. Nitaeleza kwa mfano, imani inaeleza kuwa ulimwengu uliumbwa na Mungu. Sayansi inatafuta ukweli wa wazo hilo - kwa jinsi gani ulimwengu umetokea? That's science.

Imani inaeleza kuwa Bikra Maria alimzaa Yesu bila kufanya tendo la ndoa na mwanaume; na kwamba kuzaliwa kwa Yesu hakukuwa kwa uhandisi wa kimaabara - imani inaeleza hivyo. Sayansi inatafuta ukweli wa jambo hilo - kwa jinsi gani (mtu) mtoto anaweza kuzaliwa pasipo ya mwanamke na mwanaume kufanya tendo la ndoa? Au pasipo ya mbegu za mwanaume na yai la mwanamke kupitia mchakato wa uhandisi wa kimaabara?

Muhimu kajua ni kwamba kati ya sayansi na imani - moja yaani, sayansi inashughulika na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika: mambo au vitu vilivyopo sasa.

Na nyingine - yaani, imani inashughulika na mambo ya badae na bayana ya vitu visivyoonekana: mambo au vitu ambavyo kwa sasa havipo au havionekani.

Aidha, pamoja na imani, sayansi ni maarifa yanayokua na yanayoendelea.
Mkuu Science ina principal zake,
Imani haina vigezo vya kuchakatwa na Science..... hakuna mahali vinakutana

Science haitafiti dunia imefanyikaje kwasababu Imani inasema ni Mungu kaiumba...... NOPE
Science inatafiti kwasababu Dunia ipo........ usichanganye hapa

Sana sana Science inachoweza kufanya ni kutafiti jinsi waamini Mungu mnavyo behave..... lakini sio mnacho amini

Hebu niambie Science inachunguzaje life after dearth? Inachunguzaje kuna Jehanamu au pepo au mabikira 72? Unamchunguzaje Malaika? Nk nk

Mkuu Imani haitaki LOGIC kabisaaaa kama baadhi ya “wasomi” wengi wanavyojaribu kuweka logic kwenye Imani
Kilicho andikwa kwenye scriptures ndio hicho hicho, unachotakiwa ni kuamini tu na sio kuanza kufanya reasoning

Ni vyema mkajikita KUTUAMINISHA kwa IMANI kuhusu Mungu kuliko kuanza kutumia misingi ya sayansi mkuu
 
Dini Afrika ni tatizo kubwa sana hivi kwamba watu sasa hawawezi kupima mambo kwa mwanga wa akili.
Mkuu imani ya dini haitaki matumizi sahihi ya akili zaidi ya KUAMINI scriptures
 
Hebu niambie Science inachunguzaje life after dearth? Inachunguzaje kuna Jehanamu au pepo au mabikira 72? Unamchunguzaje Malaika? Nk nk
Mkuu.

Msingi wa sayansi ni nadharia. Na nadharia kwa lugha rahisi ni shughuli zinazoongoza kufikia ukweli. Kwa hiyo ni ujuzi.

Ni ujuzi wa kuunda mfumo wa mawazo au wa maelezo; au muongozo uliopangwa ili kuelezea ukweli wa jambo fulani.

Kwenye suala la life after death kwa mfano, mtu kwa ujuzi alioupata au alionao anaweza kuunda mfumo wa mawazo wa kuangalia ufanyajikazi wa mawimbi ya ubongo wa mtu yanakuwaje wakati hajafa, akiwa mgonjwa, anapokaribia kufa na baada ya kufa.

Kwa hiyo kupitia huo mfumo anaweza kupendekeza alivyoelewa.
 
Na huu ndio ukweli ambao watu wengi wanashindwa kuelewa.
Ndio utaona mtu analazimisha kama Mungu yupo mbona haonekani, hashikiki n.k bila kujua kuwa maswala ya Mungu yameelezwa kiimani na imani imejikita zaidi katika visivyoonekana. Hapa ni kusema kuwa kwa kuwa sayansi ina deal na vyenye kuonekana zaidi, Hivyo vitu vingi vya kiimani vinakuwa ni beyond science level.
Mkuu.

Watu hawaelewi sio tu imani, bali hata sayansi ambayo wanajificha kwayo.
 
Hauna logic mkuu 100%.
Reasoning capacity thinking still ni poor.
Samahani mkuu🙏.
Niwe, nisiwe nayo.

Nakwambia hivi, Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Sio imani na Wala sihitaji kukuthibitishia ili yeye aonekane kuwa yupo, Amini au usiamini ila yeye ndio aliyeufanya uwepo wangu.
Kama sio imani mthibitishe huyo Mungu yupo yeye mwenyewe sio kutumia vitu vilivyopo kumhusisha navyo kama ni yeye.

Mthibitishe yeye kama yeye. Sio kutumia vitu vilivyopo kumthibitisha.

Huko ni kufanya, Logical non sequitur.
 
Niwe, nisiwe nayo.

Nakwambia hivi, Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
hio ni wewe umesema , usitake tufuate vile utakavyo.
nakwambia hivi , huyo MUNGU alikueko,yuko na ataendelea kuwepo.

Niwe, nisiwe nayo.

Nakwambia hivi, Huyo Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Kama sio imani mthibitishe huyo Mungu yupo yeye mwenyewe sio kutumia vitu vilivyopo kumhusisha navyo kama ni yeye.

Mthibitishe yeye kama yeye. Sio kutumia vitu vilivyopo kumthibitisha.

Huko ni kufanya, Logical non sequitur.
sasa yeye ndio kasema mtamjua kuoitia vitu vilivyopo.
 
Mkuu.

Msingi wa sayansi ni nadharia. Na nadharia kwa lugha rahisi ni shughuli zinazoongoza kufikia ukweli. Kwa hiyo ni ujuzi.

Ni ujuzi wa kuunda mfumo wa mawazo au wa maelezo; au muongozo uliopangwa ili kuelezea ukweli wa jambo fulani.

Kwenye suala la life after death kwa mfano, mtu kwa ujuzi alioupata au alionao anaweza kuunda mfumo wa mawazo wa kuangalia ufanyajikazi wa mawimbi ya ubongo wa mtu yanakuwaje wakati hajafa, akiwa mgonjwa, anapokaribia kufa na baada ya kufa.

Kwa hiyo kupitia huo mfumo anaweza kupendekeza alivyoelewa.
Kwamba sasa kuanze kuwa na Scientific Theories za Mungu, shetani, malaika, life after death, jehanam peponi nk nk?

Mkuu sina hakika kama unajua maana ya Scientific theory.

Ninacho kiona kwako ni unatumia nguvu kubwa kutaka kuthibitisha Imani ya dini Kisayansi

Narudia tena kwamba Imani ya dini inakengeuka principal zote za kisayansi
Hakuna namna unaweza ku access “data” za imani ili zichakatwe kisayansi

Sayansi huwa haichakati from NOTHING
 
Mkuu.

Watu hawaelewi sio tu imani, bali hata sayansi ambayo wanajificha kwayo.
Mkuu imani ndio haieleweki

Sayansi kila mtu anaielewa na kui apply kila siku kwenye maisha yake bila hata kujua kama ana apply sayansi

Kwa lugha rahisi kabisa na kwa level ya chini kabisa Sayansi ni LOGIC tu na haina maajabu yoyote
 
Kama sio imani mthibitishe huyo Mungu yupo yeye mwenyewe sio kutumia vitu vilivyopo kumhusisha navyo kama ni yeye.

Mthibitishe yeye kama yeye. Sio kutumia vitu vilivyopo kumthibitisha.

Huko ni kufanya, Logical non sequitur.
Unataka uthibitisho wa aina gani ? Nijuze
 
Mkuu imani ndio haieleweki

Sayansi kila mtu anaielewa na kui apply kila siku kwenye maisha yake bila hata kujua kama ana apply sayansi

Kwa lugha rahisi kabisa na kwa level ya chini kabisa Sayansi ni LOGIC tu na haina maajabu yoyote
Mungu pia ana apply kwenye maisha yetu kila siku, Tunaofahamu yupo
 
hio ni wewe umesema , usitake tufuate vile utakavyo.
nakwambia hivi , huyo MUNGU alikueko,yuko na ataendelea kuwepo.
Hata na nyie kusema Mungu yupo ni ninyi mmesema wala msifosi na msitake kila mtu afuate mtakavyo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe wala hawezi kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.

Mungu huyo hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
 
Mungu pia ana apply kwenye maisha yetu kila siku, Tunaofahamu yupo
Mimi sina tatizo ukisema unafahamu Mungu yupo KIIMANI kwasababu hiyo itabaki ni imani yako tu, na imani hiyo has nothing to do with Fact.

Ukiamini Radi ni Mungu Thor wa Viking ni wewe tu.
Ukiamini Yesu ni Mungu ni wewe tu.
Ukiamini Jua ni mmoja wa miungu wa kigiriki ni wewe tu.
Ukiamini Mungu kakupangia kila kitu maishani kabla hata hujazaliwa ni wewe tu

Yaani unaweza kuamini chochote kile just to suit your imagination.

Ninachopinga mimi dhidi ya mleta mada ni kudai Sayansi na imani ya dini vinaendana..... kwamba unaweza kuthibitisha imani ya dini kisayansi

Kwenye sayansi watu wote duniani tuta apply the same way kwasababu sayansi ni FACT na inatokeo moja
Kwenye imani kila mtu anaamini anavyojisikia kwasababu Imani sio Fact na haina tokeo moja
 
Back
Top Bottom