Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

Mungu maana yake ni nini? Au Mungu ni nini?

Kabla sijamthibitisha yeye, Nithibitishie kwanza wewe kama ni binadamu na sio roboti ( Maana sijakutambua wewe ni nani haswa )
Mimi ni binadamu na sio roboti, kwa vile naweza kufanya chochote kwa uhuru, maamuzi na matakwa yangu mwenyewe pasipo kuhitaji command yeyote ile au muongozo wa kitu chochote kile.

Lakini roboti ili liweze kufanya kazi lazima liwe programmed au lipewe command na binadamu ya kufanya kitu fulani.

Roboti halina ufahamu, uhuru, uamuzi au matakwa yake lenyewe ya kufanya vitu mpaka lipate miongozo ya kibinadamu.

Unaelewa hilo?
 
t
Hata na nyie kusema Mungu yupo ni ninyi mmesema wala msifosi na msitake kila mtu afuate mtakavyo.

Mnahangaika sana kumwelezea na kumuongelea huyo Mungu kwa vile Hayupo kujiongelea mwenyewe wala hawezi kujidhihirisha mwenyewe kwamba yupo.

Mungu huyo hajawahi kuwepo, hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.
thibitisha kuwa hayupo ?
 
Mimi ni binadamu na sio roboti, kwa vile naweza kufanya chochote kwa uhuru, maamuzi na matakwa yangu mwenyewe pasipo kuhitaji command yeyote ile au muongozo wa kitu chochote kile.

Lakini roboti ili liweze kufanya kazi lazima liwe programmed au lipewe command na binadamu ya kufanya kitu fulani.

Roboti halina ufahamu, uhuru, uamuzi au matakwa yake lenyewe ya kufanya vitu mpaka lipate miongozo ya kibinadamu.

Unaelewa hilo?
binadamu bana tunajikakamua kujua meengi wakati akili zenyewe ziko limited.😂😂, any anatufurahia sana,
by the way unataka nikuthibitishie MUNGU yupo sio? naomba ufanye ivi
naomba ututengenezee particles zilikowa used kutengeneza
1. Jua 2. Damu 3. maji 4. mifupa.

Kuna pointi naitafuta kwako.
 
binadamu bana tunajikakamua kujua meengi wakati akili zenyewe ziko limited.😂😂, any anatufurahia sana,
by the way unataka nikuthibitishie MUNGU yupo sio? naomba ufanye ivi
naomba ututengenezee particles zilikowa used kutengeneza
1. Jua 2. Damu 3. maji 4. mifupa.

Kuna pointi naitafuta kwako.
Hakuna ulazima wa kwamba jua, damu, maji na mifupa vimetengenezwa. Vitu hivi vipo tu vyenyewe bila kutengenezwa na Havihitaji kutengenezwa.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mtengenezaji wake, Hata mtengenezaji wa vitu vyote atahitaji mtengenezaji wake.

Kama haiwezekani vitu hivi kuwepo vyenyewe tu pasipo mtengenezaji, Hata huyo Mungu hawezi kuwepo tu mwenyewe pasipo mtengenezaji.

Kama huyo Mungu aliweza kuwepo tu mwenyewe pasipo mtengenezaji, Hata hivi vitu: jua, damu, maji,mifupa na vitu vingine vyote Vipo vyenyewe pasipo kutengenezwa.
 
t

thibitisha kuwa hayupo ?
Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika yupo.

Huu ni uthibitisho tosha kwamba Mungu huyo hayupo.

Angalau kitu kinaweza kuthibitishika kipo kwa namna mojawapo ya kuonekana, kushikika, kusikika na kuhisika.

Mungu huyo hayupo kwa namna yoyote ile ya kuthibitishika. Haonekani, Hashikiki, Hasikiki wala haisiki.

Mungu huyo ni mawazo ya kufikirika tu na hadithi za kutungwa. Hayupo katika uhalisia.

Kama unajua huyo Mungu wako yupo, Mthibitishe au mwambie huyo mungu aje hapa ajidhihirishe mwenyewe yupo.

Otherwise huyo Mungu ni mawazo ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
 
Kwamba sasa kuanze kuwa na Scientific Theories za Mungu, shetani, malaika, life after death, jehanam peponi nk nk?

Mkuu sina hakika kama unajua maana ya Scientific theory.

Ninacho kiona kwako ni unatumia nguvu kubwa kutaka kuthibitisha Imani ya dini Kisayansi

Narudia tena kwamba Imani ya dini inakengeuka principal zote za kisayansi
Hakuna namna unaweza ku access “data” za imani ili zichakatwe kisayansi

Sayansi huwa haichakati from NOTHING
Mkuu. Sio nia yangu kumshawishi yeyote. Lakini kama wanyama wenye busara, umakini unapaswa kuzingatia akili kutuongoza sio tu kuelewa ulimwengu, bali kwa jinsi gani tunafikia hatua hiyo.

Pamoja na kwamba mtu ana wajibika kwa mambo mbalimbali, nyajibu hizo ni pia kujifunza. Kama mtu unataka kuwa salama; unataka kuendelea, unalazimika kufuatilia kwa karibu vitu mbalimbali - elimu ya vitu mbalimbali, kujifunza.

Watu huenda shule na vyuo kujifunza. Watu hufanya tafiti na utafiti wa kisayansi kujifunza. Kujifunza ni kutafuta ukweli au kujua ukweli - jinsi vitu au mambo yalivyo na jinsi gani ya kutenda au kufanya mambo au vitu.

Kabla ya kusema sayansi inafanyaje kazi zake na kazi hizo lengo lake ni nini; kwa sababu si kweli kwamba sayansi inajishughulisha tu na vitu vinavyoonekana na vinavyoweza kupimika, bila ya lengo lolote, ni vema tukajua kwanza sayansi maana yake ni nini kabla ya kuangalia msingi wake mkuu, nadharia.

Sayansi ni maarifa yanayopatikana kwa kufanya vitendo, kutazama na kujaribu kweli mbalimbali zilizobainishwa hazijathibitishwa. Kuna misamiati msingi katika maana hiyo ya sayansi. Nayo ni hii hapa chini:-

Moja, sayansi ni maarifa - hili ni muhimu sana kujua kwa sababu hili la maarifa ndiyo linatengeneza msingi mkuu wa sayansi, Nadharia (Theory). Kwa hiyo ni muhimu sana kujua maarifa maana yake ni nini. Kwa sababu kwa kujua maarifa ni nini unaweza kuelewa msingi wa sayansi, nadharia.

Mbili ni "kweli zilizobainishwa hazijathibitishwa" . Hii inamaanisha kwamba sayansi inashughulika na kuthibitisha kweli zilizobainishwa hazijathibitishwa, kwa kufanya vitendo, kwa kutazama, na kwa kufanya majaribio.

Lakini hatahivyo, kweli zilizobainishwa ni nini au maana yake ni nini hadi sayansi idhithibitishe?

Kweli zilizobainishwa maana yake ni ulimwengu wote - mwanzo wake na mwisho wake. Yaani vitu vinatoka wapi, vinaenda wapi? Mtu anatoka wapi, anaenda wapi? Mtu anatakiwa aishije - jinsi gani ya kutenda katika maisha? Ouvu ni nini? Kwa nini duniani kuna ouvu? Unatoka wapi? Wema ni nini? Na kwa nini wema na si ouvu? Kifo ni nini? Nini huendelea baada ya kifo?

Kwa lugha rahisi, sayansi inafanya kazi ya kuthibitisha kama mambo hayo (kweli zilizobainishwa hazijathibitishwa), ni kweli au si kweli, yapo au hayapo.

Sasa, kwa jinsi gani tunathibitisha jambo hili au jambo fulani ni ukweli au sio ukweli, lipo au halipo. Kwa maneno mengine, tunaelezaje katika utaratibu unaoeleweka (kiakili) wenye mpangilio ulionyooka (kimantiki) na kupimika (kuonekana) kuwa jambo hili au jambo fulani lipo au halipo, ni ukweli au sio ukweli. Hii ndio huitwa nadharia - msingi mkuu wa sayansi.

Na kama nilivyoandika kwamba nadharia maana yake ni ujuzi wa kuunda mfumo wa mawazo au wa maelezo; au muongozo uliopangwa ili kuelezea ukweli wa jambo fulani.

Jambo muhimu katika maana hiyo ya nadharia ni, ujuzi kama ilivyo sayansi ni, maarifa (Fuatilia maarifa na ujuzi).

Jambo moja muhimu kuhusu sayansi. Sayansi ni kama mwili - una viungo mbalimbali. Maana yake sayansi imegawanyika katika elimu (matawi) mbalimbali (Natural sciences, social sciences, formal sciences)na kila elimu (tawi) nayo limegawanyika katika elimu (aina) mbalimbali. Hizo zote ni sayansi -sawa ulivyo mwili mmoja viungo mbalimbali, inaelezea upi ni ukweli na upi sio ukweli kuhusu ulimwengu, ukweli ambao tuko nao (bayana), ila bado hatujui waziwazi.
 
Mimi ni binadamu na sio roboti, kwa vile naweza kufanya chochote kwa uhuru, maamuzi na matakwa yangu mwenyewe pasipo kuhitaji command yeyote ile au muongozo wa kitu chochote kile.

Lakini roboti ili liweze kufanya kazi lazima liwe programmed au lipewe command na binadamu ya kufanya kitu fulani.

Roboti halina ufahamu, uhuru, uamuzi au matakwa yake lenyewe ya kufanya vitu mpaka lipate miongozo ya kibinadamu.

Unaelewa hilo?
Sikuhitaji maelezo, Nlihitaji uthibitisho kuwa huyu anayetoa maelezo kama haya ni binadamu na sio roboti..

Thibitisha wewe ni binadamu mkuu then tuendelee
 
Sikuhitaji maelezo, Nlihitaji uthibitisho kuwa huyu anayetoa maelezo kama haya ni binadamu na sio roboti..
Sasa hata kama wewe hujijui ni binadamu, sidhani uthibitisho upi utakufaa ujue kwamba wewe ni binadamu.
Thibitisha wewe ni binadamu mkuu then tuendelee
Ukitaka uthibitisho, look at yourself.

Ukijiona wewe ni roboti basi wahi kituo cha afya.
 
Sasa hata kama wewe hujijui ni binadamu, sidhani uthibitisho upi utakufaa ujue kwamba wewe ni binadamu.

Ukitaka uthibitisho, look at yourself.

Ukijiona wewe ni roboti basi wahi kituo cha afya.
unaamini katika sayansi?
 
Kwamba sasa kuanze kuwa na Scientific Theories za Mungu, shetani, malaika, life after death, jehanam peponi nk nk?
Mkuu.

Haiwezekani kushughulikia kitu au jambo ambalo hujui ni nini.

Katika taaluma au elimu yoyote haiwezekani kushughulikia kitu au jambo lolote, bila kujua kitu hicho au jambo hilo maana yake ni nini au ni nini - hiyo ndiyo sayansi, ndiyo logic pia.

Huwezi kuunda kwa mfano, mfumo wa mawazo au maelezo au muongozo uliopangwa ili kuelezea jambo fulani au kitu fulani kama kitu hicho kipo au hakipo; jambo hilo lipo au halipo, kitu hicho ni ukweli au sio ukweli; jambo hilo ni ukweli au sio ukweli ikiwa haujui kitu hicho au jambo hilo ni nini.

Huwezi kuthibitisha kama ni kweli Mungu yupo au hayupo ikiwa hujui Mungu ni nini. Kadhalika huwezi kuthibitisha kuna malaika au hakuna malaika kama hujui malaika maana yake ni nini.

Utaratibu ndivyo ulivyo na hivi ndivyo elimu tunayokwenda kusoma na kujifunza shuleni na vyuoni ilivyo. Sasa labda tutafute utaratibu mwingine nje ya huo wa kupima mambo.
 
Hakuna ulazima wa kwamba jua, damu, maji na mifupa vimetengenezwa. Vitu hivi vipo tu vyenyewe bila kutengenezwa na Havihitaji kutengenezwa.

Kama kila kitu kilichopo lazima kiwe na mtengenezaji wake, Hata mtengenezaji wa vitu vyote atahitaji mtengenezaji wake.

Kama haiwezekani vitu hivi kuwepo vyenyewe tu pasipo mtengenezaji, Hata huyo Mungu hawezi kuwepo tu mwenyewe pasipo mtengenezaji.

Kama huyo Mungu aliweza kuwepo tu mwenyewe pasipo mtengenezaji, Hata hivi vitu: jua, damu, maji,mifupa na vitu vingine vyote Vipo vyenyewe pasipo kutengenezwa.
kwanini vitu hivyo vyote haviitji kutengenezwa?
 
Mkuu.

Haiwezekani kushughulikia kitu au jambo ambalo hujui ni nini.

Katika taaluma au elimu yoyote haiwezekani kushughulikia kitu au jambo lolote, bila kujua kitu hicho au jambo hilo maana yake ni nini au ni nini - hiyo ndiyo sayansi, ndiyo logic pia.

Huwezi kuunda kwa mfano, mfumo wa mawazo au maelezo au muongozo uliopangwa ili kuelezea jambo fulani au kitu fulani kama kitu hicho kipo au hakipo; jambo hilo lipo au halipo, kitu hicho ni ukweli au sio ukweli; jambo hilo ni ukweli au sio ukweli ikiwa haujui kitu hicho au jambo hilo ni nini.

Huwezi kuthibitisha kama ni kweli Mungu yupo au hayupo ikiwa hujui Mungu ni nini. Kadhalika huwezi kuthibitisha kuna malaika au hakuna malaika kama hujui malaika maana yake ni nini.

Utaratibu ndivyo ulivyo na hivi ndivyo elimu tunayokwenda kusoma na kujifunza shuleni na vyuoni ilivyo. Sasa labda tutafute utaratibu mwingine nje ya huo wa kupima mambo.
Mungu huyo ni hadithi hadithi tu.

Ndio maana mpaka sasa mnashindwa kuafikiana.

Tukiwaambia huyo Mungu hayupo mnabisha bisha tu.
 
Mungu huyo ni hadithi hadithi tu.

Ndio maana mpaka sasa mnashindwa kuafikiana.

Tukiwaambia huyo Mungu hayupo mnabisha bisha tu.
Mkuu.

You're arguing unprofessional.

Mimi sijaandika mada kwa lengo la kubishana - hiyo sio nia yangu na si lengo langu.

Mimi nimeandika kuhusu Mungu maana yake ni nini au Mungu ni nini- inahusu hayo.

Kitalaam huwezi kusema kitu fulani kipo au hakipo, kitu fulani ni ukweli au sio ukweli; ikiwa haujui kitu hicho maana yake ni nini.

Sasa kama suala ni Mungu yupo au hayupo, tunawezaje kuthibitisha hilo ikiwa haujui huyo Mungu maana yake ni nini. Hilo linawezekanaje? Yaani inawezekanaje kuthibitisha Mungu yupo au Mungu hayupo, bila kujua huyo Mungu ni nini? Inawezekanaje?

Kwa sababu bila ya hilo - bila kujua huyo Mungu ni nini, tunaundaje mfumo wa mawazo au maelezo au muongozo uliopangwa ili kuelezea au hata kufanya majaribio kama huyu Mungu yupo au hayupo- au jambo hilo ni ukweli au sio ukweli. Otherwise we are making fan!

Sasa wewe rafiki yangu sio tu kwamba hujengi hoja, bali pia hufafanui mambo kitalaam.

Huwezi hata kuelezea sio tu kimantiki bali hata kitalaam hicho unachokielewa. Yaani kwa mfano, ueleze unafikiri kwa nini unasema Mungu hayupo au Mungu hathibitiki?
 
Mkuu.

You're arguing unprofessional.

Mimi sijaandika mada kwa lengo la kubishana - hiyo sio nia yangu na si lengo langu.

Mimi nimeandika kuhusu Mungu maana yake ni nini au Mungu ni nini- inahusu hayo.

Kitalaam huwezi kusema kitu fulani kipo au hakipo, kitu fulani ni ukweli au sio ukweli; ikiwa haujui kitu hicho maana yake ni nini.

Sasa kama suala ni Mungu yupo au hayupo, tunawezaje kuthibitisha hilo ikiwa haujui huyo Mungu maana yake ni nini. Hilo linawezekanaje? Yaani inawezekanaje kuthibitisha Mungu yupo au Mungu hayupo, bila kujua huyo Mungu ni nini? Inawezekanaje?

Kwa sababu bila ya hilo - bila kujua huyo Mungu ni nini, tunaundaje mfumo wa mawazo au maelezo au muongozo uliopangwa ili kuelezea au hata kufanya majaribio kama huyu Mungu yupo au hayupo- au jambo hilo ni ukweli au sio ukweli. Otherwise we are making fan!

Sasa wewe rafiki yangu sio tu kwamba hujengi hoja, bali pia hufafanui mambo kitalaam.

Huwezi hata kuelezea sio tu kimantiki bali hata kitalaam hicho unachokielewa. Yaani kwa mfano, ueleze unafikiri kwa nini unasema Mungu hayupo au Mungu hathibitiki?
Utaelezeaje kitu ambacho hakipo?

Kama sio hadithi hadithi tu na stori uchwara uchwara kama mnavyofanya.
 
Back
Top Bottom