Kuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,
Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,
Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.
TAREHE : (1-20).
Mwezi: April - May.
Mwaka: 2024.
SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.
Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.
NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.
ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.
Amen