Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Mungu mwenye Upendo hawezi kuchoma watu kwa moto. Huo ni Ushetani

Wamisionari walitisha watu (hasa waafrika) kuna moto wa milele ili waikubali Imani ya kizungu. Hata mimi niliogopa moto wa milele na kubatizwa. Sasa nimegundua ni fix, nimeamua kurudi kwenye jadi yangu.
Umerudia dhambi?
 
Kuna vitu hatuvioni kwa macho, je ndiyo tuseme havipo? mfano upepo,mawimbi ya sauti,electronic signals etc . Wewe kutokumuona Mungu haimaanishi hayupo
Vitu vyote ulivyovitaja vipo kwenye dimension yetu ni tofauti na Mungu unayemuongelea.

Mungu hayupo kwenye dimension yetu ndiyo maana ni ngumu kumuelezea.

3 main dimensions: Time, Space & Matter.

Kutoka kwenye Biblia Mwanzo 1:1

"Hapo mwanzo, (time) Mungu aliumba mbingu (space) na dunia (matter).

Kwa maana hiyo huwezi kuelezea uwepo wa Mungu kwa kutumia kitu chochote kile kilichopo kwenye ulimwengu wetu kwasababu Mungu kwenye Biblia yeye ndiyo aliumba Time, Space & Matter.
 
Muanzisha uzi ni Agnostic Atheist. Bado ana maswali mengi ambayo yanafanya anashindwa kuelewa asimame wapi kwasababu tokea akiwa mdogo ameshakuwa brainwashed na dini.

Ndio maana nilimwambia awe honestly. Hii nyuzi inaonyesha jinsi gani anavyojua kwamba mungu ni stori za kutungwa lakini bado anashindwa ku confess.
 
Mimi sifahamu fika chanzo cha huo ulimwengu.

Na naamini hakuna ajuaye zaidi ya nadharia tu,

Wewe unaweza kuwa unajua chanzo cha hayo uliyoyasema ili unieleze nami nisiwe mjinga tena!?
Na hivi ndiyo jinsi mwanadamu alivyozaliwa akiwa hajui chochote.

Mimi bado sielewi lengo kuu la dini ni nini ikiwa kuna miungu karibu 3000 na yote ina waumini.

Wote wanaotetea dini ni wanafiki kwasababu ni imani walizochukua kutoka kwa wazazi au walezi, hakuna ambaye hujichagulia dini zaidi ya kufuata tu.

Leo hii mtoto akizaliwa na kukulia kwenye Ukristo ataamini ndiyo dini sahihi ni hivyohivyo kwa mtoto wa Kiislam na dini zote hizi zinakinzana.

Muislam ni sawa kuoa mpaka wake 4 ila mkristo haruhusiwi kuoa mke zaidi ya 1.

Wote hawa ni binadamu wanafanana lakini wanakinzana kiimani ktk miungu wanayoamini. Sasa kwanini Mungu aliyetuumba awe na njia nyingi hivi kutuchanganya wanadamu.
 
Kwakulazimisha uamuamin mbona unalazamisha mambo hayana mantiki
We kuwa mpagani hata kufanya chochote sababu wewe hutakua wakwanza

Kuna namna nakuonaga una upeo mdogo sana wa maisha kila siku unaanzisha uzi wa kumponda Mungu inshort huna content sababu mada zako ni zile zile kila siku

Unachofanya hata sio unique wala acts of genius kama lengo lako unalotaka lionekane watu kibao walishamkataa Mungu na wakaanzisha dini yao inaitwa atheist
Paganism ni tofauti na Atheism.

Wapagani wanaamini miungu tofauti na zile dini kuu: Ukristo, Uislam n.k.

Wapagani hawamuamini Mungu unayemuamini wewe kama ambavyo wewe humuamini Mungu wao.

Atheists hawaamini kabisa uwepo wa Mungu yoyote yule.

Kwanini wewe unajihisi upo sahihi kukataa miungu yote na kuamini wa kwako ndiyo wa kweli?

Ukiwa Muislam maana yake huamini Mungu wa Wakristo, ni hivyohivyo ukiwa Mkristo pia. Sasa hapo kwanini unamshangaa mpagani? Au Atheist anayewakataa wote.

😂
 
Nimechagua kuiamini biblia as my reference kama wewe ulivyochagua kuviamini vyanzo unavyovitumia ingawa hujanieleza ni reference zipi ulizotumia mpaka kusema biblia ni fiction stories
Jibu hili swali kwa ukweli wako wote.

Kwanini ulikuwa Mkristo?

Kama jibu lako ni "kwasababu ya wazazi" usijibu hilo swali jibu hili:

Unaamini ungezaliwa na wazazi Waislam au dini yoyote ile bado ungekuwa Mkristo?
 
Jibu hili swali kwa ukweli wako wote.

Kwanini ulikuwa Mkristo?

Kama jibu lako ni "kwasababu ya wazazi" usijibu hilo swali jibu hili:

Unaamini ungezaliwa na wazazi Waislam au dini yoyote ile bado ungekuwa Mkristo?

Ndiyo
 
Na hivi ndiyo jinsi mwanadamu alivyozaliwa akiwa hajui chochote.

Mimi bado sielewi lengo kuu la dini ni nini ikiwa kuna miungu karibu 3000 na yote ina waumini.

Wote wanaotetea dini ni wanafiki kwasababu ni imani walizochukua kutoka kwa wazazi au walezi, hakuna ambaye hujichagulia dini zaidi ya kufuata tu.

Leo hii mtoto akizaliwa na kukulia kwenye Ukristo ataamini ndiyo dini sahihi ni hivyohivyo kwa mtoto wa Kiislam na dini zote hizi zinakinzana.

Muislam ni sawa kuoa mpaka wake 4 ila mkristo haruhusiwi kuoa mke zaidi ya 1.

Wote hawa ni binadamu wanafanana lakini wanakinzana kiimani ktk miungu wanayoamini. Sasa kwanini Mungu aliyetuumba awe na njia nyingi hivi kutuchanganya wanadamu.
Mkuu ukitaga kutegua kitendawili hicho kama ulizaliwa kwenye imani, lazima ufanye self diagnosis ya ubongoni mwako kwa kujiuliza maswali kama haya.

Hili huwa swali la kwanza mtu anapaswa kujiuliza.

Kwanini anapondea upande wa pili ambao hauamini?

Vipi kama ingetokea akazaliwa kwenye upande wa pili ambao kwasasa hauamini, je asingekuwa anaponda ule upande aliosasa?

Vipi kama angezaliwa japani huko ama kwenye ubudha?

_20230704_052940.JPG
 
Paganism ni tofauti na Atheism.

Wapagani wanaamini miungu tofauti na zile dini kuu: Ukristo, Uislam n.k.

Wapagani hawamuamini Mungu unayemuamini wewe kama ambavyo wewe humuamini Mungu wao.

Atheists hawaamini kabisa uwepo wa Mungu yoyote yule.

Kwanini wewe unajihisi upo sahihi kukataa miungu yote na kuamini wa kwako ndiyo wa kweli?

Ukiwa Muislam maana yake huamini Mungu wa Wakristo, ni hivyohivyo ukiwa Mkristo pia. Sasa hapo kwanini unamshangaa mpagani? Au Atheist anayewakataa wote.

😂
_20230723_073950.JPG
_20230704_052719.JPG
 
Nimechagua kuiamini biblia as my reference kama wewe ulivyochagua kuviamini vyanzo unavyovitumia ingawa hujanieleza ni reference zipi ulizotumia mpaka kusema biblia ni fiction stories
Ni fiction stories kwasababu inahadithi za uongo wa wazi kabisa halafu inajipinga yenyewe.

Hadithi za nyoka kuongea

Hii unaitofautisha vipi na ile hadithi ya Pazi na jogoo?,
Unaitofautisha vipi na hadithi ya nani atamvika paka kengele?
Unaitofautisha vipi na hadithi ya sungura na fisi!?

Si ajabu hata hujui history ya biblia.
 
Kuna tukio zito linakwenda kuukumba mji wa BANDARI salama,

Tetemeko kuu litatikisa Bahari na kupasua ardhi ya mji huo, madhara yatakuwa mji nzima,

Hakutakuwa na nyumba ilosimama juu ya ardhi.

TAREHE : (1-20).

Mwezi: April - May.

Mwaka: 2024.

SAFETY ZONE: Kuanzia KIBAHA Banda la ndege na kuendelea.

Huo Si mwisho wa Dunia, Bali ni mwanzo tu wa Mungu kuwakumbusha WANADAMU kuwa Yupo na hapendi dhambi na UOVU.

NB: Wajinga watachukua hatua, bt Werevu/wasomi watapuuza kama enzi za Safina na NUHU Ili wasubiri yatokee ndo wapige Mbizi.

ANGALIZO: Tembelea U-Tube, UNYAKUO TV. Kwa taarifa zaidi.

Amen
Huyo anayesema hivi ni mpumbavu.
Na nahsi namfahamu

Hakuna kitu kama hiko.

Huyo Mungu wa design hiyo itoshe tu kusema kuwa ni mpumbavu.

Kujidhihirisha kwako ni kwa kuumiza watu na vichanga?

Si mnasemaga kuwa watu wana free will ya kuchagua.

Sasa iwaje tena huyu Mungu akasirishwe eti kisa hapendi dhambi na uovu!?

Is God frustrated?
Au ni Coma hiyo

I think he is going through a traumatic divorce. Who knows...
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa vipi kuumba ulimwengu usioruhusu kuwezekana kwa dhambi na uovu?
 
Huyo anayesema hivi ni mpumbavu.
Na nahsi namfahamu

Hakuna kitu kama hiko.

Huyo Mungu wa design hiyo itoshe tu kusema kuwa ni mpumbavu.

Kujidhihirisha kwako ni kwa kuumiza watu na vichanga?

Si mnasemaga kuwa watu wana free will ya kuchagua.

Sasa iwaje tena huyu Mungu akasirishwe eti kisa hapendi dhambi na uovu!?

Is God frustrated?
Au ni Coma hiyo

I think he is going through a traumatic divorce. Who knows...
Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote alishindwa vipi kuumba ulimwengu usioruhusu kuwezekana kwa dhambi na uovu?
Ninyi mlio na asili Kutoka CHINI, Wana wa Mungu wakiwafuata, watapotea mazima!!!
 
Well said sisi katika dini yetu ya uislam tumefundishwa mtu anae mchunguza mungu basi hata akili zake haziko sawa (majnun) kwa maana huwezi kuchunguzu na kikujua kitu kilichokutengeneza wewe na kukupa akili kwasababu angeweza kukuumba ukawa hata mmbu lakini kakuumba binaadam na kwa ujeuri wa binaadam et unamchunguza na kumjadili mungu. BIRA USEME MUNGU YUPO KULIKO KUSEMA HAYUPO UKAKUTANA NAE NDIO UTAJUA HAUJUI.
Wanakutisha hivyo kwamaana Allah hayupo.

Huwezi kuchunguza kisichokuwepo.

Dini zinatumia mbinu ya kutisha watu ndo waamini.

Huu ni uthibitisho mwingine kuwa Allah amaye ni muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote hayupo.

Ingawaje hataki kujionesha, Inakuwaje Allah akose mbinu bora ya kuwafanya watu wamwamini ?

Yaani kwa sifa alizonazo kweli Mungu anaishiwa mbinu?
 
Ninyi mlio na asili Kutoka CHINI, Wana wa Mungu wakiwafuata, watapotea mazima!!!
Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.

Kama unabisha thibitisha uwepo wake tujue kweli yupo kwenye uhalisia.
 
Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.

Kama unabisha thibitisha uwepo wake tujue kweli yupo kwenye uhalisia.
Mungu huyo anaishi ndani yangu.

Ninaongea naye kupitia maombi na kusoma Neno lake.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
 
Mungu huyo anaishi ndani yangu.

Ninaongea naye kupitia maombi na kusoma Neno lake.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Hujaweza kuthibitisha zaidi ni kuwa umenihubiria tu

Mahubiri maana yake ni kamba za kufungia kondoo
 
Huyo Mungu haishi nje ya hadithi za vitabu vyenu.

Kama unabisha thibitisha uwepo wake tujue kweli yupo kwenye uhalisia.
Siku Theist akiweza kujibu kwanini kuna dini na miungu mingi lakini anaamini Mungu wake ndiyo wa kweli nitaweza kumsikiliza.

Hawana points za msingi zaidi ya kutetea dini zao tu. Theist haamini Mungu mwingine bali wa kwake ila Atheist akisema basi mimi siwaamini wote anaonekana anakosea.
 
Mungu huyo anaishi ndani yangu.

Ninaongea naye kupitia maombi na kusoma Neno lake.

Mungu ni MMOJA na YESU ndilo JINA lake.

Amen
Kwahiyo Waislamu na waumini wa dini nyingine zote duniani wataenda motoni maana Mungu wao ni wa uongo?
 
Siku Theist akiweza kujibu kwanini kuna dini na miungu mingi lakini anaamini Mungu wake ndiyo wa kweli nitaweza kumsikiliza.

Hawana points za msingi zaidi ya kutetea dini zao tu. Theist haamini Mungu mwingine bali wa kwake ila Atheist akisema basi mimi siwaamini wote anaonekana anakosea.
Imani ni shambulio la akili.

Reasoning na logic haifanyi kazi kwa wafia dini
 
Back
Top Bottom